Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Ndio misukule yenyewe hiyo.Sijui kwanini watu wanaamini kuwa ile ni misaada!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio misukule yenyewe hiyo.Sijui kwanini watu wanaamini kuwa ile ni misaada!
hapo sasa naukiamua kujitegemea watakuanzishia zengwe mpaka wakumalize kama ghadafi amawakutie dhikini kama MADURO ama IRAN wale wajamaa niwatu waajabu sanaAjabu pamoja ya kutuaminisha kwamba hatuwezi kuishi bila ya hiyo wanayoita misaada yao ila bado hawataki tujitegemee wenyewe.
тебе нужен мужчина!Upuuzi upuuzi upuuzi tu!
America kuna States nyingi huwezi kulinganisha utendaji wa Polisi wa Michigan na hapa Minnesota.
Na wala huwezi kulinganisha utendaji wa NYC na California.
.
Kuna sheria ambazo state moja inazo nyingine haina, yani ungejua Americans wanavyoiona Tanzania yako ni nchi ya aina gani na ukizungumzia mambo yao in a negative way wakati wao ndio lifestyle yao wanavyowadharau hata usingenyanyua madole hayo.
.
Dili na issue za Sithole yako OVER
Hawasemi ni perfect ila wanaielezea kama kitu kilicho perfect, yani huwezi kufikiri huko US nako watu wana ugumu wa maisha kiasi cha kwenda kufanya wizi kuvunja wa kuvunja maduka ya watu na kuiba nepi na mito. Kwamba huko Us kuna jamii fulani ya watu huona hawatendewi haki.
Troll you need to be cool you seem to have an uncontrolled addiction for sh*t arabic!тебе нужен мужчина!
не беспокойся ты получишь это
غبي
Maandamano kama hayo sio ya kwanza kutokea huko Marekani na huenda yasiwe ya mwisho hivyo huo ni kama upepo mbaya unapita tu ila baada ya muda mambo yatatulia.Haya maandamano nayo natamani yadumu miezi kama minne hv kama ilivyodumu coronya-19 ili tupate kuheshimiana hapa DUNIANI.....
ndio maana nikasema natamani sababu najua hayawezi kudumu katika hali yakawaidaMaandamano kama hayo sio ya kwanza kutokea huko Marekani na huenda yasiwe ya mwisho hivyo huo ni kama upepo mbaya unapita tu ila baada ya muda mambo yatatulia.
USA [emoji631][emoji631][emoji631][emoji631] taifa kubwa
Ass!Don't be nuts.
Issue hapa is maandamano ni ya aina gani?
.
Tanzania hutumika nguvu kwenye maandamano ya kisiasa ambayo hayaharibu mali wala kuvunja amani.
Hili la Minnesota si la kisiasa na watu wanaharibu mali they don't protest they do riots
Nandio maana tunataka tukakachomoe kule MBOCHI.....Ila huyu mzee huyu..ana mdomo mchafu sana.
[emoji123][emoji123]Nandio maana tunataka tukakachomoe kule MBOCHI.....
Yes. Ni kweli kabisa. Jamaa ana kauli za kibabe sana. Angeongea nao kirafiki na kiupole kabisa. Angejishusha kabisa na kuwaomba wananchi msamaha kwa niaba ya wale askari. Kama kuna amendments za kufanya kisheria angefanya tu. Mbona rahisi tu. Watu wangetulia tu.Kauli za Trump ndo zinachochea
откуда ты знаешь по русскитебе нужен мужчина!
не беспокойся ты получишь это
غبي
Trump alikosea kuanzia kule twitter hadi twitter wanamrekebisha halafu anawakebehi Twitter, ikaonekana kwamba kauli ile alikusudia ,Trump hakustahili kuwa Rais ni mhuni tu kaingia kijanjaYes. Ni kweli kabisa. Jamaa ana kauli za kibabe sana. Angeongea nao kirafiki na kiupole kabisa. Angejishusha kabisa na kuwaomba wananchi msamaha kwa niaba ya wale askari. Kama kuna amendments za kufanya kisheria angefanya tu. Mbona rahisi tu. Watu wangetulia tu.
Tatizo hawa wanasiasa wa dunia hii wanapenda waabudiwe kama miungu maana wanajua kwamba majeshi yote yanatii amri zao!