TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Kiukweli wanapata mishahara ya bure tu hakuna wanalolifanya. Inasikitisha sana na wenye mamlaka wamekaa tu kimya unashindwa hata kuelewa kuwa hivi hii nchi ina laana au ni nini?
Facilities za ofisi pia wanatumia bure kuanzia furnitures, Umeme, viyoyozi, internet kwaajili ya kuperuzi nk mpaka unashangaa mbona Waziri husika yupo kimya tu au tuseme bado anatafakari futari waliyomuandalia kipindi cha mfungo kwanini hasemi hata jambo ni kwamba hizi kelele hazisikii au haelewi matatizo yanayolikabili shirika? Msajiri wa hazina alikutana na wenyeviti wa bodi pamoja na viongozi wao sina hakika kama alieleweka kwenye ule mkutano juu ya dhana ya mashirika ya umma kujiendesha kibiashara.
 
Mkuu umetoa povu bure! Hebu muulize Shareholder wa TTCL amewekeza shilingi ngapi kwenye hiyo miradi au TTCL ina struggle kutoa huduma kutoka kwenye own Source ambayo haitoshi?
Pili iulize Serikali kwa nini TTCL ikitaka kununua materials inatakiwa ku comply na sheria za PPRA ambazo ni very bureaucratic kiasi kwamba service delivery kwa mteja inachelewa?
Hao wafanyakazi unaowalaumu ndio waliofanya Shirika likawepp mpaka leo licha ya kupitia misukosuko mingi ikiwemo kubinafsishwa.
Iulize Serikali TTCL inapata unafuu wowote kwenye Kodi kama Shirika la serikali au na lenyewe linalipa sawa na wengine?
Anza na hayo kwanza halafu ukipata majibu rudi kwenye hili povu lako
ULIYOYATAJA YOTE HAYA-JUSTIFY UOZO ULIOPO
 
Facilities za ofisi pia wanatumia bure kuanzia furnitures, Umeme, viyoyozi, internet kwaajili ya kuperuzi nk mpaka unashangaa mbona Waziri husika yupo kimya tu au tuseme bado anatafakari futari waliyomuandalia kipindi cha mfungo kwanini hasemi hata jambo ni kwamba hizi kelele hazisikii au haelewi matatizo yanayolikabili shirika? Msajiri wa hazina alikutana na wenyeviti wa bodi pamoja na viongozi wao sina hakika kama alieleweka kwenye ule mkutano juu ya dhana ya mashirika ya umma kujiendesha kibiashara.
Wanazisikia vizuri basi tu hawaoni kipaumbele, wanalindana na kuogopana
 
Wanazisikia vizuri basi tu hawaoni kipaumbele, wanalindana na kuogopana
Inasikitisha sio siri hivi shirika kama TTCL linashindwa vipi kufanya biashara vizuri ya fiber internet ikiwa miundombinu ipo tena kwa gharama za chini ili kuliteka Soko na kupata wateja wengi zaidi kipi kinawashinda hasa mpaka makampuni binafsi tena yameanza juzi tu yanaweza kwa ufanisi mkubwa. Nafikiri shida kubwa ni kiongozi wa TTCL (Mkurugenzi/CEO) huyu atakuwa na tatizo kubwa maana haiwezekani uongoze taasisi isiyoweza kutoa huduma tena kwa kulipia halafu wewe upo tu ofisini na tai yako unapulizwa kiyoyozi huyu ni jipu halafu ndio wanafata hao wasaidizi wake, ofisi yao imekuwa kama kijiwe cha kupiga soga tu na wanaona sawa tu.
 
Inasikitisha sio siri hivi shirika kama TTCL linashindwa vipi kufanya biashara vizuri ya fiber internet ikiwa miundombinu ipo tena kwa gharama za chini ili kuliteka Soko na kupata wateja wengi zaidi kipi kinawashinda hasa mpaka makampuni binafsi tena yameanza juzi tu yanaweza kwa ufanisi mkubwa. Nafikiri shida kubwa ni kiongozi wa TTCL (Mkurugenzi/CEO) huyu atakuwa na tatizo kubwa maana haiwezekani uongoze taasisi isiyoweza kutoa huduma tena kwa kulipia halafu wewe upo tu ofisini na tai yako unapulizwa kiyoyozi huyu ni jipu halafu ndio wanafata hao wasaidizi wake, ofisi yao imekuwa kama kijiwe cha kupiga soga tu na wanaona sawa tu.
Demand ni kubwa sana, wangekuwa ni wabunifu wangetengeneza hela sana, sema ndio hivyo mkuu hawana time wala motivation ya kufanya hivyo. Na simply because hakuna mtu wa kuwa hold accountable so hawaoni kama ni kazi yao. Inakera sana.
 
