Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Trump alimualika Xi kwenye uapisho wake hakuenda.
Xi hanaga shobo na Trump, alimkataa Trump mchana kweupe kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump alimualika Xi kwenye uapisho wake hakuenda.
PMkuu unamjua Trump ? Trump alishinda uchaguzi mara ya kwanza sio kwamba watu wanaona ni clean bali ni kwamba walichoka na status quo, pamoja na yeye kumchafua Hilary kwamba ni mwizi mwizi
Hayo yote niliyosema they are well known facts...., kuhusu kudanganya utajiri wake, kipindi kabla ya Urais kuwa na madeni ya kutosha, kutumia jina lake kama Brand hata kwa vitu ambavyo sio vyake.., utapeli kama Trump University, kusafisha pesa kwenye property zake na Russians (money laundry) In short kuwa kwake President has been the biggest business he will ever do, ni kama mtoto unamkabidhi duka la pipi....; Na kuhusu anachosema ni mtu wa kubwawaja na watu wameshamzoea hivyo kuchukua anachosema with a pinch of salt, ndio maana hawashangai tena (sababu washakuwa chronic)
Utoto unakusumbua.Atakują tu rasmi kutubu soon hakutaka kuchanganywa na pia kwnye sherehe asingepata muda wa kuongea rasmi!
Wala usijali we mkubwa inatosha muda utaongea tu!Utoto unakusumbua.
Brazil too was under fomer president, Argentina under zionist president wame jitoa.India ni kirusi ktk muungano wa BRICS. Ni watumwa wa west hao.
Aisee inasikitisha sana yaani wewe kama your source of news ni Democrats au wapinzani wa Trump ndio unadhani ni kila mtu ? Tatizo watu mmeanza kumsikia Trump baada ya Kuwa nominated wakati watu tulimsikia kabla it is well documented kuhusu alivyodangaya utajiri wake ili apate loans, it is well documented kuhusu properties zake na money laundering.., well documented kuhusu his dubious deals mpaka Trump university n.k. usiwe mvivu karne hii ya information nje nje jaribu hata kutumia google...; na kuongea kuhusu propaganda kuna mtu mwenye propaganda kuliko Trump aliyeshikia bango uraia wa Obama na kuleta consipiracy za ajabu ajabu kuhusu deep state...Pumba tupu...tatizo mnafuatilia propaganda za Wademocrat...mnabeba nzima nzima alaf mnadhani mnajua...
P
Kashusha zote su 57 na F35 ila naona wanasifia sana f35 na kaoda mzigo mzitoBrazil too was under fomer president, Argentina under zionist president wame jitoa.
Kifupi india ni wapuzi, ila watajifunza ze hardway muda ukifika.
Nasubiri nione watanunua 57 au 35 ?
Proved,Kwani wanachama wa BRICS humu JF kina Lee Van free Mathanzua TUJITEGEMEE Gagnija ITR Richard Sela Son wanasemaje?
Anaongea facts huwezi shindana na tajiriAnapenda sifa huyu au ana dam ya kanda ya ziwa
Trump mwenyewe kasema anatarajia kukutana na Putin Riyadhi, hiyo ya ya DC umeitoa wapi?Hujamuona Modi? Anafuata Putin na Xi soon kuhiji DC
Shida ni location? Kimsingi atakutana kama Modi alivyofanya ndio hojaTrump mwenyewe kasema anatarajia kukutana na Putin Riyadhi, hiyo ya ya DC umeitoa wapi?
EriKuna nyuzi nyingine zinashangaza sana hivi kweli habari za uhakika kuhusu BRICS uzipate kutoka kwa Trump? Mtu ambaye anaichukia BRICS!
Kila mwaka members wapya wanajiunga BRICS na kuna maombi yako pending eti leo unasikiliza habari kutoka unreliable source domo la Trump
Mkutano ujao wa BRICS utafanyika July 6-7 Rio de Janeiro, Brazil
Eti habari za yanga ukamsikilize msemaji wa simbaKuna nyuzi nyingine zinashangaza sana hivi kweli habari za uhakika kuhusu BRICS uzipate kutoka kwa Trump? Mtu ambaye anaichukia BRICS!
Kila mwaka members wapya wanajiunga BRICS na kuna maombi yako pending eti leo unasikiliza habari kutoka unreliable source domo la Trump
Mkutano ujao wa BRICS utafanyika July 6-7 Rio de Janeiro, Brazil
Shida ni location? Kimsingi atakutana kama Modi alivyofanya ndio hoja
Kwani Putin mjinga kiasi hicho? Mbona ni common sense tu kiongozi?Location inaeleza kila kitu. He could have summoned Putin to Washington if he could. Hana ubavu huo.
Putin sio mjinga, wewe ndiye mjinga.Kwani Putin mjinga kiasi hicho? Mbona ni common sense tu kiongozi?
Wala sio shida ni mtazamo wako na unaheshimiwa! Umekula lakini?Putin sio mjinga, wewe ndiye mjinga.