Tsunami kamwe haitokuja kutokea Tanzania kwa sababu zifuatazo (Jifunze usiogope)

Tsunami kamwe haitokuja kutokea Tanzania kwa sababu zifuatazo (Jifunze usiogope)

Tuwe makini na wapotoshaji kama mtoa mada. Ni watu wenye maneno mengi lakini ni upotoshaji mtupu.
Wewe usiponielewa inatosha! wenye akili wamenielewa ...na nimekwambia jaribu hata mwenyewe hapo weka maji kwenye beseni zalisha wimbi utanielewa
 
Bomu kulipuka sio lazima iwe ni vita, linaweza kulipuka kwa bahati mbaya ikiwa nyambizi iliyosheheni mabomu hayo ikiwa ndani ya ukanda wetu wa bahari ya hindi.
Tsunami yenyewe ilikuwa Nini Mwaka ulee ambako walimwengu waliokuwa Holiday Nchi Gani Ile sijui waliathirika Kwa Maelfu na ambayo Hata Mawimbi yake yalifika Mpaka huku Bongo yetu lakini yakiwa yamepungua Nguvu ndio ikawa Salama yetu ?

SI tulielezwa na Wataalamu kwamba kulitokea Tetemeko la Nchi baharini lililozua Mawimbi makubwa yalisababisha Maafa tuliyoyaita Tsunami ?
Kwa Tanzania SI Nchi TU Iko Duniani humu ?
Kwani Iko Sayari nyingine ?
Kama ilitokea Kwa Wenzetu na Kishindo chake tukakiona Hadi huku, Kwa Nini Tanzania isitokee hivyo Siku Moja ??
Tusijipe Faraja Sana...
.
 
Mungu alijua watakaoishi mwambao huu akili zao wanazijua wenyewe akaona atuwekee ulinza mapema
Hahaha.. aisee!

Lakini mbona tsunami iliyorindima huko Indonesia (maelfu ya km kutoka Tz) kama miaka 20 nyuma iliua na kusababisha madhara kwa baadhi ya watu pwani ya Dar, au ulikuwa hujazaliwa?
Fikiria ingekuwaje kama tsunami ikitokea hapo jirani kama vile Comoro, nk
 
brother unataka hoja ipi, Sayansi ni hiyo niliyoeleza hapo! elewa ndugu yangu siyo had ukasome!
HATA NEWTON hakusoma sehemu bali alifunuliwa tu!
na mimi nimekufikishia huo ujumbe kawambie wasomi wenzako kwamba SUNAMI HAIWEZI TOKEA TANZANIA
...Kwa hiyo na Wewe Umefunuliwa TU, hukusoma Mahali popote ??? [emoji848]
 
Tsunami yenyewe ilikuwa Nini Mwaka ulee ambako walimwengu waliokuwa Holiday Nchi Gani Ile sijui waliathirika Kwa Maelfu na ambayo Hata Mawimbi yake yalifika Mpaka huku Bongo yetu lakini yakiwa yamepungua Nguvu ndio ikawa Salama yetu ?

SI tulielezwa na Wataalamu kwamba kulitokea Tetemeko la Nchi baharini lililozua Mawimbi makubwa yalisababisha Maafa tuliyoyaita Tsunami ?
Kwa Tanzania SI Nchi TU Iko Duniani humu ?
Kwani Iko Sayari nyingine ?
Kama ilitokea Kwa Wenzetu na Kishindo chake tukakiona Hadi huku, Kwa Nini Tanzania isitokee hivyo Siku Moja ??
Tusijipe Faraja Sana...
.
Wamesema itatokea lini?
Leo saa kumi ama?
 
Habari

Pasipo kupoteza muda,

Hii elimu huwezi kuambiwa popote darasani, lakini kutokana na kazi zangu za kiufundi mimi Fundi SAMICO nimejifunza mambo mengi mno kuhusu hii dunia. Wakati dunia ikiumbwa kila kitu kilisetiwa mahala pake.

Wakati mabara yakimeguka na kutengana yalimegwa kwa mpango maalum.

Siku moja nikiwa na mafundi wenzangu niliwaambia laiti wanasayansi wakituliza kichwa kidogo tu tutapata bonge la shotikati kwenda ulaya kwa dakika 10 tu.

