Tetesi: Tsh Bilioni 425 za Mwekezaji zadaiwa kuzuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao

Tetesi: Tsh Bilioni 425 za Mwekezaji zadaiwa kuzuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao

Wakuu,

Nimesoma hii habari kwa masikitiko. Kama ni ya kweli, ni kweli tumedhamiria kuwa na wawekezaji wa kigeni Tanzania au ni maigizo tu?

Maamuzi haya yanaathiri sana FDIs kwa nchi yetu na tunawapa nafasi majirani kutupiga bao.

Hebu soma mwenyewe: Mizengwe: Bilioni 425 za Mwekezaji zazuiliwa Tanzania, Kenya yamshawishi ahamie kwao
Hii story kwanini itoke leo,kwanini hatukuisikia kipindi Cha uchaguzi?
Biashara zimeanza kufungwa,na hili linaibuka?kwanini leo?na sio Jana?au ni mwendo wa kuchafuana tu
 
TIC kulikua na uhujumu mwingi sana. Nadhani rais alifanya maamuzi sahihi ya kuihamishia office ya rais
Kabla ya kuanza kazi aitishe mkutano mkubwa wa wawekezaji asikie vilio kero zao dhidi ya TRA na BOT kwanza
 
Hii story kwanini itoke leo,kwanini hatukuisikia kipindi Cha uchaguzi?
Biashara zimeanza kufungwa,na hili linaibuka?kwanini leo?na sio Jana?au ni mwendo wa kuchafuana tu
Utakuwa mnufaika wa huo ufedhuri iweje uwapangie mda wa kutoa kero zao?
 
Tanzania kuna Tatizo kubwa kwenye mfumo wa pesa hususani huko BOT ndiyo maana Nchi jirani zinawashawishi wawekezaji wengi wahamie huko ambapo hawana usumbufu kwa wawekezaji
Mazingira yetu ya kiuwekezaji ni faida kubwa kwa jirani zetu na naimani majirani zetu watakuwa na maafisa vipenyo wengi katika issues za kibiashara hapa nchini wakiwashawishi hata hawa wawekezaji wachache waliobakia wahamie katika nchi zao.

Siamini kwa uwekezaji mkubwa kama wa Dangote na favourable investment environment aliyotengenezewa na awamu ya nne leo hii imegeuka kuwa negative mpaka kufikia hatua ya kuwind up investments zake Tanzania.

Sisi tunashupaza shingo wenzetu wakenya wanalegeza shingo😂😂
 
Tanzania sasa kuna wimbi la kuwafungia wafanyabiashara A/C hovyo hovyo kisha kuwatishia kesi za uhujumu uchumi ( blackmail) wapo wajanja wachache hutumia jina la mtukufu kuwatesa wafanyabiashara kuwabambikia kodi kubwa na uonevu mwingineo kibao, magufuli itisha mkutano wa wafanyabiashara wakubwa na wa kati wanaruhusu watoe kero zao utashangaa kusikia unyanyasaji uonevu wanaofanyiwa kimya kimya
Ushasahau alisema wataishi kama mashetani?😂😂
 
Pesa zote atapewa polepole kuzitumia kudidimiza demokrasia kurejesha mfumo wa chama kimoja hawataki maendeleo kwanza mpaka upinzani upotee kabsa
Pole pole kashakuwa mbunge sasa
 
Hata mimi nilipata wawekezaji walikuwa interested kuwekeza Tz toka hapa Russia,ila waliambiwa na "intelijensia" yao waliopo huko Tz kwamba wasubiri kwanza,maana GoT ya awamu hii haileweki.

Kuna tatizo kubwa sana huko Tanzania.
Nafikiria pia kuhamisha biashara zangu ambazo zinahamishika toka huko Tz kwenda Comoro au Ushelisheli.
Uko Russia ya hapo buza sio?
 
