Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.