[emoji23][emoji23][emoji23]..sio..ni tafsida ya "ku-have sex"Huo msamiati " kusomeshwa katiba" sijui hivi itakuwa sawa.... Nilisoma katiba kujibia paper la Law chuo
Au sijaelewa D? [emoji3][emoji3]
How did you know JF?Truth
Haha jamani lugha hizi..[emoji23][emoji23][emoji23]..sio..ni tafsida ya "ku-have sex"
Ulikuwa mtoto mzuri sana..hadi chuo?Haha jamani lugha hizi..
6 nilitoka salama
Chuo kikaniharibu for good lakini [emoji85] guess ilikuwa ni mingapi hapo
Truth
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli hii truth and dare
Nishawahi kumtumia Pm ndio bibie wa kuitwa Kasie..Nilipenda tu swaga zake
Sipo kwenye group la whatsapp lenye link na JF
Sina ID nyingine tofauti na hii
Mie ni truth teller
Truth
Okay
Truth or Dare?
Ushakutana na member wa Jf(Male/Female) physically?Truth.
Ushakutana na member wa Jf(Male/Female) physically?
DareNdio nimeshawahi kukutana na memba wa JF uso kwa uso.
Nakuwahi mapema, sitataja ID zao eeheheheheheheee.
Mengine ntajibu.
Truth or dare?
Dare
Post picha ya kucha za vidole vya mkono mmojaDarmiii,
Kwa sababu umeniomba nichague Dare, okay ntasema Dare ila kwa sharti kwamba.
I will dare what am capable to dare, as willingly am capable to say the truth than daring.
If that’s so, and we agree on that, let’s go.
Dare me.