marashi ya pwani
Senior Member
- Sep 30, 2024
- 120
- 132
Hii imeenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WivuuuHii imeenda
Hayajakukuta wewemtoa mada acha kudeka
Huoni hata hum ukipandisha Uzi wenye masrahi inavyozuka vita, kejeli na kukatishana tamaa? Masikini wapo Kila Kona na ndio hao waliobeba husda za kichawi. So tunarudi kulekule kwenye point fanya mambo Yako kmy kmyKabisa maskina tuna ROHO MBAYA baadhi yetu
Sawa ndgu madekoHayajakukuta wewe
Kuna kamshindo Cha mil 2.8 nilipiga nikanunua boda ya mil 1.5 ingine nikafanya maendeleo mengineWivuuu
Dah kaz kweli kweli😄Kuna kamshindo Cha mil 2.8 nilipiga nikanunua boda ya mil 1.5 ingine nikafanya maendeleo mengine
Miezi 2 na siku jamaa yangu hakuna Salaam full minuno
Mpaka chombo ilipodandiwa na Mali asili ndio tunasalimiana
Kulingana na imani yako elekeza maisha yako kwa Mungu.Huo ulinzi ndio utupe codes mkuu. Tuishije ili kuimalisha ulinzi wetu kwa kile tunachokifanya kwenye maendeleo yetu
Tunakusubir mkuuKulingana na imani yako elekeza maisha yako kwa Mungu.
Chagua bwana mmoja umtumikie na sio asubuhi unasali au jioni unajipaka dawa za ramli.
Nitaiweka vizuri hii. Asante.
Till now upo macho bloodPole kaka
Nacheki series kwenye PC kakaTill now upo macho blood
Ipi hiyo bloodNacheki series kwenye PC kaka
Kweli kabisaa hata ndugu wako karibu pia hawapendi kukuona ukitoboaassMawazo yapi hapo..
Mimi sio mshirikina ila naongea from experience...
Waswahili wabaya sana kuna watu hawatamani kuona wengine wanafanikiwa..
Chuki za nini kama una wako nyumbani na mimi nina wangu
Ni so sad mi nashangaa why why an weww unakua peace kwa wengine kumbe wao wana wivuKweli kabisaa hata ndugu wako karibu pia hawapendi kukuona ukitoboaass
Daaaaaa dunia hiii sikia tuu nami same same nimepigwa makombora miaka zaidi 20......nisinyanyyke na ndugu karibuu kabisaaaa.....wa damuuuuNi so sad mi nashangaa why why an weww unakua peace kwa wengine kumbe wao wana wivu
Mkuu nakuelewa sana yaani hapo sasa umeshapata uzoefu na kujua nini maana ya ulimwengu.Hayajakukuta mkuu...
Ila ungejua nilivyo social ww hata usingesema hivo...
Hujui usemacho. Marafiki wapo sema si wote ni wema. Angalia urafiki wa Samia na Makonda au ule wa Trump na Musk au wa Shetani na Mungu mwanangu.Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.
Kuna watu wanatamani kuona unateseka.
Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.
Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.
Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.
Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.
Ishi hivo....
Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....
Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.
Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.
Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu
Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....
ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.