Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Kujipendekeza kumewajaaKwahiyo huko ndiyo kuna watumiaji wengi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujipendekeza kumewajaaKwahiyo huko ndiyo kuna watumiaji wengi?
Wanazingua kivipi mkuu?Mnazingua kishenzi yaani.
Kampuni ipo tanga hatujapata uhuru mpaka leo hata hallo tel inawazidi uwezo
Shame on you
Kwanza walitakiwa kuwa network leading company. Kwa muda huu walitakiwa kuwa choice number moja kwa gharama na stability ya network yao. waanzie vijijini kurudi mjini.Wanazingua kivipi mkuu?
Si useme changamoto unayoipata ili itatuliwe.
Au kama una maoni au ushauri inaweza kuuweka hapa.
Asante kwa maoni yako mkuu.Kwanza walitakiwa kuwa network leading company. Kwa muda huu walitakiwa kuwa choice number moja kwa gharama na stability ya network yao. waanzie vijijini kurudi mjini.
Unanunua line yao kuienda wilaya kibao hawapo.
sasa wa nini
Asante kwa maoni yako mkuu.Kwanza walitakiwa kuwa network leading company. Kwa muda huu walitakiwa kuwa choice number moja kwa gharama na stability ya network yao. waanzie vijijini kurudi mjini
Unanunua line yao kuienda wilaya kibao hawapo
sasa wa nini
Kwa sasa hakipo mkuu.Kifurushi cha usiku cha GB 10 KIPO?
Namba yako tafadhaliAlaf... Nimenunua Umeme kupitia T-PESA naona mmejikausha
Nimewapigia simu huduma kwa wateja.. hampokei
Nimewatext katka social medias zenu hamjibu..
Namba yako tafadhaliKwa sasa ngoja niwe airtel na voda.... Siku mkiboresha network na vifurushi nitarudi.. inakera kuona 4G ya ttcl haisomi baadhi ya maeneo hapa hapa dar...
Mnamaanisha kila mahali TanzaniaPopote ulipo Tanzania,
Kwa kutumia simu yoyote uliyonayo, TTCL tupo nawe.
Furahia huduma zote za Mawasiliano na Fedha Mtandao kwa Viwango vya juu vya ubora na gharama nafuuu karibu na bure. Nyumbani ndio mpango mzima.View attachment 1569408
Ulipo wapoMnamaanisha kila mahali Tanzania
naomba wenyewe wanijibu mkuu, mbona kiherehereUlipo wapo
Wapo bize kusambaza minara.naomba wenyewe wanijibu mkuu, mbona kiherehere
naomba wenyewe wanijibu mkuu, mbona kiherehere