OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kikao cha kina Samia unategemea nini mkuuKikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikao cha kina Samia unategemea nini mkuuKikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Inawezekana hakuwa na misingi mizuri na huko nje; nadhani angeshirikisha Urusi au Iran wangeweza kumsaidia kwa haraka zaidiSi angekodi wanajeshi wengi wa kizungu?
Nini matumizi ya pesa za madini?
Nilijua tu kile kikao cha Dar kilikua hakina meno Kabisa, wastage of resources na muda WA Watu tuDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
Inaonekana hakikuwa na nguvu, na kwa umoja huo inabidi kujitathmini upya kuhusu uwepo wa umoja huo.Kikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Kuna mdau humu alisema hakikuwa na lolote la maanaKikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Kagame aliwachana liveNilijua tu kile kikao cha Dar kilikua hakina meno Kabisa, wastage of resources na muda WA Watu tu
Wakaishia kujichekelesha tuKagame aliwachana live
Sultan MakengaHana kaz huyo washamsalit
JPM angekuwepo hiyo vita ingesimama!Kuna mdau humu alisema hakikuwa na lolote la maana
ulitaka afanye nini?MKapa au Nyerere asingecheka na kima.
Tukubali tu Tz kwasasa ni yatima, huyo dada ni alama tu hakuna lolote
Dunia nzima haimuungi mkono, sijui kwaniniDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
Jamaa hawana mpango wa kupigana na m23.Dalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
Kamuachia kagame nchi kiulainiDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa
We unachekesha kweli 😂😂 lran na urussi waliokimbia wagambo syria kwenye jangwa ndio wapigane kwenye misitu ya congo na huyo lrani aliye pigwa kofi moja la mwana ukome na babu netanyau aje M23 wawakamue mavi unafikiri hawajipendi nini?Inawezekana hakuwa na misingi mizuri na huko nje; nadhani angeshirikisha Urusi au Iran wangeweza kumsaidia kwa haraka zaidi
Kwa huku Afrika teknolojia ni ndogo, wangeweza kuwadhibitiWe unachekesha kweli 😂😂 lran na urussi waliokimbia wagambo syria kwenye jangwa ndio wapigane kwenye misitu ya congo na huyo lrani aliye pigwa kofi moja la mwana ukome na babu netanyau aje M23 wawakamue mavi unafikiri hawajipendi nini?
Chakula shida,utapigana una njaajeshi halina mafunzo,hawana marali,hawalipwi basi tena
Jw wanaelekea huko kuwamalizaKikao kilichofanyika Dar,hakikusaidia???
Bora kukimbia watamkamataDalili zote ni kwamba,huyu jamaa atakimbia nchi maana hana jeshi,ha hata sijui anafanya nini hivi sasa