TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Inaonekana kama TTCL wameshindwa kukidhi mahitaji ya mawasiliano ya wateja wake.Hakuna hata huduma moja ya TTCL ambayo iko reliable.

Kama una mawasiliano muhimu usije ukayafanya kupitia TTCL unaweza kuja kujuta,Huduma za kupiga simu ovyo, huduma za ujumbe mfupi ovyo, huduma za fedha ovyo, internet ndio kabisa ovyo saba mara sabini,muda mwingi signal ni E,3G,H saa nyingine signal zinakuwa hamna kabisa kwa siku kama 4 sasa signal zinang'ang'ana kwenye H.

Unaweza kudhani TTCL ni shirika la Jalalani kumbe eti ndio shirika mama la mawasiliano la watanzania wanyonge
 
Yaaaaani sijui nini kinawashinda kurekebisha mim nilikua naangalia Azam ilikua inagoma goma mpaka nimaacha
 
Tumerudi nyumbani ila vp Ttcl mnatufukuza huu ndo wakati wa kuwaita watu warudi home kwa kutengeneza na kutatua changamoto
 
Inaonekana kama TTCL wameshindwa kukidhi mahitaji ya mawasiliano ya wateja wake.Hakuna hata huduma moja ya TTCL ambayo iko reliable.

Kama una mawasiliano muhimu usije ukayafanya kupitia TTCL unaweza kuja kujuta,Huduma za kupiga simu ovyo, huduma za ujumbe mfupi ovyo, huduma za fedha ovyo, internet ndio kabisa ovyo saba mara sabini,muda mwingi signal ni E,3G,H saa nyingine signal zinakuwa hamna kabisa kwa siku kama 4 sasa signal zinang'ang'ana kwenye H.Unaweza kudhani TTCL ni shirika la Jalalani kumbe eti ndio shirika mama la mawasiliano la watanzania wanyonge
Punguza jazba mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TTCL hivi wanakwama wapi? Meneja wao ni nani? Je, yupo hapo kwa muda gani? Maana hawa ndio wanawaunganisha nework zote Tanzania.

Je, wanahongwa na makampuni ya kigeni? Tunaomba Waziri mwenye dhamana aunde tume wachunguzwe.
 
Line yenu hii hapa ukwel sasa sii tumii kabisa inanipa hasara ukiweka bando ujue imekula kwako hamna kitu humu nyumba imejaa haitosh bora wengine tuwapishe namba yangu ya zaman sana na ni 0737104443 imebak kwa whatsapp tu mbaya zaidi huduma kwa wateja ni hovyo mnoo mmeweka namba ya whatsapp ukituma sms inajibiwa baada ya miez mitatu hovyo kabisa nyie
103586543_2959559447476403_8695771538870706460_o.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakupongezeni kwa kujitahidi kidogo ila kuna changamoto mnatakiwa kuifanyia kazi

(1) Ukiweka vocha inachukua muda kujibiwa kama umefanikiwa

(2) Network yenu ya data ipo slow sana wakati za usiku kuanzia saa 5 za usiku mpaka alfajiri

(3) Hakuna sms inayoenda ukituma

Kwa leo ni hayo tuu yanayo niudhi mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo no 2 ndio kero iliyoshindikana kufanyiw marekebidho
 
Ngoja niendelee na hawa voda 3000/= == 3GB (7 days).
Haya matatizo mengine nayasikiaga kwa jirani tu!
 
Hawa jamaa TTCL wajichunguze tena maana huduma zao ni mbovu.Nilijiunga nao pale mh.Rais wa nchi alipotuhamasisha kujiunga nao.Lakini baadae niliwahama kwa sababu net yao ipo chini mno kwa kasi na SMS haziendi, yani ni tabu tupu.
 
Back
Top Bottom