Ukiwa tajiri kila mtu atadhani una majivuno kumbe unajiamini tu.Anapenda sifa huyu au ana dam ya kanda ya ziwa
Trump has always been blowing his own Trumpet, na utajiri wake umekuwa ni wa janja janja na kuchukua credit hata ambazo si zako (kwa hilo hata Musk na yeye ni mulemule) pia fraud za hapa na pale case in point alidanganya kuhusu utajiri wake (net worth) baada ya habari hio kuwa printed kwenye gazeti kubwa katumia hio kama nyenzo ya kupata mkopo..., Ni Rais gani ana boast kuhusu ukubwa wa his manhood sababu tu kuna watu wanasema ana vimikono vidogo...., Kuna mambo anasema kama angeyasema Obama we would never have heard the end of it.....Ukiwa tajiri kila mtu atadhani una majivuno kumbe unajiamini tu.
Hizo zilikuwa siasa za kumchafua kuelekea uchaguzi wao.Kwa hizo kesi kwani zimemfanya aonekane ni kapuku tu aliyejisingizia utajiri?Trump has always been blowing his own Trumpet, na utajiri wake umekuwa ni wa janja janja na kuchukua credit hata ambazo si zako (kwa hilo hata Musk na yeye ni mulemule) pia fraud za hapa na pale case in point alidanganya kuhusu utajiri wake (net worth) baada ya habari hio kuwa printed kwenye gazeti kubwa katumia hio kama nyenzo ya kupata mkopo..., Ni Rais gani ana boast kuhusu ukubwa wa his manhood sababu tu kuna watu wanasema ana vimikono vidogo...., Kuna mambo anasema kama angeyasema Obama we would never have heard the end of it.....
View: https://youtu.be/swcJzacZkWU?si=RkcEs0bfbIJ8KghI
Wasenge wanahesabu kali kwenye chakula .Muhindi akiwa na gunia mbili za dengu anatoboa mwaka .Utakuwa unabadilishiwa mapigo tu leo cheuro,kesho bagia nk na pilipili nyingi sana lazima upate hamu ya kula ,hata kama unajifanya ukila chakula cha aina moja kinakukinai .Indians kwa mahesabu ya misosi hususani kucheza na gunia za dengu nimewanyooshea mikono hamna mpinzani duniani na kofia nimewavulia.Lazima ujue kupige hesabu za gunia za dengu.Nahendra Modi akitoka U.S. apitie Tanzania tumpatie choroko,mbaazi na dengu akajipikilishe nyumbani kwake.
Mkuu unamjua Trump ? Trump alishinda uchaguzi mara ya kwanza sio kwamba watu wanaona ni clean bali ni kwamba walichoka na status quo, pamoja na yeye kumchafua Hilary kwamba ni mwizi mwiziHizo zilikuwa siasa za kumchafua kuelekea uchaguzi wao.Kwa hizo kesi kwani zimemfanya aonekane ni kapuku tu aliyejisingizia utajiri?
Huku sio kupenda sifa pekee bali ni uzuzu...., Huwezi kuanza kutukana Wakunga wakati bado una uzazi au kutukana mamba wakati ndio kwanza upo katikati ya mto...., Unless wewe ni lunatic unataka kuwaharibia wenzako ambao bado hawajavuka....Anapenda sifa huyu au ana dam ya kanda ya ziwa
Na vip? kuhusu China na yenyewe inayotegemea soko ulaya na Russia inayotegemea soko liwe ulaya piaIndia ni kirusi ktk muungano wa BRICS. Ni watumwa wa west hao.
... ana pesa ana madaraka ya taifa kubwa. They are not beggars!Ukiwa tajiri kila mtu atadhani una majivuno kumbe unajiamini tu.