Trump kurejea katika mitandao ya kijamii na mtandao wake mwenyewe

Trump ni tishio la Taifa au MaDemocratic propaganda zao?
Shida ya Trump ni ku-radicalize wafuasi wake wavunje sheria wakati taratibu za kutafuta haji yako kama umedhurumiwa zipo wazi
 
Ma Freemasons walimuibia kura na baadae kumfungia Mitandao ya Kijamii ili Mchakato wa Usambazaji wa Chanjo usipate wapinzani
 
Atulie ale pension...dunia sasa haiko mikononi mwake tena! Umri ulishamtupa mkono, akacheze golf...life is short!
Akizingua wanaenda kufungua mafaili ya tax returns, sijui tax heavens country, e.t.c😅
Wenzake huku tuna msiba raisi hakusafiri miaka mi5.
Wakati wenzake walitembelea nchi 50+.

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Pension ipi tena ?Wewe unadhani Trump ana njaa kama kina Obama.Kwa miaka yote minne ya uongozi wake ,Trump hakuwahi kuchukua mshahara sembuse hiyo pension ?
 
Pension ipi tena ?Wewe unadhani Trump ana njaa kama kina Obama.Kwa miaka yote minne ya uongozi wake ,Trump hakuwahi kuchukua mshahara sembuse hiyo pension ?
Pensioners ni watu wa serikalini tu??
Hayo ya mshahara siyajui, ana makampuni hata huko aweza kuchukua pension.
Unafikiri huo mtandao siyo opportunity ya kutengenezea fedha??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Alishaanzisha App inaitwa Parler ikavurumishwa kutoka Apple store na Play store.
Hakuanzisha Parler, alijunga nayo. Android, na apple wameinyesha walivyo biase kuzuia maoni wasiyopenda kusikia kutoka upande wasio u-support.
 
Pension ipi tena ?Wewe unadhani Trump ana njaa kama kina Obama.Kwa miaka yote minne ya uongozi wake ,Trump hakuwahi kuchukua mshahara sembuse hiyo pension ?
are you shure hakuwahi kuchukua mshahara?
 
Naomba mniAdd 🤣🤣🤣🤣
 
Huyo ndio mwanaume sasa hakuna kukata tamaa, anaweza kubadilisha historia ya Dunia muda wowote ule.
 
Problem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…