Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.

Kuna watu wanatamani kuona unateseka.

Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.

Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.

Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.

Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.

Ishi hivo....

Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....

Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.

Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.

Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.

Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu

Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....

ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Imekuaje kijana mbona unalia lia enh? Trust no one ndio sema yqliyokusibu. Duka lako limeibiwa tena?
 
Hapana mkuu wanataka wanihamishe mtaa..
Maana wanaona nakuja kwa speed ya chui..Just imagine kila kitu unajitegemea ila bado watu wanaona kama nafaidi..

Kiufupi ridhiki mwanzo wa chuki

Play low key hii ndo kanuni namba moja wakilia kuwa maisha ni magumu na wewe lia the same .

Usiwaoneshe kuwa una mkwanja

Life is about siri don't expose ur progress

Kuna evil eyes
Negative energy
N.k

So work hard
Keep silence
Play low key
 
Hapana mkuu wanataka wanihamishe mtaa..
Maana wanaona nakuja kwa speed ya chui..Just imagine kila kitu unajitegemea ila bado watu wanaona kama nafaidi..

Kiufupi ridhiki mwanzo wa chuki
Sasa mtoto wa kiume ndo ulie lie? Unajua mm nilipo mda huu? Anyway tafuta ngoma ya moni centrozon inaitwa maelekezo chapter 6
 
Play low key hii ndo kanuni namba moja wakilia kuwa maisha ni magumu na wewe lia the same .

Usiwaoneshe kuwa una mkwanja

Life is about siri don't expose ur progress

Kuna evil eyes
Negative energy
N.k

So work hard
Keep silence
Play low key
Keep silence wawe wanaona tuu mambo yana buka tuu paap paaap....

Aiseee ngoja nafanya hivo kwa sasa mdomo napunguza staki mambo mengi..

Ila sasa naona kama tawauwa kwa presha mkuu..
Hvi unajua watu hali yao ni tete financial alafu wewe ndo kwanza Una invest mavtu makubwa makubwa unazani hawatoacha kukuloga
 
Keep silence wawe wanaona tuu mambo yana buka tuu paap paaap....

Aiseee ngoja nafanya hivo kwa sasa mdomo napunguza staki mambo mengi..

Ila sasa naona kama tawauwa kwa presha mkuu..
Hvi unajua watu hali yao ni tete financial alafu wewe ndo kwanza Una invest mavtu makubwa makubwa unazani hawatoacha kukuloga

You have nothing to change about their life

Kama ambavyo umefanikiwa Ku-beat the odds ndivyo mtu yeyote anaweza so always be smart and maintain being heartless and not helpless.
 
Wana jau sana..
Imagine mwana kama huyo ile roho anapata wapi et...
Mi mwana namsaidia kwa moyo mmoja kumbe an lake jambo..

Anafurahi mimi napopata majanga
Msaidie tu mtu ila wana wana roho mbaya ,mi naamini ndgu zangu 100% kwa sababu nilishaumwa nusu kufa wakanisave bila hata ya rafiki wa kazini kuja wala michango yao...So napenda ndugu zangu kuliko watu baki ,kiufupi sina rafiki .
 
You have nothing to change about their life

Kama ambavyo umefanikiwa Ku-beat the odds ndivyo mtu yeyote anaweza so always be smart and maintain being heartless and not helpless.
Dactar huu moyo wa kuwa na wivu hatimae chuku hii imekaaje mbona wengine hawana...
 
Msaidie tu mtu ila wana wana roho mbaya ,mi naamini ndgu zangu 100% kwa sababu nilishaumwa nusu kufa wakanisave bila hata ya rafiki wa kazini kuja wala michango yao...So napenda ndugu zangu kuliko watu baki ,kiufupi sina rafiki .
Kweli ni mara chache sana Ndugu wa damu kusaliti.
 
Ijapo umeandika kwa hasira mtoa uzi lakini kwa 1500% upo sahihi sana, hasa ukiwa mtu wa kugusa matatizo yao na kuwatendea mema wao huwa wanawaza kukutendea mabaya..(YALISHA NIKUTA)
SINA HAMU NA WATU,
NA UKIISHI MAISHA YAKO BILA KUGUSWA NA MAISHA YA WENGNE UTAISHI VIZURI(hamtanielewa leo)
 
Hata uishi nao vipi kuna watu wana roho mbaya sana.

Kuna watu wanatamani kuona unateseka.

Kuna watu wanapenda kuona unadhalilika na hapo ujawakosea chochote.

Kina watu mafanikio yako yanawauma sana na haujafanya chichote.

Wanatamani uwe chizi utokwe na midenda.

Wanatamani kukuroge....
Usimwamini mtu, hakuna rafiki fanya maisha yako.

Ishi hivo....

Midekoo
Ridhiki mwanzo wa Chuki.....

Nomadix
Rafiki yako ni wewe mwenyewe tu.

Satan
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.

Kuna watu hupenda kuona wenzao wanaishi vile watakayo.

Chujio
Kifupi usiwe zuzu kuamini kila la kuambiwa na kusemasema ovyo pia kwa watu

Kasie
Kuna waliosema, fadhila mfadhili mbuzi utamla mchuzi, binadamu anamaudhi....

ndege JOHN
Heri ukaishi porini ucheze na ndege kuliko kucheza na wanafki.
Sijaelewa mkuu hao uliowatag ndio waswahili ama..?
 
Dactar huu moyo wa kuwa na wivu hatimae chuku hii imekaaje mbona wengine hawana...

Hiyo inaitwa Crab mentality
au kwa kiswahili huitwa kaa katika Ndoo

Wale kaa wakiwa katika Ndoo huwa hawakubali mwenzao atoke kupanda juu.
 
Sasa unataka nifurahie mafanikio yako kwan mimi ni mama yako au baba yako au familia yako

Mafanikio yako ni furaha kwa familia yako sabu hao ndo watafaidika nayo sasa unataka mm nifurahie mafanikio yako kisa ni rafiki yako,
Yan unataka nifurahie ww kunizidi kisa mm rafiki yako we jinga kbsa.

Mama yako baba yako watoto wako na mkeo ndo wanapaswa furahia, kichaa kbsa ww
 
Back
Top Bottom