Hii picha ni aibu ukupaswa kupost ninunue line ya ttcl kwajili ya 1gb kwa 2000 per week..???? Sasa kunatofauti gani kati ya ttcl na tigo, voda na airtel...????Benhorta ,Nimefanya tadhimini fupi na kugundua kuwa kutumia ttcl hakuna tofwauti na kutumia Tigo, Airtel nk.. Mf,
Tigo 3000=3Gb per week
Ttcl 3000=3Gb per week
Bado umedanganya pia .....
On a screenshot ya kifurushi cha week chagua weweView attachment 1404285
Sent using Jamii Forums mobile app