Ni hivi kama kweli dunia ina umbo la tufe, maana yake kama upande mmoja ni afrika na ule mwingine ni ulaya basi ukilitoboa katikati unaweza tumbukia shimoni ukaslide na kuibukia ulaya kwa dakika chache tu, walinibishia wakanipiga na chepe.
nikaweka uzi humu, utafteni nimeandika.

Tukirudi kwenye mada ya leo!

Kumekuwepo kutishana kwingi sana kuhusu tishio la dhoruba na mawimbi kuishambulia inchi kavu. Naomba kuliweka wazi hili mimi kama Fundi SAMICO.

Hakuna dhoruba wala wimbi la bahari litakalokuja kuishambulia tanzania ama nchi jilani.

HAIWEZI KUTOKEA KAMWE kwasababu zifuatazo:

Wimbi hujipika baharini kutokana vyanzo vingi mathalani tetemeko, kimbunga, upepo unaovuma n.k

Maji hutikiswa na kuzalisha mawimbi (yaani maji kupanda na kushuka)
Kadri mawimbi yanavyopanda ndivyo hupigwa kofi na upepo yaelekee nchi kavu!

Mfano tulivyo kuwa watoto tulikuwa tuna tabia ya kurusha jiwe kwenye maji (vidimbwi) yaliyotulia ili kuona ile mistari ya maji inavyosukumana kuja nchi kavu.

nakumbuka mimi na watoto wenzangu tulivyoshindana nani ataweza kutengeneza wimbi litakalowahi fika miguuni kwa kuhesabu moja hadi kumi Ili nipate ushindi nilikuwa nachukua mawe makubwa natanguliza chini ya maji ili pale wenzangu wanaporusha mawimbi yapotee! Na kweli yalipotea.

Hata wewe hapo jaribu kufanya hivi.

Chukua beseni mbili, moja jaza maji, lakini jingine jaza maji na mawe makubwa ingiza humo, halafu rusha kijiwe kidogo juu ya Maji kwenye kila beseni ili kutengeneza wimbi, utagundua kwamba lile lenye mawe mawimbi yake hayana kasi kama lile beseni lisilokuwa na mawe.

MAWIMBI ya bahari huwa yazalishwa na upepo, upepo ukiwa na nguvu unaweza zalisha wimbi kubwa kwenda juu urefu wa ghorofa kama 10 ukilinganisha, na wimbi huwa haliishii juuujuu tu hapana.

Wimbi huwa linakwenda hadi chini kabisa kuendelea kujisokota! na kunauwezekano wimbi likazama chini hata umbali wa kina cha mita 150~200.

Wimbi kubwa kama hili likija kuibuka linaweza angusha meli hata kutua mbali zaidi kuelekea ufukweni, kadri linavyokaribia ufukweni ukubwa au udogo hutegemea chini ya maji kupo tambarale kiasi gani (beseni)

Chini ya bahari kukiwa na majabari (mawe), matuta ya michanga, matumbawe, mabonde kiasi cha kukosa msawazo, Mawimbi hupotezwa vibaya kiasi cha kukosa balansi ya kujisokota.

kuanzia mtwara hadi tanga na zanzibari inchi yetu imeumbwa hivyo, haina msawazo kwenye eneo lote la pwani ukilinganisha na wenzetu huko Califonia na ulaya mashariki ya mbali.

Dhoruba hata likija kubwa niaje, vile mabonde yaliyopo ukikaribia fukwe yanapoteza kabisa nguvu za mawimbi kuharibu uso wa nchi.

KWAHIYO KUANZIA LEO ukitishwa na mtu kwamba kuna sunami linakuja, HUYO Mtu mwambie FUNDI SAMICO Kasema HAKUBA Sunami lolote litakalokuja kuishambulia Tanzania halipo abadani!
UJUE vile Mungu aliumba Dunia alijua kabisa nani akae wapi na kwa nini:

Kama KICHAA kamwe hawezi kufa kwa kipindu pindu kwasababu automatiki ndani yake alipoteuliwa kuwa kichaa hupewa nguvu ya kinga inayozalishwa na kutokuwa na HOFU! lakini wewe hapo ukila kiporo cha juzi unalazwa mlonganzila.

Nchi yetu ni huyo kichaa, Tunajitafta taratibu sana MUNGU alijua hawa ngoja niwawekee tu ulinzi maana ebu waza daraja kigamboni tangu nyerere tunajinyima leo tumepata then lipigwe na sunami kweli? HAIWEZEKANI.

Mimi tangu nijue hili tangu zamani huwa nikisikia taarifa za Sunami huwa Nawaambia watu HAITAKAA ITOKEEE kwasababu tayali Ipo kinga
labda itokee mjuaji aichonge bahari yetu kuisawazisha ndipo tunaweza angamia

Taarifa zinazotolewa na mamlaka ya hali ya hewa NAAMINI huwa zinawenga wale wanaosafiri au kujishughulisha ndani ya bahari ili wachukue tahadhali.

Wala mtu asiwalaumu kwasababu wasiposema dunia itasema halafu mseme wataalamu wetu mbona hamjasema (kama inavyokuwaga mwandamo wa mwezi wa idd).

Kwahiyo wataalam wetu lazima waseme maana mawimbi kweli ni hatari kwa wanaosafiri baharini lakini huku NCHI KAVU SIYE TUSIWE NA HOFU HAITAKUJA KUTOKEA HAPA KWETU.

Ukiondoa nabii mtu mwingine anaeweza kufuniliwa na Mungu ni fundi.

Mungu alikuwa fundi mkuu akaumba, Nuhu alipewa maono akaumba safina, Yesu kristo alizaliwa na fundi.

Kazi ya ufundi ni kazi bora sana ambayo alianzisha Mungu mwenyewe!
natamani kila nyumba iwe na fundi, Serikali isiishie tu kusema Vijana mujiajiri then bhasi.

HATA KAMA HATUJASOMA SANA, Natamani kuona RAIS Wetu akiteua MAFUNDI hadi waliojiajili binafsi ili kuweka hamasa katika jamii.

Jamii ione kwamba RAIS Kamteua SAMICO TANZANIA kuwa mkuu wa Wilaya, kabla ya uteuzi huo bwana SAMICO Alikuwa Fundi Umeme, ujenzi mtaani namba yake ya simu ni 0711756341 au instagram @samico_tanzania!

Kama fundi nimeweza kubuni majengo, maghorofa, umeme ndani vizuri watu mkaishi nitashindwaje kubuni njia nzuri kuiendeleza jamii.

Mkiendelea kuteua maprofesa/wasomi walewale kila mzazi atataka mwanae akasomee usomi huo baadae jamii inakuwa na wasomi wasiyokuwa na ajira.

Anzani kuteua mafundi muone jamii inavyobadilika.

HAKUNA SUNAMI BONGO INAYOWEZA KUTOKEA MAISHANI MSIOGOPE.
Siyo kuwa lazima itokee hapa, inatokea inakotokea, hapa zinafika athari zake tu.


Tuulize wakazi wa Dar, binafsi nimeshudia mara mbili athari zake Dar. Moja ile msasani yote unayoijuwa ilijaa maji.

Moja Ikulu na Gymkhana Club, Ohio ilijaa maji yote ile. Maji yalifika mpaka viwanja vya Karimjee. Fikiria Ocean Road ilijaa maji ya bahari, si unaona kule oalivyo juu, lakini palijaa maji, mpaka ikaamuliwa ujengwe ule ukuta kando ya bahari. Watu wakajipigia pesa, kile kiukuta ndiyo cha kuzuwia maji ya bahari ya kijaa?

Nilikuwa namfahamu yule mkandarasi, Marehemu Mazhar Khan, alikuwa kijana mjanja mjanja wa mjini, nilipomuona nilicheka sana, akasema mimi nimeona kazi ya kujenga ukuta, nime tender nimeipata, nimeambiwa nijenge ukuta haraka sa, niikatae?

Jamaa sijuwi walimtisha mzee Nyerere ikija tena hii itafika mpaka ndani Ikulu, Mzee aachia mbiombio bila maneno.
 
Siyo kuwa lazima itokee hapa, inatokea inakotokea, hapa zinafika athari zake tu.


Tuulize wakazi wa Dar, binafsi nimeshudia mara mbili athari zake Dar. Moja ile msasani yote unayoijuwa ilijaa maji.

Moja Ikulu na Gymkhana Club, Ohio ilijaa maji yote ile. Maji yalifika mpaka viwanja vya Karimjee. Fikiria Ocean Road ilijaa maji ya bahari, si unaona kule oalivyo juu, lakini palijaa maji, mpaka ikaamuliwa ujengwe ule ukuta kando ya bahari. Watu wakajipigia pesa, kile kiukuta ndiyo cha kuzuwia maji ya bahari ya kijaa?

