Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

You fit your name- poor brain.

Dunia ya leo hakuna mtu anamuda wa kuangalia nani anafanya nini au kukuonea wivu. Kuamini una haters, unarogwa sijui unafanyiwa fitna ni ugonjwa wa akili na kujipa umuhimu usiokua nao.
We kama hauko tanzania, hukai vijiwe vya kahawa, huwezi kuelewa,
 
We kama hauko tanzania, hukai vijiwe vya kahawa, huwezi kuelewa,

Mnajazana upumbavu endelevu tu huko vijiweni.

KIJIWENI.png
 
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.

Kuna watu wanatamani kuona unateseka.

Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.

Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.

Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.

Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.

Ishi hivo....

Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....

Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.

Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.

Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.

Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu

Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....

ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Labda uishi mbinguni lkn duniani uta mingle tu na watu
 
Be yourself ..trust yourself kwakuwa at the end ni wewe na maisha yako.. Anayekukubali MKUBALI.. anayekishit.. Mpe shit.. Just simple like that
Kaka anakuja mtu anakukubali,, oky unaanza kumkubali anaanza kukuloga et
 
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.

Kuna watu wanatamani kuona unateseka.

Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.

Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.

Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.

Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.

Ishi hivo....

Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....

Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.

Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.

Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.

Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu

Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....

ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Trust no one except your self
 
Wala hujakosea kuna watu wameumbwa kuwa mitihani kwa wengine haswa ila nilikuja kugundua ukidumu na zile adhkar kuna namna wepesi unapatikana, kipenz jitahidi kudumu nazo hizi
Swadakta ,walaa taniaa fiy dhkir
 
Back
Top Bottom