TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Sijacheki tena ila kama mmerudisha kwa hiyo 2500 basi endeleeni kuweka hivyo hivyo 2500 maana kama Halotel na Airtel wana 4G wanafanya 1500 basi nyumbani kutanoga zaidi maana kupanga ni kuchagua..
 
Sijacheki tena ila kama mmerudisha kwa hiyo 2500 basi endeleeni kuweka hivyo hivyo 2500 maana kama Halotel na Airtel wana 4G wanafanya 1500 basi nyumbani kutanoga zaidi maana kupanga ni kuchagua..
Aisee
 
Mkiambiwa mRUDI NYUMBANI KUMENOGA mnaringa mnang'ang'ania kukaa ghetto, matokeo yake ndio haya sasa.
 
Msimamizi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano,TTCL Corporation na Mamlaka ya Uendeshaji wa Mkongo Zanzibar (ZICTIA) wasaini makubaliano baada ya kufanikisha kuunganisha Mkongo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mkongo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo , katika hafla iliyofanyika Ofisi za Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji, Zanzibar.


Tukio hilo lilishuhudiwa na Katibu Mkuu Dkt.Mustafa Aboud Jumbe, Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji na Katibu Mkuu Dkt.Zainabu Chaula, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano(Sekta ya Mawasiliano)
 


Utaratibu wa kuangalia salio kwenye line zenu mrefu mno moaka unachosha inakuwa kama unaomba kazi maswali mengiiiiii! Kwanini isiwepo code moja tu kama tigo *102*01 inakupa aina zote za salio alilonalo mteja badala ya kujibu maswali mengi kama vile unajaza kufurushi
 
Asante kwa ushauri wako ndugu mteja.
Na pia pole sana kwa changamoto.
Tatizo la kuangalia salio litatatuliwa ndani ya mwezi huu.
Nakutakia mchana mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…