Pengine wamevuta fail lake wakakuta ni Taperi furani kama lile lililotaka kuweka Treni ya kasi from Posta hadi Dsm Airport... likaja likajigamba tu and then likasepa zake.. au ndio yale ya kama kampuni za kuzalisha umeme
 
Eti pesa zilipokelewa BOT!! Sijawahi ona utopolo wa namna hii BOT haipokei pesa za wafanyabiashara bali Commercial Banks ndiyo inapokea pesa za wafanyabiashara. Kuna sehemu hii habari inaleta utopolo.
Acha Bangi zako hilo neno utopolo ni neno usilojua maana yake umekariri upumbavu wa manara wa simba unauleta hadi kwenye haki za watu, Tambua kuwa BOT ina control pesa zote tokea nje licha ya kuwa unazipitishia bank mbalimbali Tanzania, acha ushabiki wa kubariki dhuluma kishamba hivyo kwa kuwa wewe ni mnufaika wa uonevu wote unaoendelea kwenye utawala wenu.
 
Pengine wamevuta fail lake wakakuta ni Taperi furani kama lile lililotaka kuweka Treni ya kasi from Posta hadi Dsm Airport... likaja likajigamba tu and then likasepa zake.. au ndio yale ya kama kampuni za kuzalisha umeme
Waweke mfumo kama kenya Uganda pesa ikifika wanahakikisha inatumika Nchini humo humo haigeuki kwenda nje, siyo kukaa kuwadhulumu watu kisha kuwatishia kesi za utakatishaji fedha uhujumu uchumi kama BOT wafanyavyo.
 
Acha Bangi zako hilo neno utopolo ni neno usilojua maana yake umekariri upumbavu wa manara wa simba unauleta hadi kwenye haki za watu, Tambua kuwa BOT ina control pesa zote tokea nje licha ya kuwa unazipitishia bank mbalimbali Tanzania, acha ushabiki wa kubariki dhuluma kishamba hivyo kwa kuwa wewe ni mnufaika wa uonevu wote unaoendelea kwenye utawala wenu.
We mburula Bot ndio inaingiza pesa za wawekezaji hapa Tz?
 
Waweke mfumo kama kenya Uganda pesa ikifika wanahakikisha inatumika Nchini humo humo haigeuki kwenda nje, siyo kukaa kuwadhulumu watu kisha kuwatishia kesi za utakatishaji fedha uhujumu uchumi kama BOT wafanyavyo.
Nani alidhulumiwa wewe pimbi usie na akili?
 
Security hakuna watu wameshtuka ukitofautiana na MTU mmoja au akikuchukia hapa basi anakumaliza kwelikweli na hutopata haki popote kwenyechombo chochote tofauti na mataifa yaliyostaarabika ambamo viongozi wao wanaheshimu katiba,sheria na utu!!
Kwasasa siwezi kumshauri mgeni yeyote kuja kuwekeza tz hata marafiki zangu nawashauri wajifunze kuwekeza nchi za nje pia ili wakigeuzwa mashetani wagome vimrudie mtenda
Niombeeni jamani hi kazi ningumu
 
Tanzania kuna Tatizo kubwa kwenye mfumo wa pesa hususani huko BOT ndiyo maana Nchi jirani zinawashawishi wawekezaji wengi wahamie huko ambapo hawana usumbufu kwa wawekezaji
Sas miaka miwili umeshokilia hela ya mtu angeweka fixed dipost si angezalisha mtonyo wa maana. Bora waende Kenya ndo watajifunza kitu. Mtu hela yake alafu imtese kuwekeza. Daah Kikwete alituletea Balaa mtu huyu
 
Hata mimi nilipata wawekezaji walikuwa interested kuwekeza Tz toka hapa Russia,ila waliambiwa na "intelijensia" yao waliopo huko Tz kwamba wasubiri kwanza,maana GoT ya awamu hii haileweki.

Kuna tatizo kubwa sana huko Tanzania.
Nafikiria pia kuhamisha biashara zangu ambazo zinahamishika toka huko Tz kwenda Comoro au Ushelisheli.
Unatakiwa ujiulize kwa niji walitaka kuja wekeza tanzania kwanza!
mpaka mtu anachagua sehemu ya kuwekeza jua kavutiwa na vitu vingi..
 
Hakuna cha ugaidi wala cha nini hivyo ndivyo visingizio vya kuharalisha dhuluma zenu kienyeji kishamba kwa njia haramu za kishetani, Yaani sasa mmebuni mbinu za kupora watu pesa zao ni kusingizia Ugaidi? Kwani pesa ya ugaidi ikitaka kuja inakuja hata kwa meli kisha boti wanazichukua huko kwenye maji, acheni kuwadhulumu watu pesa zao kwa visingizio vya kishamba na uonevu
Nikweli
 
Back
Top Bottom