Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

Waambie wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi. Wao wanadhani hizi ''takataka'' za mchina zinazokuja Afrika ndizo zinakuza uchumi wa China. Soko la mchini liko kwenye mataifa yaliyoendelea na wakiamua kumkomesha wanaweza.
Kwani mwaka 2018 Trump alipo pandisha ushuru china aliathirika kwa kitu gani?
 
BRICS ni upuuzi ulioshindwa kabla ya kuanza. Nchi za Africa zilizokimbilia BRICS hata hazikuwa zinaelewa BRICS ni nini, zenyewe zilijua ni shirika jipya la kutoa misaada😀
Yaani Trump yupo anatokwa na povu kwa ajili ya BRICS alafu ww mhehe unasema hamna kitu.
Hivi wtz akili mlisha zipeleka wapi?
 
Trump ni mwendawazimu atakaye harakisha zaidi anguko la marekani.
MJINGA. Donald Trump aliwahi kusema " Changamto ya dunia ya sasa ni kwamba wenye AKILI wanajitenga na siasa na kuwaacha WAJINGA wafanye maamuzi ya kila kitu juu ya maisha ya wajinga na wenye akili. Anguko la Marekani litakuwa ni kusambaratika kama ilivyokuwa USSR na ndicho anachokitamani Putin kitokee kabla hajafa.
 
Juzi wamezindua simu yenye teknolojia kali huku kila kitu wakitegemea toka nchini kwao.

Na wamemtoa kimauzo I phone homeground jambo ambalo halikutegenewa.

Unataka maelezo zaidi ?
Inatosha mzee ushamtafunia unataka na umlishe pia kama hataweza kumeza mwenyewe basi tena
 
Waambie wewe kiazi, mimi mhogo nitaambiwa nina mizizi. Wao wanadhani hizi ''takataka'' za mchina zinazokuja Afrika ndizo zinakuza uchumi wa China. Soko la mchini liko kwenye mataifa yaliyoendelea na wakiamua kumkomesha wanaweza.
Wataamua lini maana China kua hapo ilipo sio bahati mbaya na haijatoka kwa ghafla
 
😄😄
 
Uzi ufungwe maana kama chakula basi hii koment ni pilau au biriani
 
Euro haikuanzishwa kama mbadala wa dola au hili hulijui na ndio maana hakuna siku marekani aliipigia kelele hio Euro
 
Huyu jamaa kweli mwamba,kaanzia palepale walipomkatizia,ananyoosha rula...
 
Ukipandisha ushuru watakao umia ni watumiaji wa mwisho wa nchini kwako.

Kafuatilie trade war ya marekani na China 2018 Trump hajaanza kuwa mwendawazimu leo.

Uzuri ana deal na mataifa yenye akili yanayo nufahika na upumbavu wake.
Kwani bro wangu mo energy ikipandishwa ushuru na samia ikaanza kuuzwa elef tano Kisha wewe ukaacha kuitumia baada ya bei kuwa sana ukaanza kunywa jambo energy ambaye atakuwa ameathilika hapo ni nani? Ni wewe mnywaji ambaye kwa sasa unatumia jambo energy au mo dewj ambaye atakuwa kakupoteza wewe mteja wake

Jambo Mbona liko wazi kabisa bro
 
Ndio ukweli, hii ni vita ya maslahi na hamna mtu atakubali kupoteza alichojijengea tayari kwa ajili ya kujenga kipya ambacho kwanza hana hata uhakika kama kitafanikiwa! Na tusasahau hii miungano inavunjwa kwa divide and rule!
Na hapa ndio munapokosea au tunapokosea sisi waafrika kwa kudhania kwamba watu hua wanapenda kuporomoka hasa hao superior pia kudhania ama kuwa na mawazo eti huna hakika kama itakua fanya isipokua unakua umejaribu ikiwa umetoboa nyie kaeni tu brics ishatoa nanga
 
Nauli zilipandishwa bei hapo dar vipi watu waliacha kupanda magari kwasasa wanatembea kwa miguu tokea mbagala mpaka kkoo au waliamua tu kwenda nayo hio hio hali yakua wanaumia
 
Tusubiri kama tutakua hai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…