TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Natumia TTCL laini mwaka sasa. Kero zangu ni hizi hapa:

1. Menu ya TTCL ya kuangalia salio la bando ni ya kidwanzi kuliko udwanzi wenyewe. Yaani unaingia menu, unabonyeza kuangalia salio, HAFU ETI ANATOKEA SUB MENU ANAKUULIZA SALIO LA SMS, DAKIKA, AU MB, unajifanya fala unabonyeza dakika, ANATOKEA TENA ANAKUULIZA DAKIKA ZA TTCL KWENDA TTCL AU KWENDA MITANDAO MINGINE??????? SERIOUS??????????

2. Vifurushi vya SMS wamevibana sana. Mfano Chat Kijanja ndio ninao jiunga eti Buku 1 unapata SMS 1000 kwa week. Hakuna vifurishi vya SMS unlimited. Igeni kwa wenzenu.

3. Internet ikifika usiku haina kasi kabisa. Yes tunajua ni peak hours kila mtu yupo Quarantine kwake anatumia ila kwenu too much inaelekea kuna kitu mnabinya.

4. TTCL anzisheni App ya T-Pesa.

Kama wameshataja wadau hayo sorry ila mengine wataongeza wakuu.
 
Haha kutoa sadaka🤣🤣🤣🤣
 
Freelancer wa TTCL wanalalamika wanakuja ofisini kununua laini 50 lakini wanalazimishwa kununua laini 20 hivyo kwa mwenzi inabidi harudi zaidi ya Mara mbili tatizo nini
 
kwa vifurushi wamezingua sana
 
Hukosoma vizuri, bandika bandua kama ni 4GB huwa wanatenganisha, usiku labda 3 na mchana 1. Uwe unasoma kwanza na kuelewa menu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…