Trump: Iran acheni utapeli, ulaghai na kujikweza Hamna silaha za nyukilia hata moja na hamtakuja kuwa nazo

Trump: Iran acheni utapeli, ulaghai na kujikweza Hamna silaha za nyukilia hata moja na hamtakuja kuwa nazo

Hivi mpaka sasa Trump hajajifunza kitu hasa baada ya missiles za Iran kushambulia military bases za US nchini Iraq bila kukosea shabaha, swali ni, je, nani aliwafundisha Wairan ku-manufacture silaha hizo na guidance/navigation systems za hali ya juu?

Trump ana uhakika gani kwamba wa Iran hawana silaha za nuklia mpaka sasa aidha kwa kutengeneza wao au kunununa ready made kutoka Korea Kaskazini au Pakistan - sioni kama Iran inaweza kubaki bila silaha za nuklia wakati Israel inazo na hakuna taasisi yoyote Duniani iliwahi kupendekeza kinu cha kufua plutonium katika kituo chao cha Domina jangwani Negev kikaguliwe - kwenye miaka ya 1960s Rais Kennedy alipo pendekeza Israel nayo ikaguliwe na kikosi kazi cha kuzuia usambaaji wa silaha za nuklia Kennedy hakuchukua raundi akauuwawa kikatiri!!
 
Umeamini Kama US PAPER TIGER...
Ndugu yangu bwana utamu nategemea kisasi cha maana kitakachotikisa kama kifo cha jenerali kilivyotikisa sio mnaenda kuwapa Hezbollah viroketi wakarushe israeli mmeseme mmelipa kisasi, au mratibu vimaandamo uchwara huko ubalozi wa US hapo iraq alafu mmeseme eti kisasi kimelipwa, onesheni kisasi cha kweli(kitu ambacho Irani hawezi fanya kamwe) ndio mtaona kilichomtoq kanga manyoya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom