Trump: Harris Kamala ameamua "kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa

Trump: Harris Kamala ameamua "kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa

Watu weusi wanajibagua wenyewe.
Kama unaambiwa ni mweusi wakati ni mweusi kweli, sasa umebaguliwaje hapo ?
Ulitaka uambiwe ni mtu mweupe ndio uone kuwa hujabaguliwa ?
Kwanini unaukataa ukweli kuwa wewe ni mtu mweusi ?
Trump anadai Kamala sio mweusi ila kajitwisha Uweusi kwa manufaa ya kisiasa
 
Trump ni mpuuzi sana, ila ana kundi kubwa la Wamarekani wajinga wajinga MAGA ambao wana mkubali sana.
Werevu ndiyo wanamkubali, wapuuzi ni wale walioamua kumuelewa kwa akili zao badala ya kusubiri walishwe propaganda kuhusu Trump wakati wao wenyewe wanaweza kutumia akili zao kuelewa
 
Watu weusi wanajibagua wenyewe.
Kama unaambiwa ni mweusi wakati ni mweusi kweli, sasa umebaguliwaje hapo ?
Ulitaka uambiwe ni mtu mweupe ndio uone kuwa hujabaguliwa ?
Kwanini unaukataa ukweli kuwa wewe ni mtu mweusi ?

MKuu wtu weusi wana matatizo ya akili
 
Trump hana hizo za Uzungu,Demo ndiyo wanampaint bad.
Nb.Marekani ni multicultural Country...
sijui ni kwanini tudhani US iko monopolized na jamiii mbili tu,kila chaguzi hoja ni wao tu.
Kuna walatino,Indians,local dynamics (Cherokee) waarabu etc lakini hatujawai wasikia wakitaka waaangaliwe kwa jicho la pekee kama weusi watamanivyo.
Democrats wanajua kucheza na akili za mtu mweusi,they actually know..When it comes to presidential voting or anything else ,all blacks will definitely vote along their colour lines sio uwezo wa mtu.

Nb: sitaki Trump ashinde uRais kwa sababu moja tu ;mstakabali wa Ukraine.
haonyeshi Dalili njema ila kwa mambo mengine nataka ashinde
Nitakueleza kwa kifupu kwa nini blacks ni kundi muhimu Marekani na kwa nini linazungumzwa sana.
Kwanza ni kundi la tatu kwa ukubwa baada ya White na Latinos ambao nyie wote hao wawili mnawaita wazungu tu.

Pili, Marekani inayong'aa sana imejengwa kwa sehemu kubwa na jasho la blacks waliotumikishwa mashambani, migodini na viwandani.

Tatu, sababu za blacks kuwa Marekani ni tofauti sana na makundi mengine, blacks walibebwa kwa nguvu kupelekwa Marekani tofauti na makundi mengine yote yaliyoenda kwa hiyari yao, wao wana haki kubwa zaidi ya kulalamika na kudai hali bora kuliko wengine wote.

Nne, ni historia ndefu ya utumwa iliyowaweka kwenye disadvantaged position kwa muda mrefu, Nafasi ya mtu mweusi Marekani ni muhimu sana kiasi kwamba vita vya wenyewe kwa wenyewe Marekani vilisababishwa na utumwa wa blacks.

Tano, blacks ndio wamekuwa wanaharakati wakubwa na chachu muhimu kwa makundi yote minority kupatiwa haki zao kama raia wa Marekani. Fursa wanazofurahia leo wanawake wa kizungu, wahindi, waislamu, mashoga n.k zilichochewa na zimetokana na harakati za nguvu za blacks,

Huwezi kulipuuza kundi la aina hii kama una akili.
 
