TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Kiongozi, hivi hizi huduma za Fiber Internet ni hadi uombee HQ (Extelcom) au hata kwenye hizi zonal office like TTCL Nyerere Rd! Nauliza kwa sababu pale HQ nimeshakosa imani napo manake haiwezekani mtu unajaza fomu kisha wanadai watatuma mtu na mtu hatokei hata baada ya kufanya follow-up! Wale wa Nyerere Rd kama hawajabadilika, zamani walikuwa fasta sana!! Mara mbili walishanipa huduma kwa kuja home within 24 hours!! Labda kwavile wana-deal sana na business community, na wao wame- adapt ile culture.

Nitumie majibu yafuatayo PM kwangu

1. Sehemu unayotaka kufungiwa hiyo huduma.

2. Namba yako ya simu.
 
Internet ya Fiber kupitia mfumo wa TANESCO, Arusha mnaanza lini jamani?

Nitumie majibu yafuatayo PM kwangu.

1. Sehemu unayotaka kufungiwa hiyo huduma.

2. Namba yako ya simu ambayo ipo hewani muda wote.
 
Makampuni karibu yote yamesha hama kwenye 2G. TTCL bado wapo 2G. Boresheni huduma zenu vizuri. Kwa sasa Voda wameanza na 5G. Sijui TTCL yetu tutahamia lini kwenye 3G.
,,
 
Hivi wanaweza kutusaidia nimetumiwa line ili niiswap baada ya line yangu kuharibika naona inamsumbua Kwa madai haoni code number je afanyeje?
 
Naota kama ttcl hua inahujumiwa na kampuni binafsi za simu na mawasiliano kupitia mameneja na hata wakurugenzi wake wasio wazalendo. Sio hivyo hata tbc hufanyiwa hivyohivyo na radio na television binafsi.
Mfano ni vipi itv/ radio one isikike kote nchini vizuri kabisa wakati tbc ya serikali hata dar tu radio huipati vizuri?
I've the same dream...

Binafsi nilifuatilia sana hizo Fiber Internet hadi nikachoka nikaamua kujiunga na Tigo Postpaid Business Package!!

Na angalau wakati ule ilikuwa 80GB for 60K ingawaje sasa nasikia unapata 60GB for 60K but still NAFUU SANA ukilinganisha na hizi daily/weekly bundles.
 
Alo niko moro mwezi wa nne huu nasubiria surveyor aje akague nifungiwe fibre ghetto kwangu
 
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu
  1. Kwanini vocha zenu zinapatikana dukani kwenu tu na mtaani zinapatikana kwa nadra sana?
  2. Kwani customer care yenu ipo inferior sana ukiwapigia customer care baada ya saa za kazi hawapokei simu, wakipokea wanakuambia tupigie kesho
 
Nina kumbukumbu mbaya sana na huduma za TTCL. Huduma mbovu sijawahi kuona yaani ilibidi nicheke badala ya kusikitika. Okay ilikuwa mwaka mmoja uliopita. Siku hizi wamebadilika? Maana nataka wanieletee home internet.
 
  1. Kwanini vocha zenu zinapatikana dukani kwenu tu na mtaani zinapatikana kwa nadra sana?
  2. Kwani customer care yenu ipo inferior sana ukiwapigia customer care baada ya saa za kazi hawapokei simu, wakipokea wanakuambia tupigie kesho

Ah! [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom