Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Kiongozi, hivi hizi huduma za Fiber Internet ni hadi uombee HQ (Extelcom) au hata kwenye hizi zonal office like TTCL Nyerere Rd! Nauliza kwa sababu pale HQ nimeshakosa imani napo manake haiwezekani mtu unajaza fomu kisha wanadai watatuma mtu na mtu hatokei hata baada ya kufanya follow-up! Wale wa Nyerere Rd kama hawajabadilika, zamani walikuwa fasta sana!! Mara mbili walishanipa huduma kwa kuja home within 24 hours!! Labda kwavile wana-deal sana na business community, na wao wame- adapt ile culture.
Mbona TTCL hamnijibu
Huyu jamaa yako nilimtafutaga, akanambia nitumie location whatsapp, nikamtumia mpaka leo kakaa kimya hakuna feedback yoyotee.
View attachment 2356454
Internet ya Fiber kupitia mfumo wa TANESCO, Arusha mnaanza lini jamani?
Vifaaa, Vinaingia lini mje mtufungie huduma, maana ni muda mrefu tumekaa tunawasubiri.
walikujazia fomu nn
mm walitaka nijazisha fomu 2nd time sabasaba nikakataa
,,Makampuni karibu yote yamesha hama kwenye 2G. TTCL bado wapo 2G. Boresheni huduma zenu vizuri. Kwa sasa Voda wameanza na 5G. Sijui TTCL yetu tutahamia lini kwenye 3G.
Ni lini huduma inatolewa huku Arusha mjini?Nitumie majibu yafuatayo PM kwangu.
1. Sehemu unayotaka kufungiwa hiyo huduma.
2. Namba yako ya simu ambayo ipo hewani muda wote.
I've the same dream...Naota kama ttcl hua inahujumiwa na kampuni binafsi za simu na mawasiliano kupitia mameneja na hata wakurugenzi wake wasio wazalendo. Sio hivyo hata tbc hufanyiwa hivyohivyo na radio na television binafsi.
Mfano ni vipi itv/ radio one isikike kote nchini vizuri kabisa wakati tbc ya serikali hata dar tu radio huipati vizuri?
Morogoro ni kubwa. Unamaanisha Morogoro Mjini, Kilombero, Ifakara, Mahenge, Kidatu, Kilosa au Morogoro Vijijini?Alo niko moro mwezi wa nne huu nasubiria surveyor aje akague nifungiwe fibre ghetto kwangu
Moro mjini apa opposite na GM HOTELMorogoro ni kubwa. Unamaanisha Morogoro Mjini, Kilombero, Ifakara, Mahenge, Kidatu, Kilosa au Morogoro Vijijini?
Vizuri! Je, ulishajaza fomu ya kufungiwa hiyo huduma unayotaka?Moro mjini apa opposite na GM HOTEL
Fomu nilijaza kitambo sana Mpaka nimeshasahauVizuri! Je, ulishajaza fomu ya kufungiwa hiyo huduma unayotaka?
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu
Kwaiyo fomu nkajaze tena au kisa ni ghetto jmaaan ndo maana mnanizungushaVizuri! Je, ulishajaza fomu ya kufungiwa hiyo huduma unayotaka?
- Kwanini vocha zenu zinapatikana dukani kwenu tu na mtaani zinapatikana kwa nadra sana?
- Kwani customer care yenu ipo inferior sana ukiwapigia customer care baada ya saa za kazi hawapokei simu, wakipokea wanakuambia tupigie kesho