Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
halafu ni jasiri asiyejali watu wanamuonajeHuyu anaweza. Maana ni maswahiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu ni jasiri asiyejali watu wanamuonajeHuyu anaweza. Maana ni maswahiba.
Hapana ila utalijua neno la Mungu vizur.Kwa hiyo ukikaa sana kanisani waweza kuwa padre.
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameahidi kuimaliza vita kati ya Ukraine na Urusi ndani ya saa 24 tu endapo akipewa tena Urais wa Marekani.
Trump ambaye tayari ameonesha nia ya kugombea tena Urais kwenye uchaguzi ujao wa mwakani 2024 ametoa kauli hiyo Florida, Marekani ambapo amesema ataimaliza vita hiyo akishatangazwa Mshindi tu hata kabla ya kuapishwa.
“Nikishinda tu sitosubiri hadi kuapishwa, nitampigia simu Rais wa Urusi, Putin na Rais wa Ukraine, Zelensky na kuwaambia tunapaswa kuonana, nawahakikishia nitamaliza vita hivi, nitamwambia Putin hivi na kumwambia Zelensky vile na tutakuwa na dili ya kumaliza vita ndani ya saa 24 tu”.
Trump amekosoa pia kitendo cha Rais Biden kuidhinisha pesa za kuisaidia Ukraine kwenye vita hivyo na kusema kufanya hivyo ni kama Marekani inachochea vita zaidi na kufanya Watu wengi waendelee kupoteza maisha “Namjua Putin hawezi kukubali kushindwa vita kwa kumtunishia msuli au kumuonesha ubabe, bali kwa njia bora za mazungumzo, Urusi imeshinda vita nyingi ina silaha na mbinu kibao za vita huwezi kuishinda kirahisi kwa kutumia mabavu”.
Katuaminisha Madai ya democratic urusi kuingilia uchaguzi awamu ya kwanz trump kua rais ,lapili sio TU mashwahiba ,alishatengenezwa kitambo Sana na urusi huyuHuyu anaweza. Maana ni maswahiba.
Nani alimnyofoa kwenye urais. Au ndo anataka agombee kwa mara ya kwanza?Nani wa kumzuia kuwa rais?
Check your facts, pal!NOV.wote aliowaunga mkono walishindwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siasa Ni ngumu..Vita ikiisha Leo Trump anakosa agenda ya uchaguziYe anajuaje mpaka ifike uchaguzi bado tu kutakua na vita Ukraine?