Truth be told, when it Comes to Relations, Women have a Raw Deal...;

Truth be told, when it Comes to Relations, Women have a Raw Deal...;

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Being Emotional and Cultural Stereotypes as well as the need to Conform...., being hit-on from the time they reach puberty (hivyo kuitaji kuwakataa matapeli na kuepuka matamanio).....,

Ingawa mambo yanabadilika nashangaa sana limetokea kundi la wanaume wanaolalamika kwamba katika uwanja huu wa matters of the Heart kwamba sisi wanaume ni victims..., yaani unahitaji kujichunga sana na huyu kiumbe..., Cha kujiuliza ni kwamba katika ulingo huu (with all thing considered) Je ni kweli kwamba mwanaume ndio ana raw deal (au lack of options) ?

Nadhani tatizo ni pale ambapo watu wana-equate kila kitu na financial matters, kwamba mwanamke anakuchuna au sababu ulimfaa jana basi akikukataa kesho hilo ni kosa la jinai.., Na je karne hii ambapo kila mmoja ni mtafutaji hili suala la finance bado ni valid ?

Of course huenda wanawake wengi wamebalikiwa vijimaneno na vijikero au wanaweza wakakupiga neno la kukuumiza mpaka siku unaingia kaburini.., lakini je tumejaribu kuangalia watu hawa emotional kama wakikubariki maisha yao (penzi) na siku ukiwatupa kando Je hawaumii ? Basi huenda kama vile maua rose yenye miiba ili kuji protect huenda hivyo vijikero kwa mwanamke pia ni kujilinda na waharibifu (which happens to be most of men).

Je ni wangapi wanadhani kwamba wanaleta kiumbe ili kiwe na wazazi wawili wanaishia kukimbiwa ? Nadhani ifike wakati tuseme ukweli.., mwanaume kama yamekushinda ni rahisi kuchukua chako au kuacha kila kitu na kuanza moja, jambo ambalo sio as easy kwa mwanamke.... Na wale kila siku wanaopondwa mawe kwamba ni Single Mother na hawafai kuingia tena kwenye game je Single fathers vipi ? Wao ni Ruksa ? Na je Single na Single wakikutana ? Hio ni Kosher ?

Nadhani katika hii field ya Mahusiano sidhani kama yupo asiyeumia na kama tukisema tuweke kwenye mizani (women have got a raw deal) na Kwa wale ambao wanalalamika kwamba huyu mdada hafai wanaweza kuchukua hamsini zao.., (au hata 25); Na kwa wale wanaume wanaokunywa sumu au kuchukua uamuzi wa hatari na wa ajabu maybe walikuwa wanaishi kwenye tamthiliya na sio uhalisia.....
 
Mmhh sijakuelewa hata kidogo!!
Summatize japo ueleweke, na hizo swanglish ndio kabisaaa
Ni kwamba sieleweki, uelewa wako una mashaka au nilichoandika ni uongo..., Kuna tofauti katika category hizo Kama unataka kueleweshwa ulizia penye utata ili ueleweshwe

Kwa mimi Mdau wa Occam Razor nadhani heading tu inatosha kukuelewesha naongelea nini (sasa kujua validity ya ukweli au uongo) unaweza kuingia ndani... Mimi tofauti kidogo na Pascal Mayalla mwandika magazeti (kila neno na nukta hapo lina maana, kwa mukutadha huo hii ishapunguzwa to the minimum... (summary ni heading)
 
Bro wao wana uwezo wa kutubambikizia watoto wasio wetu tuwalee.

Cuckoldry is horrifying!!

Mzani umelemea sana upande wetu!!

Na unavyosema dunia ya sasa hivi kila mtu mtafutaji, ni kwenye maandishi tu. Wanataka uwazidi kutafuta.
 
Bro wao wana uwezo wa kutubambikizia watoto wasio wetu tuwalee.
Kwangu mimi naamini kabisa Baba (Mlezi) ni muhimu zaidi kuliko Sperm Donor: Na wanasema ignorance a Bliss wewe una shida gani kama unaamini kabisa mtoto ni wako na mtoto anaamini wewe ndio Baba ? Tena nahisi hili pia huenda likawa mzigo kwa mwanamke ile consious ya kudanganya...