Watu weusi wanajibagua wenyewe.
Kama unaambiwa ni mweusi wakati ni mweusi kweli, sasa umebaguliwaje hapo ?
Ulitaka uambiwe ni mtu mweupe ndio uone kuwa hujabaguliwa ?
Kwanini unaukataa ukweli kuwa wewe ni mtu mweusi ?
Trump anasema miaka yote Kamala alikuwa ni Mhindi ila all of a sudden kabadilika na kuwa mweusi
 
Nitakueleza kwa kifupu kwa nini blacks ni kundi muhimu Marekani na kwa nini linazungumzwa sana.
Kwanza ni kundi la tatu kwa ukubwa baada ya White na Latinos ambao nyie wote hao wawili mnawaita wazungu tu.

Pili, Marekani inayong'aa sana imejengwa kwa sehemu kubwa na jasho la blacks waliotumikishwa mashambani, migodini na viwandani.

Tatu, sababu za blacks kuwa Marekani ni tofauti sana na makundi mengine, blacks walibebwa kwa nguvu kupelekwa Marekani tofauti na makundi mengine yote yaliyoenda kwa hiyari yao, wao wana haki kubwa zaidi ya kulalamika na kudai hali bora kuliko wengine wote.

Nne, ni historia ndefu ya utumwa iliyowaweka kwenye disadvantaged position kwa muda mrefu, Nafasi ya mtu mweusi Marekani ni muhimu sana kiasi kwamba vita vya wenyewe kwa wenyewe Marekani vilisababishwa na utumwa wa blacks.

Tano, blacks ndio wamekuwa wanaharakati wakubwa na chachu muhimu kwa makundi yote minority kupatiwa haki zao kama raia wa Marekani. Fursa wanazofurahia leo wanawake wa kizungu, wahindi, waislamu, mashoga n.k zilichochewa na zimetokana na harakati za nguvu za blacks,

Huwezi kulipuuza kundi la aina hii kama una akili.
tujikite zaidi kwa alichokisema Trump.
ulichokieleza hapa hata jamii zingine ndani ya Marekani zinachakueleza kuhusu ushiriki wao katika Marekani.

iweje kabla ya Siasa huyu Mama alijibrand kama Muhindi ila kwenye Siasa anajitambulisha kama Mweusi?.
kwanini sasa na baada ya kuona nini hasa?.

nikisema kwamba: kusimama na brand yake ya Hawali kungelifungua Milango ya watu kuhoji UWEZO wake zaidi na sio ASILI nitakuwa nakosea?.

nikisema " sasa hivi anataka KURA tu, toka kundi la jamiii ya Tatu kwa ukubwa nitakuwa nimekosea?".

anajua uhindi wake aliokuwa anajibrand nao sio Dili kwa watu wa asili hiyo na hata kama ni Dini bado Wahindi ni jamii wa watu wachache zaidi,hawana impact yoyote kwenye Uchaguzi.

Marekani inahitaji mtu mwenye Uwezo, asili yake si kitu
 
tujikite zaidi kwa alichokisema Trump.
ulichokieleza hapa hata jamii zingine ndani ya Marekani zinachakueleza kuhusu ushiriki wao katika Marekani.

iweje kabla ya Siasa huyu Mama alijibrand kama Muhindi ila kwenye Siasa anajitambulisha kama Mweusi?.
kwanini sasa na baada ya kuona nini hasa?.

nikisema kwamba: kusimama na brand yake ya Hawali kungelifungua Milango ya watu kuhoji UWEZO wake zaidi na sio ASILI nitakuwa nakosea?.

nikisema " sasa hivi anataka KURA tu, toka kundi la jamiii ya Tatu kwa ukubwa nitakuwa nimekosea?".

anajua uhindi wake aliokuwa anajibrand nao sio Dili kwa watu wa asili hiyo na hata kama ni Dini bado Wahindi ni jamii wa watu wachache zaidi,hawana impact yoyote kwenye Uchaguzi.

Marekani inahitaji mtu mwenye Uwezo, asili yake si kitu
Kamala Harris akiwa chuoni alikuwa mwanachama wa chama cha weusi cha Alpha Kappa Alpha sorority, akiwa seneta alikuwa ni member wa Congressional Black Caucus. Kamala hajawahi kuji brand muhindi, hakuna uthibitisho huo, hizo ni mojawapo ya kauli nyingi tu za kipuuzi za Trump.
 