Nilikuwa namfahamu yule mkandarasi, Marehemu Mazhar Khan, alikuwa kijana mjanja mjanja wa mjini, nilipomuona nilicheka sana, akasema mimi nimeona kazi ya kujenga ukuta, nime tender nimeipata, nimeambiwa nijenge ukuta haraka sa, niikatae?

Jamaa sijuwi walimtisha mzee Nyerere ikija tena hii itafika mpaka ndani Ikulu, Mzee aachia mbiombio bila maneno.
Ilikuwa miaka gani hiyo?
 
Habari

Pasipo kupoteza muda,

Hii elimu huwezi kuambiwa popote darasani, lakini kutokana na kazi zangu za kiufundi mimi Fundi SAMICO nimejifunza mambo mengi mno kuhusu hii dunia. Wakati dunia ikiumbwa kila kitu kilisetiwa mahala pake.

Wakati mabara yakimeguka na kutengana yalimegwa kwa mpango maalum.

Siku moja nikiwa na mafundi wenzangu niliwaambia laiti wanasayansi wakituliza kichwa kidogo tu tutapata bonge la shotikati kwenda ulaya kwa dakika 10 tu.

Ni hivi kama kweli dunia ina umbo la tufe, maana yake kama upande mmoja ni afrika na ule mwingine ni ulaya basi ukilitoboa katikati unaweza tumbukia shimoni ukaslide na kuibukia ulaya kwa dakika chache tu, walinibishia wakanipiga na chepe.
nikaweka uzi humu, utafteni nimeandika.

Tukirudi kwenye mada ya leo!

Kumekuwepo kutishana kwingi sana kuhusu tishio la dhoruba na mawimbi kuishambulia inchi kavu. Naomba kuliweka wazi hili mimi kama Fundi SAMICO.

Hakuna dhoruba wala wimbi la bahari litakalokuja kuishambulia tanzania ama nchi jilani.

HAIWEZI KUTOKEA KAMWE kwasababu zifuatazo:

Wimbi hujipika baharini kutokana vyanzo vingi mathalani tetemeko, kimbunga, upepo unaovuma n.k

Maji hutikiswa na kuzalisha mawimbi (yaani maji kupanda na kushuka)
Kadri mawimbi yanavyopanda ndivyo hupigwa kofi na upepo yaelekee nchi kavu!

Mfano tulivyo kuwa watoto tulikuwa tuna tabia ya kurusha jiwe kwenye maji (vidimbwi) yaliyotulia ili kuona ile mistari ya maji inavyosukumana kuja nchi kavu.

nakumbuka mimi na watoto wenzangu tulivyoshindana nani ataweza kutengeneza wimbi litakalowahi fika miguuni kwa kuhesabu moja hadi kumi Ili nipate ushindi nilikuwa nachukua mawe makubwa natanguliza chini ya maji ili pale wenzangu wanaporusha mawimbi yapotee! Na kweli yalipotea.

Hata wewe hapo jaribu kufanya hivi.

Chukua beseni mbili, moja jaza maji, lakini jingine jaza maji na mawe makubwa ingiza humo, halafu rusha kijiwe kidogo juu ya Maji kwenye kila beseni ili kutengeneza wimbi, utagundua kwamba lile lenye mawe mawimbi yake hayana kasi kama lile beseni lisilokuwa na mawe.

MAWIMBI ya bahari huwa yazalishwa na upepo, upepo ukiwa na nguvu unaweza zalisha wimbi kubwa kwenda juu urefu wa ghorofa kama 10 ukilinganisha, na wimbi huwa haliishii juuujuu tu hapana.

Wimbi huwa linakwenda hadi chini kabisa kuendelea kujisokota! na kunauwezekano wimbi likazama chini hata umbali wa kina cha mita 150~200.

