Hii picha ni aibu ukupaswa kupost ninunue line ya ttcl kwajili ya 1gb kwa 2000 per week..???? Sasa kunatofauti gani kati ya ttcl na tigo, voda na airtel...????Benhorta ,Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week
Bado umedanganya pia .....
On a screenshot ya kifurushi cha week chagua weweView attachment 1404285
Sent using Jamii Forums mobile app
Inauzwaje hiyo fiber?Kasi balaaa .....
Rudi nyumbani kumenoga View attachment 1404296View attachment 1404298
Sent using Jamii Forums mobile app
Toboa pekee ndio kimebaki vilevile
Hiv vifurushi unapataje? Maana boom pack nw kwa wiki gb 3 sh 3000 alooBenhorta ,Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week
Bado umedanganya pia .....
On a screenshot ya kifurushi cha week chagua weweView attachment 1404285
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama atarudi aiseeSoma vizuri, Jibu hoja zangu straight usipinde pinde boss, Pia hiyo picha ya kifaa ulichoweka hapo sio hoja yangu, Si kila mtanzania anaweza kumiliki hicho, Ninachozungumzia hapa ni normal cellural network, Usipindishe hoja za msingi.
Nyumbani KumerogwaKasi balaaa .....
Rudi nyumbani kumenoga View attachment 1404296View attachment 1404298
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki ilikuwa Ilikuwa 2000 ni GB 2Hiv vifurushi unapataje? Maana boom pack nw kwa wiki gb 3 sh 3000 aloo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bwana Kindamba tumekusikiaNasoma Comment nikifurahia speed ya Internet ya TTCL 4GView attachment 1182352
Baba J anatumia AirtelNyie jamaa bana....raisi wenu mwenyewe anatumia airtel...huo mtandao unabebwa na mkonga wa taifa ila kwenye huduma nywngine wenyewe unajijua umefeli
Siriazi?Nimevunja line yao..Vodacom ndo kila kitu,tukubali tukatae
[emoji23][emoji23][emoji23]Walio ajiriwa huko hawakufanya interview au kama walifanya walikosea kuchukua. Badala ya kuchagua top layer walichaguliwa bottom layer.
Ulishafika pale TTCL Nyerere road mkuu? Hebu fika siku moja uombe hata kununua router uone utakavyovunguushwa. Hutaamini kama wanauza. Sasa fika NSSF Ilala. Nadhani NSSF wanaajiri watu wenye IQ ya watoto wa darasa la tatu.
Muhimbili wakishindwa wanapelekwa wapi?We ndo hujuhi hudama zitolewazo na serikali zilivyo nzuri.
Tuanze na Muhimbili wagonjwa wwkishindikana kwingine upelekwa huko.
Tanesco wape sifa zao huwezi linganisha na wavaa matai wa Tanrod meneja wa mkoa hata chepe Hana. Hawezi Zina hata shimo la barabarani .
Sent using Jamii Forums mobile app
Halotel wanatoa kwa Tsh 1500Mi napendaga Offa yao ya usiku gb 10 Basi hakuna jingine. Au Kuna mtandao gn mwingine unatoa ofa km hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa unaishi kati ya Posta, Upanga au Magogoni.Nawatumiaga hawa kupotezea muda usiku, Kifurushi chao cha buku unapewa GB 4 kuanzia saa mbili usiku mpaka kukuche, wana speed safi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makompyuta makubwa ya zamaniHata vijijini haipatikani kwa kiwango cha namna wanavyojigamba!!!! Halaf huduma kwa wateja mikoani bado sana. Mikoani ukijaribu kuutembelea ofisi za voda, tigo, airtel, hallotel halafu unafanishe na TTCL kuna tofauti kubwa sana kwenye huduma za wateja. TTCL bado wana wazee ambao ni wazito kuhudumia wateja. Utawakuta wamekaa kwenye ma computer yao yale makubwa ya kipindi cha nyuma sana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Wengi wamevaa miwani nzito na kina mama wamevaa mitandio au ma baibui
Vibaya mno
NyumbaniKUMEDODARudini nyumbani kumenoga