Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimehangaika na internet yenu nyumbani mbezi beach sijapata msaada wote wa maana na nikaweka 50k ya kulipia hadi keo sijapata huduma ninepiga masimu we hadi nimechoka , nyie bado sanaNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.
1. POSTA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.
2. KARIAKOO
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.
3. UPANGA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.
4. MAGOMENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.
5. KIJITONYAMA
[emoji654][emoji654][emoji654]Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.
6. OYSTERBAY
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Haile Selassie.
7. UBUNGO
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.
8. MBEZI BEACH
[emoji654][emoji654][emoji654]Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.
9. TABATA
[emoji654][emoji654][emoji654]Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.
10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
[emoji654][emoji654][emoji654]Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.
11. BARABARA YA PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.
12. WAGENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Uwanja wa ndege.
13. PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.
14. KISUTU
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.
15. TEGETA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.
16. MWANANYAMALA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.
17. KURASINI
[emoji654][emoji654][emoji654]Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.
Wasiliana nasi:
[emoji337]022 210 0100
[emoji390] 0738 151 511
[emoji273]www.ttcl.co.tz
#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645
Karibu.
Rudi Nyumbani Kumenoga
TTCL wanaweza kuwa na mapungufu mengi ila kwenye huduma ya FIBER jamaa wako vizuri mno mno mno. Bei za vifurushi ni nafuu sana na speed so mchezo aisee. Kwenye huduma nyinginezo siwezi kuzungumzia ila kwenye FIBER tuwape maua yao.
Wanakulitafuta mwanakulipataAsee kwa hili TTCL wanazingua sana imagine mm nakaa tabata round about mandela road , nmefungiwa fiber since 6 months Ago, yani tangu nmeekewa mpka leo haifanyi kazi eti server imejaa kwahyo hakuna sehem ya kuweka wateja wapya??? Wtf??,, 4 months nmehangaika na ma surveryor, mpka mmekuja kuweka kwa mbinde yani kuni connect tu nilipie huduma mnashindwa????? Kweli shirika linahitaji mtu mpya ss
Kwangu mimi Fiber inapiga kazi na speed inanipa thamani ya ninacholipia. Huyo jamaa issue yake ni kutokuunganishiwa huduma na si ubovu wa mtandao. Na huo ndo ukweli, ttcl wako slow sana kutanua soko lao...ukijaza form ukakaa home bila kufatilia inaweza kuchukua zaidi ya mwaka kupata huduma au unaweza kuletewa nyaya mpaka ndani lkn usiungiwe huduma! Binafsi nikizungumzia quality ya fiber baada ya kuungiwa ni nzuri mno.Are
Wanakulitafuta mwanakulipata
Mimi ni nani nikupinge?Kwangu mimi Fiber inapiga kazi na speed inanipa thamani ya ninacholipia. Huyo jamaa issue yake ni kutokuunganishiwa huduma na si ubovu wa mtandao. Na huo ndo ukweli, ttcl wako slow sana kutanua soko lao...ukijaza form ukakaa home bila kufatilia inaweza kuchukua zaidi ya mwaka kupata huduma au unaweza kuletewa nyaya mpaka ndani lkn usiungiwe huduma! Binafsi nikizungumzia quality ya fiber baada ya kuungiwa ni nzuri mno.
Lipo sana wanalipwa posho balaa🤣🤣🤣🤣💺Hili shirika bado lipo tu?
Nimekaa miezi sita ndiyo wakuja kufunga wiki iliyopitaKwangu mimi Fiber inapiga kazi na speed inanipa thamani ya ninacholipia. Huyo jamaa issue yake ni kutokuunganishiwa huduma na si ubovu wa mtandao. Na huo ndo ukweli, ttcl wako slow sana kutanua soko lao...ukijaza form ukakaa home bila kufatilia inaweza kuchukua zaidi ya mwaka kupata huduma au unaweza kuletewa nyaya mpaka ndani lkn usiungiwe huduma! Binafsi nikizungumzia quality ya fiber baada ya kuungiwa ni nzuri mno.
TTCL mmelalia pesa
Huo mkongo mngeeda tu Bank hata hizi za ndani zenye riba kubwa mchukue kama Bilioni 100 msambazie watu mtandao. Mkimpata wateja 300,000 kwa uchache wanaolipa; hiyo hela mnaweza kuirudisha ndani ya takribani miaka miwili ikiwa ni pamoja na Riba yao. Hapo ndipo private Sector wanapo washinda...
Wahuni wameliharibu hili shirika wanafanya maksudi.Hivi TTCL, kwa nini kila tukienda kuomba kufungiwa Fiber nyumbani tunaambiwa mtaa uliopo umejaa hadi waje kufunga control box nyingine. Ina maana hakuna initiative zozote maana mnapoteza wateja
Wapumbavu sana hawaLipo sana wanalipwa posho balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji575]
Wanalipwa mafao na posho za kutosha, wafunge wasifunge hao ni makada wa chama na wanateuliwa kutoka kwenye chama hasa nafasi za juu.Hivi TTCL, kwa nini kila tukienda kuomba kufungiwa Fiber nyumbani tunaambiwa mtaa uliopo umejaa hadi waje kufunga control box nyingine. Ina maana hakuna initiative zozote maana mnapoteza wateja
Bado hujasemaNilijiunga nmb mkononi kwa kupiga *150*66# kwa line ya ttcl wakajibu "wanafanyia kazi "mpaka leo sijajiunga 😅😅 kila nikipiga najibiwa hivyo
Mpaka usemeHopeless TTCL.
Zinapita siku tatu nzima bila signal. Na nipo ndani ya manispaa.
Je ningekuwa kijijini?