Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ipi hiyo ?KWa hali ilivyo duniani saiv,Marekani hawawezi kumpa nchi Mama harris
Ndio nani huyo ?Nguvu ya Kamala Halisi ni ndogo sana kuliko ya Halali clinton
Unaringanisha na wakati gani ambapo hizi opinion polls ziliwahi kumtabiria ushindi?View attachment 3089590View attachment 3089592View attachment 3089591
Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu
Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden.
Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa
Dah😅Popular votes akashindwa senator votes!
Hao ndio wanakujengea vyoo huko Kibaigwa kwa Hisani ya Watu wa Marekani.Vijana wa kitanzania,, habari za marekani zawahusu nini ninyi?
Kwako wewe adabu ni ipi? Na kwa Wanatekani adabu ni ipi?Kwa jamii ya Watu waliostaarabika, kumchagua Trump kuwa Rais wa nchi ni makosa makubwa sana.
Trump ni mtu ambaye Hana adabu hata kidogo.
Duh! Mzee! Unapotosha halafu jicho kavu kabisa, hauoni aibu!!Hapana Trump!
Inategemea wenye nchi wanataka nani awe Rais!
Kumbuka hasta secretary Clinton alishinda dhidi ya Trump kwenye popular votes lakini Trump akapewa coz alishinda kwenye kura za house of representatives!
Wamarekani Wana demokrasia ya kupika!wanaemtaka anapitishwa kiaina!Duh! Mzee! Unapotosha halafu jicho kavu kabisa, hauoni aibu!!
View attachment 3089590View attachment 3089592View attachment 3089591
Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu
Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden.
Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa.
Sasa kamala ana misuli gani??? Kundi la wauaji Deep state liko nyuma ya Kamala kwasababu ni dhaifu sana watakuwa wanaamua wao na most likely vita ya dunia itaanzia hapo.View attachment 3089590View attachment 3089592View attachment 3089591
Safari ya Donald Trump kuelekea White House bado ngumu
Bado Republican Walikosea kumsimamisha Trump. Alikutana tu na weak opponent Joe Biden.
Sasa anapambana na mtu mwenye misuli ya Kisiasa na Mwanasheria. Ni ngumu Sana Kutoboa
Kwan Samia sio dhaifu?Porojo za kijinga za Samia ni dhaifu saizi mnalia kama Watoto baada ya kufinywa 😂😂