Tsunami kamwe haitokuja kutokea Tanzania kwa sababu zifuatazo (Jifunze usiogope)

Tsunami kamwe haitokuja kutokea Tanzania kwa sababu zifuatazo (Jifunze usiogope)

Usipotoshe watu tsunami ya 2004 ilifika hadi bongo na iliondoka na watu 10..kenya na mwambao wa somalia iliondoka na watu 100.
Acha ujinga huo majanga hayatabiriki ni vyema kuwa na utayari muda wote.
elewa mada ndugu yangu wanaweza kufa wavuvi siyo nchi kavu
 
Tuwe makini na wapotoshaji kama mtoa mada. Ni watu wenye maneno mengi lakini ni upotoshaji mtupu.
Wewe ndo hujamuelewa mtoa mada. Unahitaji kutumia akili kubwa sana kumuelewa mtoa mada. Mtoa mada ana kitu ndani yake atafika mbali
 
Wewe ndo hujamuelewa mtoa mada. Unahitaji kutumia akili kubwa sana kumuelewa mtoa mada. Mtoa mada ana kitu ndani yake atafika mbali
Na wewe amekupotosha kwa maneno yake mengi yenye kona kona? Wabongo ukiwa na maneno mengi hata usipokuwa na point unakuwa umewaweza, hawawezi kabisa kufikiri.
 
njoo na hoja mkuu usiwe mbishi bila hoja
Hauna hoja. Kufananisha bahari na beseni ni kutudanganya. Kina cha bahari kinafika kilomita kadhaa. Kina kirefu zaidi ni kilomita 11(Mita 11,000). Urefu wa wimbi la tsunami la mita 10(Ghorofa tatu) ambalo trough yake nayo ni mita 10 ni mdogo kuweza kuathiriwa na miamba ya kwenye sakafu ya bahari iliyopo kilomita kadhaa chini.
 
Hauna hoja. Kufananisha bahari na beseni ni kutudanganya. Kina cha bahari kinafika kilomita kadhaa. Kina kirefu zaidi ni kilomita 11(Mita 11,000). Urefu wa wimbi la tsunami la mita 10(Ghorofa tatu) ambalo trough yake nayo ni mita 10 ni mdogo kuweza kuathiriwa na miamba ya kwenye sakafu ya bahari iliyopo kilomita kadhaa chini.
Aisee ama kweli siyo kila aliyesoma ana elimu!
kwamba kilichochini hakiwezi athiri balance juu?
Sasa nakueleza kawafundishe na wasomi wenzako!
Kilichochini kinanafasi kubwa sana kubalance kilicho juu, hata ndoo ya maji ukizamisha tawi la mti kwenye ndoo hayamwagiki!
waliokulia kijijini kama mm watanielewa!
ukitia jani ndani ya maji juu hata usipofunika hayatembei!

Balance ya mawimbi juu hutembea kwa kupanda na kushuka ( mawimbi ya aina yoyote iwe maji au sauti hutembea kwa style ya kupanda na kushuka, umbali kutoka juu ya maji unanafasi kubwa sana kuaathili mawimbi kupoteana,!
mawimbi yanakwenda kwenye kina kirefu hugongana na yaliyotua kwenye kina kifupi na kupunguza kasi au kupoa kabisa

ninaposema mawe na miamba na maanisha majabari makubwa ambayo kwa uwiano wa maji yanabalance!
Elewa mimi ni fundi nakueleza kwa hoja za uzoefu na udadisi! achana na bla bla pasipo kudadisi
 
Aisee ama kweli siyo kila aliyesoma ana elimu!
kwamba kilichochini hakiwezi athiri balance juu?
Sasa nakueleza kawafundishe na wasomi wenzako!
Kilichochini kinanafasi kubwa sana kubalance kilicho juu, hata ndoo ya maji ukizamisha tawi la mti kwenye ndoo hayamwagiki!
waliokulia kijijini kama mm watanielewa!
ukitia jani ndani ya maji juu hata usipofunika hayatembei!

Balance ya mawimbi juu hutembea kwa kupanda na kushuka ( mawimbi ya aina yoyote iwe maji au sauti hutembea kwa style ya kupanda na kushuka, umbali kutoka juu ya maji unanafasi kubwa sana kuaathili mawimbi kupoteana,!
mawimbi yanakwenda kwenye kina kirefu hugongana na yaliyotua kwenye kina kifupi na kupunguza kasi au kupoa kabisa

ninaposema mawe na miamba na maanisha majabari makubwa ambayo kwa uwiano wa maji yanabalance!
Elewa mimi ni fundi nakueleza kwa hoja za uzoefu na udadisi! achana na bla bla pasipo kudadisi
Vile vile, maneno mengi ila upotoshaji mtupu.
 
Vile vile, maneno mengi ila upotoshaji mtupu.
haya basi tufanye hivi Tsunami itakuja kupiga nyumbani kwako tu! lakini Nchi iliumbwa na kinga ya majabari kubalance mawimbi yasije tuangamiza watanzania!
haitakuja kutokea labda kama tutakrngeuka turuhusu watu wachimbue bahari kuwepo na msawazo tofauti na ilivyo sasa ni kontua
 
haya basi tufanye hivi Tsunami itakuja kupiga nyumbani kwako tu! lakini Nchi iliumbwa na kinga ya majabari kubalance mawimbi yasije tuangamiza watanzania!
haitakuja kutokea labda kama tutakrngeuka turuhusu watu wachimbue bahari kuwepo na msawazo tofauti na ilivyo sasa ni kontua
Hizo sayansi zako za upotoshaji peleka vijiweni. Jabali lipo kilomita kadhaa chini ya bahari ndilo likulinde na wimbi la tsunami la mita kumi huku juu!!?
 
HUMU ukisikiliza maoni unagundua ni sahihi kabisa nchi yetu kuwa hivi tulivyo! kuna watu wanaona karibu kama Kuku,
Tuchukulie mfano watu wote tungekuwa hatujawahi kuiona ndege inapaa!
Halafu Mada iwekwe hapa kwamba kunaweza kuwepo chombo cha kupaa!

watu wangeporomosha mitusi wakiringanisha basi la chambioni kupita angani!

nimetolea mfano wa beseni mtu anakuja kusema nisilinganishe bahari na beseni!
anasahau kwamba hata majumba makubwa huanzia kwenye michoro maabara,
yaani mtu anashindwa kabisa kuelewa ishu ya resho(uwiano)

Yaani Mungu asingelilinda hili taifa sijui tungepata wapi msaada! Najaribu kuwaza tu serikali iongeze sana nguvu kwenye elimu, huenda elimu ya sasa haina msaada na haieleweki
 
Hizo sayansi zako za upotoshaji peleka vijiweni. Jabali lipo kilomita kadhaa chini ya bahari ndilo likulinde na wimbi la tsunami la mita kumi huku juu!!?
anaepotosha ni wewe hapo! Nimekupa hadi mfano hujaelewa! Haya waambie watu lini sunami ilipiga tanzania nchi kavu kama mimi muongo
 
nimejifunza jambo kwenye huu uzi! wacha nitembee kifua mbele hofu yote imekwisha kabisa
 
mtoa mada umejua kunigusa yaani tangu jana nina hofu Kumbe tuko salama
 
Back
Top Bottom