Trump: BRICS imekufa, imesambaratika, wenyewe wanaona aibu kusema tu!

Trump: BRICS imekufa, imesambaratika, wenyewe wanaona aibu kusema tu!

Pumba tupu...tatizo mnafuatilia propaganda za Wademocrat...mnabeba nzima nzima alaf mnadhani mnajua...
Mkuu unamjua Trump ? Trump alishinda uchaguzi mara ya kwanza sio kwamba watu wanaona ni clean bali ni kwamba walichoka na status quo, pamoja na yeye kumchafua Hilary kwamba ni mwizi mwizi

Hayo yote niliyosema they are well known facts...., kuhusu kudanganya utajiri wake, kipindi kabla ya Urais kuwa na madeni ya kutosha, kutumia jina lake kama Brand hata kwa vitu ambavyo sio vyake.., utapeli kama Trump University, kusafisha pesa kwenye property zake na Russians (money laundry) In short kuwa kwake President has been the biggest business he will ever do, ni kama mtoto unamkabidhi duka la pipi....; Na kuhusu anachosema ni mtu wa kubwawaja na watu wameshamzoea hivyo kuchukua anachosema with a pinch of salt, ndio maana hawashangai tena (sababu washakuwa chronic)
P
 
BRICS imekufa huku anataka mazungumzo na Putin hilo jamaa limechanganyikiwa au ndo anaropoka bila mpango😂
 
Pumba tupu...tatizo mnafuatilia propaganda za Wademocrat...mnabeba nzima nzima alaf mnadhani mnajua...

P
Aisee inasikitisha sana yaani wewe kama your source of news ni Democrats au wapinzani wa Trump ndio unadhani ni kila mtu ? Tatizo watu mmeanza kumsikia Trump baada ya Kuwa nominated wakati watu tulimsikia kabla it is well documented kuhusu alivyodangaya utajiri wake ili apate loans, it is well documented kuhusu properties zake na money laundering.., well documented kuhusu his dubious deals mpaka Trump university n.k. usiwe mvivu karne hii ya information nje nje jaribu hata kutumia google...; na kuongea kuhusu propaganda kuna mtu mwenye propaganda kuliko Trump aliyeshikia bango uraia wa Obama na kuleta consipiracy za ajabu ajabu kuhusu deep state...
 
According to recent data, the combined population of BRICS countries and their partner states is approximately 4 billion people, representing roughly half of the world's population; this includes major populous nations like India, China, Brazil, and Nigeria (as a partner state).
 
Pumba tupu...tatizo mnafuatilia propaganda za Wademocrat...mnabeba nzima nzima alaf mnadhani mnajua...

P
Hujawahi kusikia Republicans wanompinga Trump kama John Bolton, Mike Pence, John Kelly n.k??
 
Kuna nyuzi nyingine zinashangaza sana hivi kweli habari za uhakika kuhusu BRICS uzipate kutoka kwa Trump? Mtu ambaye anaichukia BRICS!

Kila mwaka members wapya wanajiunga BRICS na kuna maombi yako pending eti leo unasikiliza habari kutoka unreliable source domo la Trump

Mkutano ujao wa BRICS utafanyika July 6-7 Rio de Janeiro, Brazil
Eri
Kuna nyuzi nyingine zinashangaza sana hivi kweli habari za uhakika kuhusu BRICS uzipate kutoka kwa Trump? Mtu ambaye anaichukia BRICS!

Kila mwaka members wapya wanajiunga BRICS na kuna maombi yako pending eti leo unasikiliza habari kutoka unreliable source domo la Trump

Mkutano ujao wa BRICS utafanyika July 6-7 Rio de Janeiro, Brazil
Eti habari za yanga ukamsikilize msemaji wa simba
 
Back
Top Bottom