Sawa nyie ndo wale wale. Amsha Amsha ni tofauti na upumbav. Huwezi kuwa na katibu mkuu wa quality ile na PR zuzu km huyu, katika zama hizi tunazokwenda kuwa wa kisasa zaidi!Basi wewe simba nyau, sisi tunamkubali sana Manala na amsha amsha zake
Ndo maana vyura waliachana na yule lofa mwingine, ambaye kwenu ni shujaa !!