Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Ninyi hamuibi kama wengine lakini mwenendo wa Intaneti yenu hauridhishi, imekuwa slow sana hasa huku Katerero.
Pia kila siku tunaomba mrudishe Intaneti ile ya usiku kuanzia saa 6 ila mnaweka pamba masikioni.
Pia kila siku tunaomba mrudishe Intaneti ile ya usiku kuanzia saa 6 ila mnaweka pamba masikioni.