Tshirt hii ya Yanga inauzwa 85,000/= ina ubora mzuri

Tshirt hii ya Yanga inauzwa 85,000/= ina ubora mzuri

GSM ni Gulamali aliyepooza. Yanga bwana mmewaimba sana watu wa namna hii, masponsa wanaowaweka mjini. Wakitokea watu kuwaelimisha mjitegemee mnawaona maadui
Kama nyie mnavyo jitegemea kila siku mnaulizia bil 20 na Mo mwaka jana alisema matoa bil 50 plus na hizi saba ni 57,yaani kwa kifupi MO anawadai.Bado kuwauza maana kwa hiyo bil 57-20bil,anaweza wanunua mpaka mashabiki na kuna uwezekano amesha wanunua ila hamjui tuu.
 
Tshirt hii alivaa GSM siku ya mwananchi. Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei. Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa. Mambo mazuri yanahitaji pesa!
Halafu unakuta mtu anayeinunua, anawaponda watu wanaonunua mafuta ya upako kwa Mwamposa kwa shilingi elfu tano
 
Back
Top Bottom