By the way enzi zile mtoto ndio mali Yaani kijakazi wa kulima mashamba wazee walikuwa wanafurahia hata mtoto wa kusingiziwa..., Na given a choice kama nisingiziwe mtoto au kubeba kiumbe miezi tisa ambacho huenda kesho au keshokutwa kisikuheshimu au hata kukupa sumu uzeeni ili ukipishe kichukue mali.., (I think I know what to chose)
Cuckoldry is horrifying!!

Mzani umelemea sana upande wetu!!
Option unayo hutaki kuzingiziwa mtoto kapime DNA, Mwanamke hana choice hata akibakwa au akidhani mtoto ni wa wawili mwisho wa siku akikimbiwa mzigo ni wake... hawezi na yeye kusema sikujua au najuta (zaidi ya kumpa mtoto majina haya na kuendelea na maisha, au hata kudanga ili mtoto asife njaa)
Na unavyosema dunia ya sasa hivi kila mtu mtafutaji, ni kwenye maandishi tu. Wanataka uwazidi kutafuta.
Hiyo ya kutaka (it depends) sio wote wapo hivyo ingekuwa hivyo kina Marioo wala Sugar Mama's wasingekuwepo
 
Not the deliberate kind.

Getting cucked will literally break you down.

Ndo maana watu wanauana
Kwahio unaenda kuchokonoa visivyochokoneka.., ukigundua kwamba sio mwanao then what ? Unamfukuza huyo mke na mtoto anakuwa adui au unadai na zile pesa za mtoto ulizomsomesha ?

Iwapo watu wanatoa charity kwa wasiowajua ije kuwa mtoto anayekuita Baba ? By the way kosa la mama ni kosa la mtoto ? Kwenye hili sidhani kama kuna mshindi bali losers katika levels tofauti tofauti... (ikiwemo huyu mtoto aliyekuwa anakuita Baba)
 
Ni kwamba sieleweki, uelewa wako una mashaka au nilichoandika ni uongo..., Kuna tofauti katika category hizo Kama unataka kueleweshwa ulizia penye utata ili ueleweshwe

Kwa mimi Mdau wa Occam Razor nadhani heading tu inatosha kukuelewesha naongelea nini (sasa kujua validity ya ukweli au uongo) unaweza kuingia ndani... Mimi tofauti kidogo na Pascal Mayalla mwandika magazeti (kila neno na nukta hapo lina maana hio ishapunguzwa to the minimum...
WEka summary mkuu, maneno mengi mnoo wengine akili nzito kidogo
 
WEka summary mkuu, maneno mengi mnoo wengine akili nzito kidogo
Heading pekee ndio Summary unless unataka nifanye translation; basi kwa maneno yasiyo rasmi....

Ukweli lazima usemwe, Linapokuja suala la Mahusiano, Wanawake wanapitia ugumu (changamoto / shida) kuliko Wanaume...; Yaani Wanaume have it easier (urahisi)...

Hivyo basi content nzima inaelezea ukweli au uongo (inategemea na hoja zako utakazoleta) kuhusu Summary (Heading) iliyopo hapo Juu....

Now kwanini nimeleta huu Uzi..., Baada ya kuona wanawake wanapigwa nyundo kana vile wanaume ni victims..., Nikakumbuka Msemo wa; I Cried because I had no shoes, until I Saw someone with no Feet... Kwahio nataka kuonyesha sisi tuliokosa viatu tunasema wasio na miguu wana afadhari...
 
Ni kwamba sieleweki, uelewa wako una mashaka au nilichoandika ni uongo..., Kuna tofauti katika category hizo Kama unataka kueleweshwa ulizia penye utata ili ueleweshwe

Kwa mimi Mdau wa Occam Razor nadhani heading tu inatosha kukuelewesha naongelea nini (sasa kujua validity ya ukweli au uongo) unaweza kuingia ndani... Mimi tofauti kidogo na Pascal Mayalla mwandika magazeti (kila neno na nukta hapo lina maana hio ishapunguzwa to the minimum...
Uandishi wako una mashaka
 
Uandishi wako una mashaka
Samahani kwa ku-overestimate baadhi ya uelewa wa wadau... Though am neither Sydney nor Ludlum this ain't rocket Science...
 
