fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Dalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhan ushachanganyikiwa wakupokonye simuDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
kivipi?nadhan ushachanganyikiwa wakupokonye simu
jeshi halina mafunzo,hawana marali,hawalipwi basi tenaHana kaz huyo washamsalit
Badala ya kujipamga kijeshi yeye mguu kwa mguu ulaya,wenzake walijipanga kufanya usaliti zamani sana yule rasi aliyetoka ana asili ya rwanda kwa hyo alikuwa vzur na kagame wamepanga kumuchomoa ili kuendelea kuvuna madini sasa yeye baada ya kutulia na kulipanga jeshi liwe imara kika saa yuko ulaya.Dalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
huyu kwao ni ubelgiji ana kila kitu hukoHakuna namna, ameshaupoteza uraisi; inabidi abebe pesa aende akaishi uhamishoni kama rais wa Syria alivyofanya.
hajulikani yupo wapiKwani yupo DRC sasa hivi?
hakuna kitu vikao ni vya kinafiki kagame kishaamua kumuondoa,then wamuondoe raisi wa burundi watangaze la paix tuxicanaKikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Yamekuwa hayo Tena?hakuna kitu vikao ni vya kinafiki kagame kishaamua kumuondoa,then wamuondoe raisi wa burundi watangaze la paix tuxicana