Tshishimbi kutinda nyusi na kikuku

Hakuna haja ya kupoteza muda kuhusu issue zake.

Anasema kwa mfano hawajui watu wanaouza jezi feki za Simba wakati kila alienda uwanjani anawaona mubashara.
 
Msamehe tu huyo msemaji wa Mikia FC, matatizo yake ni ya kisaikolojia.
 

MNAOMDHALILISHA MANARA KUPITIA UALBINO MNASTAHILI LAANA YA MWENYEZI MUNGU, MKONO WA HAKI - SALEH JEMBE

cc Sibonike na ndugu yake Ulimakafu
 
Ndo maana wanawaita wamatopeni, hivi yeye wangemwita mtoto sio riziki angesemaje, huyu brother ni wakumsamehe akili ni nywere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: SDG
Utani wa jadi huuwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri tatizo ni kikuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambieni uyo mwanaume atoe kikuku mguuni noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…