Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

Huko porini ukacheze na ndege lakini sio tai.
 
Kuamini kila mtu anakuonea wivu na kutamani uharibikiwe ni ugonjwa wa akili. Watu wapo busy na maisha yao hawana idea na chochote kile unachofanya mnapenda kujipa umuhimu msiokuwa nao. Wewe na godoro lako moja nani akuonee wivu?
 
Kuamini kila mtu anakuonea wivu na kutamani uharibikiwe ni ugonjwa wa akili. Watu wapo busy na maisha yao hawana idea na chochote kile unachofanya mnapenda kujipa umuhimu msiokuwa nao. Wewe na godoro lako moja nani akuonee wivu?
😁😁😁😁 Magodoro ninayo mawili mkuu..

Ila jiwe lishakufikia cool down nigga
 
Duniani hakuna urafiki ni maslahi tu kuwa makini
 
Pole mdogo.

Hivyo ndivyo dawa inavyofanya kazi, taratibu tu utapona.
 
😁😁😁😁 Magodoro ninayo mawili mkuu..

Ila jiwe lishakufikia cool down nigga

You fit your name- poor brain.

Dunia ya leo hakuna mtu anamuda wa kuangalia nani anafanya nini au kukuonea wivu. Kuamini una haters, unarogwa sijui unafanyiwa fitna ni ugonjwa wa akili na kujipa umuhimu usiokua nao.
 
Hii umeongelea kufanya mambo yasiyo ya SIRI ambayo yanamfaidisha moja kwa moja anayekufanyia. HAPA tunaongelea yale yanayokuhusu wewe binafsi na kukutoa hatua moja kwenda nyingine kimaisha sio issue za KUSHIBA, KUFIKA SOKONI, KUPONA MALARIA e.t.c πŸ˜‚
 
You fit your name- poor brain.

Dunia ya leo hakuna mtu anamuda wa kuangalia nani anafanya nini au kukuonea wivu. Kuamini una haters, unarogwa sijui unafanyiwa fitna ni ugonjwa wa akili na kujipa umuhimu usiokua nao.
Sawa bufa...
Umeeleweka mkuu..
Nashukuru kwa ushauri wako inaelekea ww ni mwana saikolojia
 
You fit your name- poor brain.

Dunia ya leo hakuna mtu anamuda wa kuangalia nani anafanya nini au kukuonea wivu. Kuamini una haters, unarogwa sijui unafanyiwa fitna ni ugonjwa wa akili na kujipa umuhimu usiokua nao.
Haters wako sana, mtaani tunayasikia, tunayaona,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…