rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Sio kweli mpaka sasa hivi huwezi kujiunga bando tamtam. Sidhani kamanajua madhara ya kusema uongo kwenye biasharaHeri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1743058
Balozi ni nani?Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali
Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1743058
Namba yako ya simu tafadhalimbona mumeanza kuwa wezi. nilijiunga na kifurushi wiki iliopita, hela imekatwa na nikapata msg kuwa nimeunganishwa wakati si kweli. nimepiga simu customer care wakasema kuna tatizo nitarudishiwa kifurushi changu nadni ya masaa 24. cha ajabu wili ya 2 sasa na nilishakata tamaa.
Huyu agent wa ttcl atachambwa mpk aione kesho yake..🤣🤣Ninyi ni moja ya mashirika mabovu kuwepo nchini ufanisi zero, ubunifu zero wenzenu wanakimbia ninyi mko mnajivuta kwa kutembea
Ila member wa jf nyie kiboko..🤣🤣 Haya mashirika kabla hamjaleta matangazo humu wajipime huko kwanza maana si kwa michambo hii..Hiyo GB 1 kwa 2,000 mnajiona mmerahisisha maisha e?
Menyu ipi?Airtel napata GB 2 kwa hiyo buku mbili yenu