Demand ni kubwa sana, wangekuwa ni wabunifu wangetengeneza hela sana, sema ndio hivyo mkuu hawana time wala motivation ya kufanya hivyo. Na simply because hakuna mtu wa kuwa hold accountable so hawaoni kama ni kazi yao. Inakera sana.
Nilishafika ofisini kwao kufatilia ombi langu miezi kadhaa imepita sasa fikiria kufanyiwa survey tu kizungumkuti kitu cha dakika 3 kufanya kwa google map wananiambia mafundi watakuja leo mwezi wa 3 halal mkurugenzi yupo ofisini. Kwenye voice wamechemsha licha ya mbeleko waliyokuwa wakibebwa hapo awali sasa hata ubunifu kidogo kwenye fiber internet inawashinda wanaweza nini sasa Watu hawa kukaa ofisini bure bila kufanya kazi?
 
Nilishafika ofisini kwao kufatilia ombi langu miezi kadhaa imepita sasa fikiria kufanyiwa survey tu kizungumkuti kitu cha dakika 3 kufanya kwa google map wananiambia mafundi watakuja leo mwezi wa 3 halal mkurugenzi yupo ofisini. Kwenye voice wamechemsha licha ya mbeleko waliyokuwa wakibebwa hapo awali sasa hata ubunifu kidogo kwenye fiber internet inawashinda wanaweza nini sasa Watu hawa kukaa ofisini bure bila kufanya kazi?
Mie nimeamua nisipoteze muda wangu kufuatilia hata.. Naona napata stress tu. Washazoea hao kukaa bila kazi.
 
Mi nimeandika email, kupiga simu, kutext mpaka nimeamua kuacha tu.. Nadhani hawapo tayari kupokea wateja wapya. Taasisi za serikali tabu sana
Kwakweli ni shida sana bora walifunje au kulinganisha aisee hii ni aibu
 
Kwakweli ni shida sana bora walifunje au kulinganisha aisee hii ni aibu
Nafikiri dawa ni kuondoa mèneja wote wa ofisi zao zilizopo maeneo tofauti halafu wavunje kitengo cha ufundi (technical) weka vijana wenye ari na kazi na njaa ya kuhudumia Watu na wafanye kazi kisasa zaidi mambo ya kujaza fomu za makaratasi halafu kusubiri yapitiwe sijui na mtu wa kitengo gani mvivu mmoja ondoa, taarifa za mteja zijazwe soft copy zikiambatanishwa na google map ya eneo lake husika. Nafikiri shirika haliko mikononi mwa mtu sahihi mpaka hivi sasa maana tungeona hata mabadiliko kidogo licha ya kupaza sauti zaidi ya kuonyeshwa picha za futari, waziri na picha za kusainishana mikataba na watu wa Huawei. Kwanini asitafutwe mtu kutoka sekta binafsi apewe akaleta mabadiliko kwenye hilo shirika maana hawa waliopo washazoea kukaa bila kufanya kazi.
 
Hawa jamaa ni waongo, Hili shirika bora lifutwe tu, Mambo ya Aibu sana, usithubutu kuweka mategemeo nao, sijui walitandaza mkongo wa Taifa ya kazi gani.
Katika mambo ambayo serikali inafeli ni kuhusu hili. Unaenda ofisi zao kuu hakuna laini hata moja wakati mitandao mingine laini za kumwaga mpk wanakusajilia bure. Mtandao haueleweki
Serikali ingekuwa na akili wangeboresha ili shirika na kurudisha night bando 1500 unlimited hata 10GB kuanzia saa 6-12 asubuhi. Buku unapata 1gb, dk 100 mitandao yote na 300sms kwa wiki. Wangepata pesa nyingi sana za kuliko hata zile za tozo ila kwa ujinga wao wanakimbilia vodacom, airtel na halotel wanaweka tozo ili wapate pesa.
Afrika ni bara giza kwa kweli, hilo halipingiki
 
Katika mambo ambayo serikali inafeli ni kuhusu hili. Unaenda ofisi zao kuu hakuna laini hata moja wakati mitandao mingine laini za kumwaga mpk wanakusajilia bure. Mtandao haueleweki
Serikali ingekuwa na akili wangeboresha ili shirika na kurudisha night bando 1500 unlimited hata 10GB kuanzia saa 6-12 asubuhi. Buku unapata 1gb, dk 100 mitandao yote na 300sms kwa wiki. Wangepata pesa nyingi sana za kuliko hata zile za tozo ila kwa ujinga wao wanakimbilia vodacom, airtel na halotel wanaweka tozo ili wapate pesa.
Afrika ni bara giza kwa kweli, hilo halipingiki

Aibu sana, hivi ni nani katuloga?
 
