TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

Maswali ya msingi huyajibu, just answe
1. Nani wa kwanza kudevelop 5g core chip
2.Nani anaongoza kuwa na 5g patent rights
3.unamlipaje mtu loyalty kwa kitu ambacho hana na hajakuuzia na ukitumii

1. Nani wa Kwanza kudevelop 5g core chip.
Kwanza, hakuna jipya kwenye 5g chip. 5G technonogy has its foundations from 4G technologies, which were also developed as an advancement on 3G & 2G. hivyo aliyedevelop the first 2G chip ndio likely developer wa 5G chip. Sababu naona ni kama vile tunajadili as if 5G came to the world from some skies.

Pili, Supplier wa hizi CHIP zote, including 5G, Supplier Mkubwa, ndio huyu aliyesema kuanzia september hachukui order from HUAWEI baada ya kukatazwa na USA. Hivyo manufacturer wa kwanza wa 5G ni Mmarekani.

2. Nani anaongoza kuwa na 5G patent rights.
Wamekani, si unasikia wamekataza aisee.
hizo vitu unasoma huko za nani ana patent nyingi zisome vizuri, ni upuuzi kaanzisha UHAWEI, lakini hana lolote.

3. Unamlipaje mtu layalty kwa kitu ambacho hana na hajakuuzia.
nshakuambia, kuna patenent on equipment, ambazo nimekubali ni chinese rights, na kama wanastyle kulipwa wanalipwa.
sasa usiforce eti CHINA analipwa patent kwenye 5G business. kwanza hakuna mtu wamemsupply hizo equipment.
 
Tatizo kubwa alilonalo Trump hatafakari kwa kina masuala ya Geopolitics bado ana amini kwamba USA ndiye kinara wa kila kitu Duniani they are very myopic wamefikia hatua ya kushindwa kusoma alama za nyakati kwamba influence yao Duniani ina decay exponentially, there is nothing they can do about it, yaliyo ipata Uingereza mwanzoni mwa karne hii ndio unainyemela USA, itatumbukizwa kwenye history trash can like Roman Empire na Ottman Empire.

Back to the main point - Trump anapo sema he wants manufacturers back home kwa nini hajiulizi kwa nini manufacturers walikimbilia kuwekeza nje ya Taifa lao in the first place - high cost of production ndio iliwakimbiza, swali ni,je, Trump ameleta mabadiriko gani yenye tija ya kuwashurutisha manufacturers kuwekeza tena nchini mwao, kauli za Trump kuhusu suala hilo lina lengo la kuwachota akili wapiga kura ili ashinde uchaguzi wa Novemba lakini ukweli wa mambo unabaki kwamba ni manufacturers wachache walio hitikia wito wa Trump, ib fact wengi wao wamekimbilia kuwekeza India, Mexico, Ujerumani na Uchina.
Kwa hiyo unakubali kwamba, China haijaendelea bila msaada wa makampuni ya kimarekani?
 
1. Nani wa Kwanza kudevelop 5g core chip.
Kwanza, hakuna jipya kwenye 5g chip. 5G technonogy has its foundations from 4G technologies, which were also developed as an advancement on 3G & 2G. hivyo aliyedevelop the first 2G chip ndio likely developer wa 5G chip. Sababu naona ni kama vile tunajadili as if 5G came to the world from some skies.

Pili, Supplier wa hizi CHIP zote, including 5G, Supplier Mkubwa, ndio huyu aliyesema kuanzia september hachukui order from HUAWEI baada ya kukatazwa na USA. Hivyo manufacturer wa kwanza wa 5G ni Mmarekani.

2. Nani anaongoza kuwa na 5G patent rights.
Wamekani, si unasikia wamekataza aisee.
hizo vitu unasoma huko za nani ana patent nyingi zisome vizuri, ni upuuzi kaanzisha UHAWEI, lakini hana lolote.

3. Unamlipaje mtu layalty kwa kitu ambacho hana na hajakuuzia.
nshakuambia, kuna patenent on equipment, ambazo nimekubali ni chinese rights, na kama wanastyle kulipwa wanalipwa.
sasa usiforce eti CHINA analipwa patent kwenye 5G business. kwanza hakuna mtu wamemsupply hizo equipment.
Poa umeshinda, nilijua tunatoa logic na fact ili tueleweshane na kujua reasons behinds kumbe we unataka ligi.
 
Poa umeshinda, nilijua tunatoa logic na fact ili tueleweshane na kujua reasons behinds kumbe we unataka ligi.
Unataka fact zipi aisee.
wewe unataka kuleta ligi ya patent, kwa taarifa yako NOKIA anasema anaongoza kwa patent nyingi za 5G, erikson anasema anaongoza yeye, HUAWEI anasema anaongoza yeye?

Hakuna one, a single worldwide body ambayo iko na mandate ya kusajiri hizo patent, sasa where can you get the facts kwamba nani anaongoza kwa kuwa na patent nyingi?

Kwanza, hizo maelezo za kuongoza kwa kuwa na patent nyingi ni very subjective, wote wakiisha apply for patent, wanasema wanapatent, hasa huyo HUAWEI. HUAWEI anatka kufool dunia kwamba anaongoza kwa 5G kwa kwa sababu anapent nyingi, wrong, ana patent application au declaration, hakuna patent hata moja ambayo iko approved.

sasa unazungumzia facts zipi? how can you have fact kwa mazingira kama hayo. kama wewe unazo hizo facts si uweke hapa, ebooo.
 
