Trump sijui atatoboa, Kura za Maoni zinamkataa

Trump sijui atatoboa, Kura za Maoni zinamkataa

Trump anarudi White House.

Huyu makamu ni swala la muda atajua haiwezekani.

Trump yeye anahubiri ni America kwanza. Ana mapungufu mengi lakini..
Acha Trump aje aisafishe dunia turudi kwenye mstari.

Ni sawa na jiwe alisema Tz kwanza thou alikuwa na mapungufu yake but
🚮🚮
 
Kuchambua kitu usichokijua ni vibaya sana, ni bora kukaa kimya.

Wengi wa wachangiaji hapa JF inaonekana hawajui chochote kuhusu uchaguzi wa USA.
 
Aisee huku mtwara hapa shooters bar kuna wahudumu wazuri sana kuliko wahudumu wa air Tanzania
 
Hapana Trump!

Inategemea wenye nchi wanataka nani awe Rais!

Kumbuka hasta secretary Clinton alishinda dhidi ya Trump kwenye popular votes lakini Trump akapewa coz alishinda kwenye kura za house of representatives!
Dick cheney, makamu rais' wa bush na republican,anasema trump hapana, mwamba hatoboi
 
Back
Top Bottom