Uislam mwema sana.

Mboora kati yao ni mcha Mungu.
Mcha Mungu ni Trump anayetaka kufuta ushoga na ndoa za jinsia moja ili kulienzi jina la bwana wetu Kristo aliye hai

Huyu Trump ni Mlokole hasa ndio maana alisema anashangaa kuona mataifa ya kiarabu miaka yote yanateseka kumpiga Myahudi kwani huko ni kupoteza muda tu!!!!! Israel itadumu milele na milele

Mungu mbariki Trump
 

Attachments

  • IMG_1340.jpeg
    IMG_1340.jpeg
    877.3 KB · Views: 3
Mgombea Urais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatano kwamba Makamu wa Rais Kamala Harris ameamua "kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa katika kile kilichoonekana kama kumshambulia mpinzani wake huyo kutoka Chama cha Democratic

Wakati akizungumza na waandishi wa habari wa Marekani wenye asili ya Afrika huko Chicago., Donald Trump amekosoa Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani, akidai kuwa "ameamua kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa. Trump amekuwa na historia ya kutoa matamshi yenye utata na mara nyingi yenye mwelekeo wa kibaguzi, hasa kuelekea wanasiasa wa kike na wale wa rangi tofauti.

Kamala Harris ni wa asili ya Kihindi na Kiafrika-Amerika, na yeye ni mwanamke wa kwanza mweusi na wa kwanza wa asili ya Kihindi kuwa Makamu wa Rais wa Marekani. Matamshi kama haya kutoka kwa Trump yanaweza kuchukuliwa kama juhudi za kudhalilisha na kupunguza umuhimu wa mafanikio ya Harris na wengine wa jamii za wachache.

Ni muhimu kuzingatia kuwa maneno kama haya yanaweza kuchochea hisia za kibaguzi na kusababisha mgawanyiko zaidi katika jamii. Kwa hivyo, ni vyema kupinga matamshi yanayochochea chuki na kusimamia mazungumzo yenye heshima na ya kujenga.

---
Trump falsely claimed the vice-president and presumptive Democratic nominee had not emphasised her Asian-American heritage until recently when, he claimed, "she became a black person".

"I didn't know she was black until a number of years ago when she happened to turn black and now she wants to be known as black," he said at the National Association of Black Journalists convention in Chicago on Wednesday.

"So I don't know - Is she Indian? Or is she black?"

Ms Harris said Trump's remarks were "the same old show" of "divisiveness... and disrespect".

"The American people deserve better," she told a meeting of the historically black sorority Sigma Gamma Rho in Houston. "We deserve a leader who understands that our differences do not divide us - they are an essential source of our strength."

Ms Harris is the first black and Asian-American vice-president, with Indian and Jamaican-born parents. She attended Howard University, a historically black university, and joined the predominantly black Alpha Kappa Alpha sorority.

She became a member of Congressional Black Caucus after entering the Senate in 2017.

Trump's claims prompted a heated exchange with ABC News' correspondent Rachel Scott, one of the moderators of the Chicago event.

"I respect either one," the Republican said in reference to Harris' racial identity. "But she obviously doesn't because she was Indian all the way and then all of a sudden she made a turn and she became a black person."

White House press secretary Karine Jean-Pierre said no-one "has any right to tell someone who they are, how they identify. That is no-one's right."

"Who appointed Donald Trump the arbiter of Blackness?" asked Representative Ritchie Torres of New York. He described Trump as a “relic of a racist past".

The Republican nominee and former president has a history of attacking his opponents on the basis of race.

He falsely accused Barack Obama, the country's first black president, of not being born in the US.

Trump attacked the former UN ambassador and his Republican primary opponent Nikki Haley by falsely claiming she could not be president because her parents were not US citizens when she was born.

Ms Harris has faced a series of attacks since becoming the presumptive Democratic nominee. Republicans have criticized the decision, saying she was chosen only because of her race.

Tim Burchett, a Republican congressman from Tennessee, called her a "DEI vice-president" - a reference to diversity, equity and inclusion programmes.