HUAWEI inamilikiwa na serikali ya CHINA, hilo ndio tatizo kubwa zaidi.hao kina ZTE afadhali kiasi.

Hizo ni propaganda za ma Gringos, wana ushahidi gani wa kuonyesha kwamba Serikali ina mkono kwenye kampuni ya Huawei, Wamerika ndio walivyo when the going gets tough basi ubuni mbinu za kuwazulia washindani wao wa kibiashara/kiuchumi na kijeshi wanatumbukiza mpaka vyama tawala, utawasikia wakisema Huawei imefanikiwa kibiashara kutokana na kubebwa na Chinese Communist Party!! Wanajisemea chochote kinacho wajia kichwani.

Ukiwa hoji mbona Serikali ya Obama ilizipatia ruzuku za matrillion ya Dollars kufufua kampuni za Ford Motors, General Motors nk ili zisifirisike - mbona Dunia ilikaa kimya - sikuwahi kusikia kampuni zinazo unda magari Duniani zikilalamakisa Serikali ya Amerika kwa kusaidia kampuni zake kifedha ili ziweze kishindana na makampuni ya nje -,-why pick on Chinese? Upuuzi mtupu, kinachosijitisha zaidi kuna baadhi ya watu Diniani wana toe line ya Serikali ya Merikani ambayo imeanza kuonyesha dalili za kuanza kuchanganyiwa.
 
Hizo ni propaganda za ma Gringos, wana ushahidi gani wa kuonyesha kwamba Serikali ina mkono kwenye kampuni ya Huawei, Wamerika ndio walivyo when the going gets tough basi ubuni mbinu za kuwazulia washindani wao wa kibiashara/kiuchumi na kijeshi wanatumbukiza mpaka vyama tawala utawasikia wakisema Huawei imefanukiwa kibiashars kutojana na kubebwa na Chinese Communist Party, wanajisemea chochote kinacho wajia kichwani. Ukiwa hoji mbona Serikali ya Oboma ilizipatia ruzuku za matrillion ya Dollars kufufua kampuni xa Ford Motors, General Motors ili zisifirisike - mbona Dunia ilikaa kumya - why pick on Chinese?
Unaweza nitajia wamiliki wa HUAWEI na ownership percentage holding yao?
 
Kwmba wewe wajua kuliko USA?
Hiki Mimi ndiyo nakishangaa sana, sema nilichogundua kwamba wachangiaji wengi hawafatilii mambo kwa upana wake yaani huyu mmarekani anachofanya ni kujitekenya na kucheka mwenyewe

Ukiangalia kwa undani utaona hakuna vita yeyote ni umavimavi Tu

Vivo, oppo, Redmin

Kuna hii flagship killer One plus inauzwa Europe na India zote hizi ni bidhaa za china na zinauziwa processors sasa una ban Huawei unaacha hawa wengine wote si uzazwa

Fungia wote hawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni propaganda za ma Gringos, wana ushahidi gani wa kuonyesha kwamba Serikali ina mkono kwenye kampuni ya Huawei, Wamerika ndio walivyo when the going gets tough basi ubuni mbinu za kuwazulia washindani wao wa kibiashara/kiuchumi na kijeshi wanatumbukiza mpaka vyama tawala utawasikia wakisema Huawei imefanukiwa kibiashars kutojana na kubebwa na Chinese Communist Party, wanajisemea chochote kinacho wajia kichwani. Ukiwa hoji mbona Serikali ya Oboma ilizipatia ruzuku za matrillion ya Dollars kufufua kampuni xa Ford Motors, General Motors ili zisifirisike - mbona Dunia ilikaa kumya - why pick on Chinese?
Hii HUAWEI ya sasa ni Kama East India Company wakati wa Ukoloni wa Mwingeleza.
 
Unaweza nitajia wamiliki wa HUAWEI na ownership percentage holding yao?

Please hold your fire - fast forward, contrary to Uncle SAM's rabid propaganda against Huawei, this is a private owned company whose share holders are employees themselves and the Company founder (former Peoples Liberation Army telecommunication Engineer) US skewed main stream media have relentlessely been trying to associate Huawei Company with Chinese Communist Party - lies of course - reasons behind US allegation was designed to fool the World that Huawei is infact owned by Chinese Govt and the CEO is former Army officer, consequently potential buyers of Huawei products especially 5G teleco equipment should be dead careful because Chinese Govt have installed embeded trojan horse to spy on unsuspecting cliets/users, a very clevel ploy by American to scare Huawei Customers.f
 
Zilikuwepo empire zenye nguvu na zilianguka,Mchina sio mjinga kivile lazima atakuja na solution.Mbaya zaidi kila taifa litakuja na solution zake kuondoa huu ukiritimba baada ya kuona jinsi China anavyofanyiziwa
Unadhani yeye Mmarekani hajasoma na kujifunza kutoka kwenye hizo empire zilizokuwa na nguvu duniani halafu zikaja kuporomoka?
 
Back
Top Bottom