Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Wivu huzaa chuki. Kwa Dunia ya sasa ukiishi kwa share mafanikio yako utazidisha chuki na kuongeza marafiki.
Kama utaoa basi wanao na wazazi wako ndo watakuwa ndugu zako na marafiki zako.
Zingatia hili
Kweli kabisa ndgu ni wazazi na watoto wako tuu..

Wivu huleta chuki na nimeona chuki wazi wazi..
Mpaka sasa naona. Chuki hvi ni mtu wa aina gani anafurahi mwenzake akikosa au akiwa na hali mbaya
 
Cut the cord... Watu wasipoona mafanikio kwa macho ya nyama basi watakuona kwa macho ya rohoni.

Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.

Kama huwezi kuipigana vita basi tafuta ulinzi. Wanga na washirikina wamekuwa wengi na uharibu kila harakati za mtu.
Wengi mnooo wengiii mno..
Mkuu haingii akili kwanini mtuu anachukia tu mafanikio ya mtu why..

Hiko kitu nawaza mbona mi siwezi yaani inakuaje kiasi kwamba unakua na chuki
 
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.

Kuna watu wanatamani kuona unateseka.

Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.

Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.

Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.

Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.

Ishi hivo....

Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Kweli kabisa
 
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.

Kuna watu wanatamani kuona unateseka.

Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.

Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.

Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.

Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.

Ishi hivo....
Mimi niko kinyume na wewe

Ninaamini jinsi mtu alivyo anavutia watu wa aina yake kuja kwake na kushirikiana naye.
Ndio maana mtu anayekunywa pombe hapendi kukaa na anayekunywa soda, mtu anayependa majungu na ujinga huamini kila anyemzunguka yuko hivyo. Hata mtu akicheka huhisi anachekwa yeye

Principal ni moja tu
Jali maisha yako, kama kuna jambo unahisi ni la hatari chukua tahadhari za kimkakati, acha kufikiri wengine wanawaza nini kuhusu wewe au watafanya nini hiyo ni dalili kuu ya UMASIKINI.
 
Mimi niko kinyume na wewe

Ninaamini jinsi mtu alivyo anavutia watu wa aina yake kuja kwake na kushirikiana naye.
Ndio maana mtu anayekunywa pombe hapendi kukaa na anayekunywa soda, mtu anayependa majungu na ujinga huamini kila anyemzunguka yuko hivyo. Hata mtu akicheka huhisi anachekwa yeye

Principal ni moja tu
Jali maisha yako, kama kuna jambo unahisi ni la hatari chukua tahadhari za kimkakati, acha kufikiri wengine wanawaza nini kuhusu wewe au watafanya nini hiyo ni dalili kuu ya UMASIKINI.
Hayajakukuta mkuu...
Ila ungejua nilivyo social ww hata usingesema hivo...
 
Cut the cord... Watu wasipoona mafanikio kwa macho ya nyama basi watakuona kwa macho ya rohoni.

Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.

Kama huwezi kuipigana vita basi tafuta ulinzi. Wanga na washirikina wamekuwa wengi na uharibu kila harakati za mtu.
Huo ulinzi ndio utupe codes mkuu. Tuishije ili kuimalisha ulinzi wetu kwa kile tunachokifanya kwenye maendeleo yetu
 
Why anifanyie hvi mtu wa karbu ..
Rafiki wa toka nitoke
Tena, wa karibu yako ni hatari. Hata Yuda aliyekuwa kwenye inner circle ya Bwana Yesu alimsaliti. Tujifunze kujibakisha/kuweka akiba ya kila kitu, si ya maneno tu. Hata mafanikio na maumivu yetu saa nyingine. Huwezi kujua nani yupo upande wako na nani hafurahishwi na mafanikio yako. Amini wapo hata wazazi wenye hila kwa watoto wao
 
Mkuu funguka kidogo weka nyama... Iko hivi inatakiwa wayaone mafanikio Yako ya nje ila wanyime wasiijue michongo Yako ya ndani
Mkuu assume mmepambana weww na mwenzako migodini mkapata dhahabu..

Lakini baada ya kupata yeye akaona haitoshi kwakua alipambana sana kuliko wewe akachukua 70 akakupa 30 percentage ya pesa mliyo uza madini...

Wewe na hiyo hiyo 30 yako ukasema its oky wala ujaleta utata.

Wewe ile 30 yako ukafanya jambo la maana ambalo likawa kinakufa manufaa mpaka yule mwenzako wa 70 akastuka.

Mda huo yeye amefanya jambo lake ila likabuma na hakuwa na matumiz mazuri ya pesa..

Baada ya hapo chuki zikaanza chuki chuki mwisho wa siku anaonesha wazi wazi chuki zake... Anachoresha mipango unaibiwa..

Mkuu umeona situation hyo
 
Kumbe wanaume pia kuna wenye roho za korosho, nilifikiri ni sisi tu wanawake.

Mie kwa sasa nimekata chain nzima ya niliokuwa nawaita marafiki, baada ya kugundua nimezungukwa na wanafiki.

Yaani hata siku ikitokea nipo hoi kitandani na nipo peke yangu ndani, ni kheri nitambae mpaka nje kuomba msaada lakini si kumpigia eti rafiki aje kunisaidia.

Kuna siku ni kama Mwenyezi Mungu alinifunulia, kuna mmoja tulikuwa tunaitana marafiki, yaani urafiki uliopitiliza kuelekea undugu akanipigia simu, sikupokea, ilikuwa ni Alfajiri. Nikapitiwa usingizi ghafla ikanijia ndoto ikinionesha sio mtu mwema. Baada ya kushtuka nakutana na sms yake, wala sikuijibu mpaka leo hii.
 
Back
Top Bottom