TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Na hizo kila ofisi wafanyakazi wapowapo tu wanasubir mishahara mwisho wa mwezi.
Kuna ofisi ipo Ifakara huko nilienda ili kuangalia huduma ya Faiba nifunge maskani, nafika pale naulizia wanasema huduma haijafika hapa. Nikabaki nashangaa
Ajabu sana na watu wanalipwa mishahara kwa kutofanya kazi mpka unajiuliza huyo mkurugenzi anafanya kazi gani ofisini au ndio yupo kwaajili ya kuhudhuria makongamano na warsha maana ieleweke kama taasisi unaiongoza halafu haitoi huduma ipasavyo huduma mbovu wewe kiongozi ndio unakuwa mwenye tatizo. Kipindi kile wamekuja na msemo who rudi nyumbani kumenoga huduma zao zilikuwa zimeanza kuimarika naona kwa sasa wamerejea kwenyen uzembe wao wa kawaida waliokuwa wameuzoea hapo kale. Fursa ya kusambaza fiber majumbani/maofisini mwa watu wanayo kubwa lakini hawaitumii.
 
Ajabu sana na watu wanalipwa mishahara kwa kutofanya kazi mpka unajiuliza huyo mkurugenzi anafanya kazi gani ofisini au ndio yupo kwaajili ya kuhudhuria makongamano na warsha maana ieleweke kama taasisi unaiongoza halafu haitoi huduma ipasavyo huduma mbovu wewe kiongozi ndio unakuwa mwenye tatizo. Kipindi kile wamekuja na msemo who rudi nyumbani kumenoga huduma zao zilikuwa zimeanza kuimarika naona kwa sasa wamerejea kwenyen uzembe wao wa kawaida waliokuwa wameuzoea hapo kale. Fursa ya kusambaza fiber majumbani/maofisini mwa watu wanayo kubwa lakini hawaitumii.
Huduma mbovu ipi uliyoipata?
 
Ushawahi kutumia au kupata ushuhuda wa mtu aliyetumia FAIBA MLANGONI KWAKO?
Achana na ishu ya Faiba twende kwenye
1- Huduma ya wateja wapowapo tu

2- Vifurushi huu ni ni mwaka wa 5 havibadiliki tu, ukiachana na Bufee ni kifurushi gani kingine cha ubunifu mlichozindua?

3_ ushawahi fanya malipo kupitia T Pesa na ikakubali wewe?

4_ tpesa miamalaa ikikwama tu hewani siku ya ijumaa kutatuliwa tatizo mpaka muamue wenyewe

5_ ushawahi kukwangua vocha bahati mbaya kisha uwasiliane na mtoa huduma kupata msaada ni mpaka Yesu arudi.

6. Vocha zenyewe hazipatikan mtaan

7_
 
Achana na ishu ya Faiba twende kwenye
1- Huduma ya wateja wapowapo tu

2- Vifurushi huu ni ni mwaka wa 5 havibadiliki tu, ukiachana na Bufee ni kifurushi gani kingine cha ubunifu mlichozindua?

3_ ushawahi fanya malipo kupitia T Pesa na ikakubali wewe?

4_ tpesa miamalaa ikikwama tu hewani siku ya ijumaa kutatuliwa tatizo mpaka muamue wenyewe

5_ ushawahi kukwangua vocha bahati mbaya kisha uwasiliane na mtoa huduma kupata msaada ni mpaka Yesu arudi.

6. Vocha zenyewe hazipatikan mtaan

7_
1692349821703.png


Kuhusu Vocha, TTCL Corporation imetambua matatizo hayo ya upatikanaji wa Vocha za kukwangua. Kwa maana hiyo TTCL imewarahisishia wateja wake namna ya kupata Vocha. Tumia njia hii kupata vocha wakati wowote na mahali popote unapokosa vocha za kukwangua.
1692349877604.png

1692350118629.png

1692350151429.png

1692350260058.png
 
That was long long time ago comrade. Wahuni wameimaliza, nishapoteza na line yao.
Siku hizi huwezi kujiunga bando hata kama una salio nakwambia.
Mkurugenzi wa TTCL wa sasa Bwana Ulanga anasema waachane na masuala ya mobile na wajikite zaidi kwenye Fiber pekee.
Hiyo ndo kipaumbele chao cha siku hizi
 
Huduma ya fiber ni uzushi tu

Miaka miwili najazishwa fomu tu hakuna lolote mlilofanya.

Customer Care yenu ni mbovu mtu kajaza fomu takribani mwezi unaambiwa rudi nyumbani utapigiwa simu na surveyor.

Siku unapigiwa simu unamsikia surveyor anauliza "enhee ulisema upo kariakoo mtaa gani?"

Wakati kwenye fomu umejaza eneo tofauti na Kariakoo na then fomu imewekwa option ya kuchora ramani kutoka ofisi za TTCL hadi eneo unapoishi ili kumsaidia Surveyor aweze kufikia kwa urahisi.

Lakini bado fomu umeandika Sinza, surveyor anaulizia mitaa ya Kariakoo.

Haya baada ya hapo unamfahamisha kuwa wewe haupo eneo hilo hivyo aje eneo sahihi, anakuambia njoo tena ofisini ujaze fomu.

Sasa huo ni utoto mnatufanya watu tuonekane mambwiga.

Kuna ile namba yenu ya Whatsapp napo nimejaribu kufanya mazungumzo na nyie bado ushirikiano umekuwa zero.
 
Huduma ya fiber ni uzushi tu

Miaka miwili najazishwa fomu tu hakuna lolote mlilofanya.

Customer Care yenu ni mbovu mtu kajaza fomu takribani mwezi unaambiwa rudi nyumbani utapigiwa simu ja surveyor.

Siku unapigiwa simu unamsikia surveyor anauliza "enhee ulisema upo kariakoo mtaa gani?"

Wakati kwenye fomu umejaza eneo tofauti na Kariakoo na then fomu imewekwa option ya kuchora ramani kutoka ofisi za TTCL hadi eneo unapoishi ili kumsaidia Surveyor aweze kufikia kwa urahisi.

Lakini bado fomu meandika Sinza, surveyor anaulizia mitaa ya Kariakoo.

Haya baada ya hapo unamfahamusha juwa wewe haupo eneo hilo hivyo aje eneo sahihi, anakuqmbia nioo tena ofisini ujaze fomu.

Sasa huo ni utoto mnatufanya watu tuonekane mambwiga.

Kuna ile namba yenu ya Whatsapp napo nimejaribu kufanya mazungumzo na nyie bado ushirikiano umekuwa zero.
😂😂😂😂hongera kwa kuliona hilo boss. Wanaboa kisenge ile TTCL Customer Care yao ya Whatsapp ipo ovyo kingese.
Customer care upande wa Whatsapp zilizo siriazi ni kmaa hivi
1. Tigo
2. Voda
Hawa wapo siriazi sana na wanamjali mno mteja.
 
Back
Top Bottom