Katika mambo ambayo serikali inafeli ni kuhusu hili. Unaenda ofisi zao kuu hakuna laini hata moja wakati mitandao mingine laini za kumwaga mpk wanakusajilia bure. Mtandao haueleweki
Serikali ingekuwa na akili wangeboresha ili shirika na kurudisha night bando 1500 unlimited hata 10GB kuanzia saa 6-12 asubuhi. Buku unapata 1gb, dk 100 mitandao yote na 300sms kwa wiki. Wangepata pesa nyingi sana za kuliko hata zile za tozo ila kwa ujinga wao wanakimbilia vodacom, airtel na halotel wanaweka tozo ili wapate pesa.
Afrika ni bara giza kwa kweli, hilo halipingiki
Shirika lina ofisi kila wilaya nchi hii lakini ajabu huduma zao mbovu kupindukia nafikiri mkurugenzi aliyepo hafai maana angeshapanga timu yake vizuri kwenye utekelezaji wa shughuli zao fikiria eti unaenda ofisi za TTCL unakuwa kama unaomba na kubembeleza huduma wakati unawapelekea pesa halafu hawashtuki kamwe. Wangeweza kuwa shirika lenye huduma za fiber internet bora nchini tena kwa gharama nafuu zaidi lakini uvivu na uzembe umetamalaki fikiria kampuni ndogo za fiber zimeanza kazi chini ya miaka 5 lakini huduma zao bora kabsa tena ukihitaji fiber ndani ya masaa 24 unafungiwa lakini shirika lenye miundombinu yote linasuasua kufungiwa huduma mpka baada ya miezi 6 Dunia ya sasa mteja atasubiri muda wote huo?
 
Mpaka sasa ni takriban miezi 5 nasubiri kufungiwa huduma ya fiber. Nimeenda mpaka ofisini wamenijazisha fomu zaidi ya mara 3, nimemtafuta mpaka engineer in charge wa operations hataki kupokea simu na ameniblock, sasa najiuliza TTCL ni shirika linafanya kazi kwa maslahi ya nani? Linawezaje kukusanya pesa ya kujiendesha kibiashara kama HAWATAKI kutuletea huduma?

Miyeyusho sana TTCL
 
Kama mpo maeneo ya sinza mnataka huduma ya fiber watafute jamaa wanaitwa Net solutions...mwezi unalipia 59k unapata unlimited internet ya 20mbs.

Mm natumia kwangu mwezi wa 5 huu frsh kbs
 
Shirika lina ofisi kila wilaya nchi hii lakini ajabu huduma zao mbovu kupindukia nafikiri mkurugenzi aliyepo hafai maana angeshapanga timu yake vizuri kwenye utekelezaji wa shughuli zao fikiria eti unaenda ofisi za TTCL unakuwa kama unaomba na kubembeleza huduma wakati unawapelekea pesa halafu hawashtuki kamwe. Wangeweza kuwa shirika lenye huduma za fiber internet bora nchini tena kwa gharama nafuu zaidi lakini uvivu na uzembe umetamalaki fikiria kampuni ndogo za fiber zimeanza kazi chini ya miaka 5 lakini huduma zao bora kabsa tena ukihitaji fiber ndani ya masaa 24 unafungiwa lakini shirika lenye miundombinu yote linasuasua kufungiwa huduma mpka baada ya miezi 6 Dunia ya sasa mteja atasubiri muda wote huo?
Na hizo kila ofisi wafanyakazi wapowapo tu wanasubir mishahara mwisho wa mwezi.
Kuna ofisi ipo Ifakara huko nilienda ili kuangalia huduma ya Faiba nifunge maskani, nafika pale naulizia wanasema huduma haijafika hapa. Nikabaki nashangaa
 
Mpaka sasa ni takriban miezi 5 nasubiri kufungiwa huduma ya fiber. Nimeenda mpaka ofisini wamenijazisha fomu zaidi ya mara 3, nimemtafuta mpaka engineer in charge wa operations hataki kupokea simu na ameniblock, sasa najiuliza TTCL ni shirika linafanya kazi kwa maslahi ya nani? Linawezaje kukusanya pesa ya kujiendesha kibiashara kama HAWATAKI kutuletea huduma?

Miyeyusho sana TTCL
Moja la shirika la kingeresema sana
 
Back
Top Bottom