Heading pekee ndio Summary unless unataka nifanye translation; basi kwa maneno yasiyo rasmi....

Ukweli lazima usemwe, Linapokuja suala la Mahusiano, Wanawake wanapitia ugumu (changamoto / shida) kuliko Wanaume...; Yaani Wanaume have it easier (urahisi)...

Hivyo basi content nzima inaelezea ukweli au uongo (inategemea na hoja zako utakazoleta) kuhusu Summary (Heading) iliyopo hapo Juu....

Now kwanini nimeleta huu Uzi..., Baada ya kuona wanawake wanapigwa nyundo kana vile wanaume ni victims..., Nikakumbuka Msemo wa; I Cried because I had no feet, until I Saw someone with no Feet... Kwahio nataka kuonyesha sisi tuliokosa viatu tunasema wasio na miguu wana afadhari...
Endelea kukua kua kidogo, bado hujawajua wanawake wewe. Utakapopigwa na kitu kizito ndio akil zitakukaa sawa uje u correct hiki ulichoandika
 
Endelea kukua kua kidogo, bado hujawajua wanawake wewe.
I rest my case..., They have a raw deal ndio maana hata hizi stereotypes kutoka kwa jamii ni nyingi...
Utakapopigwa na kitu kizito ndio akil zitakukaa sawa uje u correct hiki ulichoandika
Nadhani wewe ndio unaishi kwenye past enzi za mababu zetu wakiwa bado wavulana..., Ndio maana unaweza kushangazwa na lolote ambalo linaweza likakutokea..., na Nikuulize what is worse (kibaya zaidi ambacho kinaweza kumtokea mwanaume) na kibaya zaidi kinachoweza kumtokea mwanamke ndio hapo utagundua point yangu....

Kama ni suala la emotional abuse au kupigwa kibuti au kuachwa au kugawana mali / kunyanganywa mali (so called mali yako) nadhani utakuwa mtu wa ajabu na asiye realistic anayeweza kuingia kwenye mto / maji alafu baadae akashangaa kwanini maji ni ya baridi....
 
Ongea tu kiswahili tuweze kuelewana
Duh kwenye Jukwaa linaloitwa Jamii Forums, kweli nijikite kwenye lugha moja wakati ni kama una toolbox (lenye nyenzo tofauti) alafu ujikite kwenye kutumia nyezo moja ?

Ukizingatia Lugha haina kazi nyingine zaidi ya mawasiliano..., na last time I checked Kiswahili na Kingereza kwa Tanzania ni lugha zinazotumika..., Hivyo binafsi inategemea ni neno gani litakuwa karibu sekunde chache kabla sijabonyeza keyboard (au ulitaka hapo niseme Baobonye au Kicharazio)?
 
I rest my case..., They have a raw deal ndio maana hata hizi stereotypes kutoka kwa jamii ni nyingi...

Nadhani wewe ndio unaishi kwenye past enzi za mababu zetu wakiwa bado wavulana..., Ndio maana unaweza kushangazwa na lolote ambalo linaweza likakutokea..., na Nikuulize what is worse (kibaya zaidi ambacho kinaweza kumtokea mwanaume) na kibaya zaidi kinachoweza kumtokea mwanamke ndio hapo utagundua point yangu....

Kama ni suala la emotional abuse au kupigwa kibuti au kuachwa au kugawana mali / kunyanganywa mali (so called mali yako) nadhani utakuwa mtu ajabu na asiye realistic anayeweza kuingia kwenye mto / maji alafu baadae akashangaa kwanini maji ni ya baridi....
Sawa, ila yule mwamba wa Kibamba na mkewe marehem mfamasia wa Temeke, yule mwamba ni mtu wangu sana tena mchizi, ukiachana na kupiga miaka mi 3 pamoja pale ifm, kesi kama hizi kwakua huwa unazisikia tu mitandaoni, ndio maana unayaandika haya unayoandika.
Nisiongee mengi
 
Duh kwenye Jukwaa linaloitwa Jamii Forums, kweli nijikite kwenye lugha moja wakati ni kama una toolbox (lenye nyenzo tofauti) alafu ujikite kwenye kutumia nyezo moja ?