On Wednesday, Scott pushed Trump to clarify whether he believed Ms Harris was a "DEI hire". He replied: "I really don't know, could be."

Ms Harris has described growing up engaged with her Indian heritage and often visited the country. Her mother also immersed her two daughters in the black culture of Oakland, California - where she was raised, she said.

Trump also attacked Ms Harris' credentials during the discussion, saying she had failed her bar exam early in her legal career. His comments were met with murmurs from the crowd.

"I'm just giving you the facts. She didn't pass her bar exam and she didn't think she would pass it and she didn't think she was going to ever pass it and I don't know what happened. Maybe she passed it," he said.

Ms Harris graduated from the University of California Hastings College of Law in 1989. The New York Times reported that she failed her first attempt and passed at the second. The state bar of California says less than half of those who sit the test pass on the first attempt.

The Chicago discussion began with a contentious back and forth between Scott and the former president. Trump accused the journalist of giving a "very rude introduction" when she began the conversation asking about his past criticism of black people.

She cited Trump calling black journalists' questions ''stupid and racist'' and that he had ''dinner with a white supremacist at your Mar a Lago resort''.

"I love the black population of this country, I’ve done so much for the black population of this country,” he responded.

The former president criticised the conversation hours later on his social media platform. "The questions were rude and nasty, often in the form of a statement, but we CRUSHED IT!" he said.


Source: BBC
Nchi apewe tu trump hawa wahindi watajazana marekani bule bule na kuanza kutumikisha watu kama viwandani kama huku bongo
 
Mcha Mungu ni Trump anayetaka kufuta ushoga na ndoa za jinsia moja ili kulienzi jina la bwana wetu Kristo aliye hai

Huyu Trump ni Mlokole hasa ndio maana alisema anashangaa kuona mataifa ya kiarabu miaka yote yanateseka kumpiga Myahudi kwani huko ni kupoteza muda tu!!!!! Israel itadumu milele na milele

Mungu mbariki Trump
Trump sio mlokole, ameoa mara tatu na ametaliki mara mbili. Pia amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mcheza filamu za ngono akiwa kwenye ndoa.
 
Kamala Harris akiwa chuoni alikuwa mwanachama wa chama cha weusi cha Alpha Kappa Alpha sorority, akiwa seneta alikuwa ni member wa Congressional Black Caucus. Kamala hajawahi kuji brand muhindi, hakuna uthibitisho huo, hizo ni mojawapo ya kauli nyingi tu za kipuuzi za Trump.
hatuna shida na uAnachama wake wa Black caucus,kama tusivyo na shida na Weusi wa Baba yake.
race ya mtu is isiwe kigezo,weusi si kilema hata afikiliwe kwa jicho tatu kwasababu ya weusi wake.
 
Mcha Mungu ni Trump anayetaka kufuta ushoga na ndoa za jinsia moja ili kulienzi jina la bwana wetu Kristo aliye hai

Huyu Trump ni Mlokole hasa ndio maana alisema anashangaa kuona mataifa ya kiarabu miaka yote yanateseka kumpiga Myahudi kwani huko ni kupoteza muda tu!!!!! Israel itadumu milele na milele

Mungu mbariki Trump
Anawapiga porojo tu. Wote hao hali moja tu kuhusu ushetani. Hakuna mwenye afadhali hapo, si Trump si Kamala.
 
Naona hamuelewi kuwa Rais wa Marekani hapatikani kutokana na sanduku la wapoiga kura.

Hivi hamuelewi kuwa USA ni Republic?
Uongo!

Rais wa Marekani anapatikana kutoka kura za wapiga kura!
 
Watu weusi wanajibagua wenyewe.
Kama unaambiwa ni mweusi wakati ni mweusi kweli, sasa umebaguliwaje hapo ?
Ulitaka uambiwe ni mtu mweupe ndio uone kuwa hujabaguliwa ?
Kwanini unaukataa ukweli kuwa wewe ni mtu mweusi ?
Hata unachoandika wewe mwenyewe huelewi
 
Back
Top Bottom