residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mimi ndiye niliyewashawishi nilipofika hapa mnamo 2014. Mambo yamebadiliki kuanzia 2015.Unatakiwa ujiulize kwa niji walitaka kuja wekeza tanzania kwanza!
mpaka mtu anachagua sehemu ya kuwekeza jua kavutiwa na vitu vingi..