TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Heri ya sikukuu ya Pasaka Piga *148*30# au*150*71# au *148*30*35# ufurahie vifurushi vya DATA, SMS, UNI na BANDO TAM TAM vilivyoboreshwa kama ilivyokuwa awali

Vifurushi vyote vimerejea tangu jana. Samahani kwa changamoto zilizotokea.

#RudiNyumbaniKumenoga


View attachment 1743058
Sio kweli mpaka sasa hivi huwezi kujiunga bando tamtam. Sidhani kamanajua madhara ya kusema uongo kwenye biashara
 
mbona mumeanza kuwa wezi. nilijiunga na kifurushi wiki iliopita, hela imekatwa na nikapata msg kuwa nimeunganishwa wakati si kweli. nimepiga simu customer care wakasema kuna tatizo nitarudishiwa kifurushi changu nadni ya masaa 24. cha ajabu wili ya 2 sasa na nilishakata tamaa.
Namba yako ya simu tafadhali
 
#RudiNyumbaniKumenoga
168457542_10159512101437884_5102210190614442397_n.jpg
 
Tupo katika vita ya mabando, kwakuwa ttcl ni shirika la serikali tulitegemea muwe upande wetu katika kutupatia huduma kwa gharama nafuu,matokeo yake makampuni binafsi kama halotel na zantel gb 1 ni tsh 1000 nyie mnauza mara 2 yake,hamuoni kama mnaikosea serikali iliyowaamini? Au mnataka tutoe mawazo ya kubinafsisha shirika tujue moja? Badilikeni..Mama sio mnyonge #zingueni tu
 
Back
Top Bottom