Trust no one, hakuna rafiki. Waswahili wanafiki sana

You fit your name- poor brain.

Dunia ya leo hakuna mtu anamuda wa kuangalia nani anafanya nini au kukuonea wivu. Kuamini una haters, unarogwa sijui unafanyiwa fitna ni ugonjwa wa akili na kujipa umuhimu usiokua nao.
We kama hauko tanzania, hukai vijiwe vya kahawa, huwezi kuelewa,
 
Labda uishi mbinguni lkn duniani uta mingle tu na watu
 
Be yourself ..trust yourself kwakuwa at the end ni wewe na maisha yako.. Anayekukubali MKUBALI.. anayekishit.. Mpe shit.. Just simple like that
Kaka anakuja mtu anakukubali,, oky unaanza kumkubali anaanza kukuloga et
 
Trust no one except your self
 
Wala hujakosea kuna watu wameumbwa kuwa mitihani kwa wengine haswa ila nilikuja kugundua ukidumu na zile adhkar kuna namna wepesi unapatikana, kipenz jitahidi kudumu nazo hizi
Swadakta ,walaa taniaa fiy dhkir
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…