Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
can you provide us with link inayodhibitisha hilo?I'm absolutely sure!
labda aukane uraia wa marekani. lakin akiwa ndani ya taifa hilo hatoweza kabisa. na serikal inamuangalia.Huyo ndio mwanaume sasa hakuna kukata tamaa, anaweza kubadilisha historia ya Dunia muda wowote ule.
Uko dunia gani? Mahakama ilishawaruhusu hizo taxes wamekuta nini?Atulie ale pension...dunia sasa haiko mikononi mwake tena! Umri ulishamtupa mkono, akacheze golf...life is short!
Akizingua wanaenda kufungua mafaili ya tax returns, sijui tax heavens country, e.t.c😅
Wenzake huku tuna msiba raisi hakusafiri miaka mi5.
Wakati wenzake walitembelea nchi 50+.
Everyday is Saturday............................. 😎
can you provide us with link inayodhibitisha hilo?
Trump ana hela sana yote haya mambo atakuwa ashafanya utafiti wa kina shida ni followers je watu watamuunga mkono? mana mitandao mingi imeanzishwa imekufa lakini facebook, WhatsaApp, twitter na instagram ndio pekee ambayo imedumu kwa kiwango cha kuridhisha kila mtu ulimwenguniata host wapi?play store au i store? akizengua wanazifunga tu labda aka host russia huko
Yapi hayo ya ajabu..taja kwa uchacheAkiendekeza mambo yake ya ajabu hata huo mtandao wake utafungiwa tu
Yaliyosababisha afungiwe mitandao aliyokuwa akitumiaYapi hayo ya ajabu..taja kwa uchache
1. Kukataa ushoga
2. Viongozi wa Africa-Shit hole
3. Wahamiaji haramu
4. Kukiri ubaguzi adharani
5...
Ama?