Wimbi kubwa kama hili likija kuibuka linaweza angusha meli hata kutua mbali zaidi kuelekea ufukweni, kadri linavyokaribia ufukweni ukubwa au udogo hutegemea chini ya maji kupo tambarale kiasi gani (beseni)

Chini ya bahari kukiwa na majabari (mawe), matuta ya michanga, matumbawe, mabonde kiasi cha kukosa msawazo, Mawimbi hupotezwa vibaya kiasi cha kukosa balansi ya kujisokota.

kuanzia mtwara hadi tanga na zanzibari inchi yetu imeumbwa hivyo, haina msawazo kwenye eneo lote la pwani ukilinganisha na wenzetu huko Califonia na ulaya mashariki ya mbali.

Dhoruba hata likija kubwa niaje, vile mabonde yaliyopo ukikaribia fukwe yanapoteza kabisa nguvu za mawimbi kuharibu uso wa nchi.

KWAHIYO KUANZIA LEO ukitishwa na mtu kwamba kuna sunami linakuja, HUYO Mtu mwambie FUNDI SAMICO Kasema HAKUBA Sunami lolote litakalokuja kuishambulia Tanzania halipo abadani!
UJUE vile Mungu aliumba Dunia alijua kabisa nani akae wapi na kwa nini:

Kama KICHAA kamwe hawezi kufa kwa kipindu pindu kwasababu automatiki ndani yake alipoteuliwa kuwa kichaa hupewa nguvu ya kinga inayozalishwa na kutokuwa na HOFU! lakini wewe hapo ukila kiporo cha juzi unalazwa mlonganzila.

Nchi yetu ni huyo kichaa, Tunajitafta taratibu sana MUNGU alijua hawa ngoja niwawekee tu ulinzi maana ebu waza daraja kigamboni tangu nyerere tunajinyima leo tumepata then lipigwe na sunami kweli? HAIWEZEKANI.

Mimi tangu nijue hili tangu zamani huwa nikisikia taarifa za Sunami huwa Nawaambia watu HAITAKAA ITOKEEE kwasababu tayali Ipo kinga
labda itokee mjuaji aichonge bahari yetu kuisawazisha ndipo tunaweza angamia

Taarifa zinazotolewa na mamlaka ya hali ya hewa NAAMINI huwa zinawenga wale wanaosafiri au kujishughulisha ndani ya bahari ili wachukue tahadhali.

Wala mtu asiwalaumu kwasababu wasiposema dunia itasema halafu mseme wataalamu wetu mbona hamjasema (kama inavyokuwaga mwandamo wa mwezi wa idd).

Kwahiyo wataalam wetu lazima waseme maana mawimbi kweli ni hatari kwa wanaosafiri baharini lakini huku NCHI KAVU SIYE TUSIWE NA HOFU HAITAKUJA KUTOKEA HAPA KWETU.

Ukiondoa nabii mtu mwingine anaeweza kufuniliwa na Mungu ni fundi.

Mungu alikuwa fundi mkuu akaumba, Nuhu alipewa maono akaumba safina, Yesu kristo alizaliwa na fundi.

Kazi ya ufundi ni kazi bora sana ambayo alianzisha Mungu mwenyewe!
natamani kila nyumba iwe na fundi, Serikali isiishie tu kusema Vijana mujiajiri then bhasi.

HATA KAMA HATUJASOMA SANA, Natamani kuona RAIS Wetu akiteua MAFUNDI hadi waliojiajili binafsi ili kuweka hamasa katika jamii.

Jamii ione kwamba RAIS Kamteua SAMICO TANZANIA kuwa mkuu wa Wilaya, kabla ya uteuzi huo bwana SAMICO Alikuwa Fundi Umeme, ujenzi mtaani namba yake ya simu ni 0711756341 au instagram @samico_tanzania!

Kama fundi nimeweza kubuni majengo, maghorofa, umeme ndani vizuri watu mkaishi nitashindwaje kubuni njia nzuri kuiendeleza jamii.

Mkiendelea kuteua maprofesa/wasomi walewale kila mzazi atataka mwanae akasomee usomi huo baadae jamii inakuwa na wasomi wasiyokuwa na ajira.

Anzani kuteua mafundi muone jamii inavyobadilika.

HAKUNA SUNAMI BONGO INAYOWEZA KUTOKEA MAISHANI MSIOGOPE.
Usipotoshe watu tsunami ya 2004 ilifika hadi bongo na iliondoka na watu 10..kenya na mwambao wa somalia iliondoka na watu 100.
Acha ujinga huo majanga hayatabiriki ni vyema kuwa na utayari muda wote.
 
Back
Top Bottom