Labda watu wamekuwa wajinga kupindukia au uwezo wangu wa kufikiria umeporomoka beyond reasonable doubts.
Marekani ni nchi iliyoendelea, hivyo ni nchi yenye viwanda vya karibia kila bidhaa wao wanaitengeneza. Hili linamfanya USA kuhitaji raw materials nyingi kuliko finished products ili aweze kuvisustain viwanda vyake. Juu ya yote, hakuna bidhaa inayoongaza kuuzwa na Marekani kama shilingi yake.
BRICS inataka kuanza kuuza bidhaa zao kwa shilingi zao, sio tena dollar. Mfano, vitu vyote China anavyoviuza nje, basi analipwa kwa dollar, vyote anavyonunua alinapa kwa dollar. Ina maana biashara zote za mchina malipo yake ni dollar. Kama mchina akiamua kuanza kuuza bidhaa zake kwa yuan, inamaanisha nchi zote duniani zitakazotaka kufanya biashara n mchina itabidi zinunue Chinese yuan kwanza, ndio zikanunue bidhaa za kichina.
Ukizingatia mchina anafanya biashara na takriban Dunia nzima, basi Dunia nzima itabidi inunue pesa ya mchina*yuan kwanza badala ya dola ndio iendeleze biashara n mchina. Hili litainufaisha China kuliko maelezo, maana bidhaa yake kuu itakuwa ni pesa ya China, ndio bidhaa nyingine zifuate.
USA n mchina hakuna anayemtegemea mwenzie 100%, Ina wote wanategemeana, haswa USA anamtegemea mchina zaidi. ¹Anahitaji mchina auze na anunue kutumia dola, ² analihitaji soko la kichina linunue bidhaa zake ghali na ³anahitaji mchina amuuzie malighafi ili viwanda vyake visife. Mchina analihitaji soko la bwanyenye la usa tu ili aweze kuziuza bidhaa zake USA.
Hapo nimemtumia mchina kama mfano. Ila kumbukeni tunaiongelea brics nzima. USA inaihitaji brics kuliko brics inavyomhitaji. Maana dhumuni kuu la kuundwa kwa brics ni kuunda soko kubwa (nchi wanachama zitegemeane kimasoko) ili ziweze kulipotezea soko la USA.
Kwa sasa USA ananunua gesi n mafuta ya mrusi kwa rubbles. Na huu ni mwanzo tu, sasa itakuwa brics nzima. Hii nchi zitaendelea n kupiga hatua bila ya USA kuliko hata alipokuwepo. USA amewapa soko la Bure, ila anawanyonya kupita maelezo. Kama mnavyojua, mfa maji haishi kutapatapa. Hivyo USA anguko lake sasa rasmi limefika. Potelea mbali *****, skuizi watu sio washenzi kama zamani. Putin ndio anguko la USA rasmi. Ndio maana USA yupo tayari kutumia matrilioni ya dola za kimarekani kumuondoa putin kwenye uso wa Dunia lakini hawezi. Juu ya yote, kumbukeni kauli mbiu ya brics ni kuzisaidia nchi wanachama kukuwa kiuchumi na sio kuendelea kumsaidia USA aendelee kuwa tajiri hasi duniani. Aishi maisha marefu putin, Aishi maisha marefu putin. Tunaihitaji Dunia bila mashoga.