Ukizingatia Lugha haina kazi nyingine zaidi ya mawasiliano..., na last time I checked Kiswahili na Kingereza kwa Tanzania ni lugha zinazotumika..., Hivyo binafsi inategemea ni neno gani litakuwa karibu sekunde chache kabla sijabonyeza keyboard (au ulitaka hapo niseme Baobonye au Kicharazio)?
Basi mkuu yaishe
 
Being Emotional and Cultural Stereotypes as well as the need to Conform...., being hit-on from the time they reach puberty (hivyo kuitaji kuwakataa matapeli na kuepuka matamanio).....,

Ingawa mambo yanabadilika nashangaa sana limetokea kundi la wanaume wanaolalamika kwamba katika uwanja huu wa matters of the Heart kwamba sisi wanaume ni victims..., yaani unahitaji kujichunga sana na huyu kiumbe..., Cha kujiuliza ni kwamba katika ulingo huu (with all thing considered) Je ni kweli kwamba mwanaume ndio ana raw deal (au lack of options) ?

Nadhani tatizo ni pale ambapo watu wana-equate kila kitu na financial matters, kwamba mwanamke anakuchuna au sababu ulimfaa jana basi akikukataa kesho hilo ni kosa la jinai.., Na je karne hii ambapo kila mmoja ni mtafutaji hili suala la finance bado ni valid ?

Of course huenda wanawake wengi wamebalikiwa vijimaneno na vijikero au wanaweza wakakupiga neno la kukuumiza mpaka siku unaingia kaburini.., lakini je tumejaribu kuangalia watu hawa emotional kama wakikubariki maisha yao (penzi) na siku ukiwatupa kando hawaumii, au kama vile maua rose yenye miiba ili kuji protect na hizo sio protection ya waharibifu (which happens to be most of men)?.

Je ni wangapi wanadhani kwamba wanaleta kiumbe ili kiwe na wazazi wawili wanaishia kukimbiwa ? Nadhani ifike wakati tuseme ukweli.., mwanaume kama yamekushinda ni rahisi kuchukua chako au kuacha kila kitu na kuanza moja, jambo ambalo sio as easy kwa mwanamke.... Na wale kila siku wanaopondwa mawe kwamba ni Single Mother na hawafai kuingia tena kwenye game je Single fathers vipi ? Wao ni Ruksa ? Na je Single na Single wakikutana ? Hio ni Kosher ?

Nadhani katika hii fani ya Mahusiano sidhani kama yupo asiyeumia na kama tukisema tuweke kwenye mizani (women have got a raw deal) na Kwa wale ambao wanalalamika kwamba huyu mdada hafai wanaweza kuchukua hamsini zao.., (au hata 25); Na kwa wale wanaume wanaokunywa sumu au kuchukua uamuazi wa hatari na wa ajabu maybe walikuwa wanaishi kwenye tamthiliya na sio uhalisia.....
Unaliwaje na hujaolewa?
 
Unaliwaje na hujaolewa?
Ndoa ni nini ? Chagua Mkataba wowote ule uwe wa Kiimani, Kiserikali au vyovyote vile ndio tuanzie hapo kwanza...

Na kabla ya hapo watu wangekuwa wanapimwa Ujauzito kabla ya kufungishwa ndoa makanisani au misikitini kungekuwa na ndoa chache zaidi, au kungekuwa hakuna kubariki ndoa..., Na lazima ujue mpiga sound hamwambii mtu kwamba tunapata burudani hapa alafu nikupige chini baada ya siku nikuachia ujauzito... Au ni kwamba wanawake wamegeuka kuwa Hermaphrodites hence self propagation ?
 
Soon utaitwa a Simp au utaambiwa unatafuta demu.

Ukweli ni kwamba Ndoa na mahusiano lazima ukubali kupoteza, kila mtu anacho anachoweza kupoteza, Iwe malengo, uhuru, pesa etc Na kila mtu anaweza kuwa a victim zingine zote ni blah blah za watu kuvutia upande wao.
 
Back
Top Bottom