TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Ttcl hamko serious na vifurushi vyenu.
Nilikuwa na laini yenu nikasema leo niweke ni jaribu.
Nikanunua bando la bandika bandika bandua.
Tatizo masharti yenu yamenishinda .
Mnatoa gb 4.
Lakini mmeweka limit mchana mb 500.
Alafu usiku kuanzia saa 6 mpaka saa 12 asubuhi ndo unatumia gb 3.5.
Haya masharti kwa kweli ni magumu

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya maboresho ya vifurushi ni changamoto ipi unayopata?
KUMBUKA

[emoji654][emoji654]Je, una ushauri wowote baada ya kuona mabadiliko ya vifurushi?

[emoji654][emoji654]Je, una tatizo la kushindwa kutuma SMS au calls?

Karibu nikuhudumie

Rudi Nyumbani KumenogaView attachment 1545053
Naomba Rudisheni kifurishi cha night toboa pack cha 10gb usiku kwa tshs 1000 na boom pack ya siku 600mb kwa tshs 500.

Mtatusababishia tena tuhame mtandao japo tunaupenda jamani kutokana na vifurushi vya sasa
 
Ttcl hamko serious na vifurushi vyenu.
Nilikuwa na laini yenu nikasema leo niweke ni jaribu.
Nikanunua bando la bandika bandika bandua.
Tatizo masharti yenu yamenishinda .
Mnatoa gb 4.
Lakini mmeweka limit mchana mb 500.
Alafu usiku kuanzia saa 6 mpaka saa 12 asubuhi ndo unatumia gb 3.5.
Haya masharti kwa kweli ni magumu

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Pole sana.
Tupo kwenye maboresho ya vifurushi vipya ambavyo vitampa uhuru mteja wetu.
Natumaini utavifurahia.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)

- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)

- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?

- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.

- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.


Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.


1. POSTA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.


2. KARIAKOO
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.

3. UPANGA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.


4. MAGOMENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.


5. KIJITONYAMA
[emoji654][emoji654][emoji654]Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.


6. OYSTERBAY
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Haile Selassie.


7. UBUNGO
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.


8. MBEZI BEACH
[emoji654][emoji654][emoji654]Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.


9. TABATA
[emoji654][emoji654][emoji654]Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.


10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
[emoji654][emoji654][emoji654]Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.


11. BARABARA YA PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.


12. WAGENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Uwanja wa ndege.


13. PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.


14. KISUTU
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.


15. TEGETA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.


16. MWANANYAMALA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.


17. KURASINI
[emoji654][emoji654][emoji654]Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.


Wasiliana nasi:
[emoji337]022 210 0100
[emoji390] 0738 151 511
[emoji273]www.ttcl.co.tz


#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645


Karibu.

Rudi Nyumbani Kumenoga
 
Kwahiyo hili tangazo ni kwa wakazi wa Dar tu, vipi mikoani?

Generally speaking TTCL mna miundombinu mizuri lakini customer care ni 0 marks
  1. Ukipiga simu kuomba msaada kuna mawili, wasipokee au wapokee lakini usisaidiwe kabisa kwa kisingizio cha "mhusika yupo kwenye conference call!
  2. Waweza kuomba msaada wa kuingiza vocha kwenye simu, huwezi kupata ile 24/7 customer support service, ukiona vocga haiingi kwenye simu baada ya saa za kazi basi hapo imekula kwako. ...subiri mpaka kesho na kama ni Ijumaa basi nika kumtoa mtuhumiwa polisi kama atakuwa amekamatwa Ijumaa
 
Jongea Maeneo ya Viwanja vya Social Center - SINGIDA-Mjini ukiwa na kitambulisho cha Taifa ilikuweza Kusajiliwa Laini yako mpya Au ya Zaman ya TTCL Co-orporation
# rudinyumbanikumenoga ufurahie ofa Kubwa ya Dk, sms na Gb za Kutosha
118360609_302995290765453_1128552803473032560_o.jpg
118353125_302995624098753_3077473567523523628_n.jpg
118418239_302994407432208_4155782863049362896_o.jpg
118513652_302843924113923_5891137874901906236_o.jpg
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt Zainabu Chaula akiongozana na Mkurugenzi Mkuu TTCL Corporation Waziri Kindamba na Mtendaji Mkuu wa UCSAF Justina Mashiba watembelea ujenzi wa minara ya mawasiliano katika kisiwa cha Rubondo katika eneo la hifadhi Pongo View na Kijiji cha Bulongero ambapo mawasiliano yanategemewa kuwashwa hivi karibuni.

Sehemu ambayo minara itazinduliwa na kuwashwa kwa kasi ya spidi kali ya 4.5G ni pamoja na:
[emoji819]Chato
[emoji819]Bukome
[emoji819]Igando
[emoji819]Nyabilezi
[emoji819]Bwera.


Rudi Nyumbani Kumenoga.
118654513_10158939738397884_5653221372742956039_o.jpg
118560982_10158938598297884_3878045004298381550_o.jpg
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt Zainabu Chaula akiongozana na Mkurugenzi Mkuu TTCL Corporation Waziri Kindamba na Mtendaji Mkuu wa UCSAF Justina Mashiba watembelea ujenzi wa minara ya mawasiliano katika kisiwa cha Rubondo katika eneo la hifadhi Pongo View na Kijiji cha Bulongero ambapo mawasiliano yanategemewa kuwashwa hivi karibuni.

Sehemu ambayo minara itazinduliwa na kuwashwa kwa kasi ya spidi kali ya 4.5G ni pamoja na:
[emoji819]Chato
[emoji819]Bukome
[emoji819]Igando
[emoji819]Nyabilezi
[emoji819]Bwera.


Rudi Nyumbani Kumenoga.View attachment 1554384View attachment 1554385
Kwahiyo huko ndiyo kuna watumiaji wengi?
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt Zainabu Chaula akiongozana na Mkurugenzi Mkuu TTCL Corporation Waziri Kindamba na Mtendaji Mkuu wa UCSAF Justina Mashiba watembelea ujenzi wa minara ya mawasiliano katika kisiwa cha Rubondo katika eneo la hifadhi Pongo View na Kijiji cha Bulongero ambapo mawasiliano yanategemewa kuwashwa hivi karibuni...
Mnazingua kishenzi yaani.

Kampuni ipo tangu hatujapata uhuru mpaka leo hata hallo tel inawazidi uwezo

Shame on you
 
Back
Top Bottom