TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

Nyie watu mtamaliza watu na Corona, mikusanyiko sasa hivi siyo salama
 
LALAMIKO: Upande wa kutuma jumbe fupi (SMS) bado kuna tatizo. HAZIFIKI KABISA AU ZIKIFIKA HAZIFIKI KWA WAKATI. Mnakwama wapi?
 
Kwema wandugu,,,,,leo kilio changu nawapelekea TTCL kitengo cha vocha,, tunawaomba m boreshe vocha zenu hasa upande wa kukwangua namba zinafutika haraka sana ili tupunguze kelele ambazo sio za lazima na wateja.
 
Kwema wandugu,,,,,leo kilio changu nawapelekea TTCL kitengo cha vocha,, tunawaomba m boreshe vocha zenu hasa upande wa kukwangua namba zinafutika haraka sana.....ili tupunguze kelele ambazo sio za lazima na wateja.
Upo sahihi hata mimi ninazo hapa nimekula hasara kukwangua kidogo tuu namba zinafutika.. Sijui cha kufanya. Hasa za sh. 1000.. Ila za 2000 zipo vizuri.
 
Upo sahihi hata mimi ninazo hapa nimekula hasara kukwangua kidogo tuu namba zinafutika.. Sijui cha kufanya. Hasa za sh. 1000.. Ila za 2000 zipo vizuri.
C wapo humu waje watupe majibu.
 
Kwema wandugu,,,,,leo kilio changu nawapelekea TTCL kitengo cha vocha,, tunawaomba m boreshe vocha zenu hasa upande wa kukwangua namba zinafutika haraka sana.....ili tupunguze kelele ambazo sio za lazima na wateja.
Mbaya sana, huduma zao hazipo kwenye mashine za miamala POS. Poleni sana
 
Huyu katumwa nini?

tmp-cam-1616587454.jpg
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (T-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)

- Maeneo gani? (Tukifahamu maana ulipo, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate msaada toka kwa wakala wetu aliye karibu nawe)

- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?

- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza.

- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.


Zifuatazo ni ofisi zetu za huduma kwa wateja ndani ya jiji la Dar es Salaam.


1. POSTA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Samora, jengo la Extelecom ghorofa la Chini.


2. KARIAKOO
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Makamba/Msimbazi, jengo la Akamba Bus Service.

3. UPANGA
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Magole/Maliki, karibu na Diamond Jubilee.


4. MAGOMENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Minaki/Fundiki, karibu na Manispaa ya Kinondoni.


5. KIJITONYAMA
[emoji654][emoji654][emoji654]Kijitonyama Sayansi, barabara ya Ali Hassan Mwinyi/ Rose Garden.


6. OYSTERBAY
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Haile Selassie.


7. UBUNGO
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Ubungo Plaza/ Ghorofa la chini.


8. MBEZI BEACH
[emoji654][emoji654][emoji654]Mbezi Makonde/ Jengo la Shamo Tower.


9. TABATA
[emoji654][emoji654][emoji654]Tabata Bima, barabara ya Segerea karibu na kanisa la Romani Katoliki.


10. CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
[emoji654][emoji654][emoji654]Jirani na tawi la benki ya NBC, jirani na kilipo kituo cha polisi cha UDSM.


11. BARABARA YA PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Barabara ya Mwalimu Nyerere, karibu na Sigara.


12. WAGENI
[emoji654][emoji654][emoji654]Uwanja wa ndege.


13. PUGU
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Quality Centre, ghorofa la chini.


14. KISUTU
[emoji654][emoji654][emoji654]Mtaa wa Mchafukoge/Libya jengo la Haad Plaza.


15. TEGETA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Jengo la Kibo Complex, ghorofa la chini.


16. MWANANYAMALA SHOP
[emoji654][emoji654][emoji654]Mwananyamala A, barabara ya Mwinjuma yalipo makutano ya Mwananyamala A.


17. KURASINI
[emoji654][emoji654][emoji654]Kurasini Exchange Area, jirani na Chuo cha Diplomasia.


Wasiliana nasi:
[emoji337]022 210 0100
[emoji390] 0738 151 511
[emoji273]www.ttcl.co.tz


#RudiNyumbaniKumenoga
View attachment 1529645


Karibu.

Rudi Nyumbani Kumenoga
SALE! SALE! SALE!!
NEW SAMSUNG GALAXY
S8........480,000
S8+......560,000
S9........560,000
S9+......670,000
S10+ 128GB..970,000
NOTE 8..........600,000
NOTE 9 128GB.770,000
NOTE 10....1.1M
NOTE10+ 256GB..1.3M
CALL/TEXT 0621940104 https://t.co/7zVjHhBXMV
 
Yaani nilikua nawaaminia ila sasa basi yaani katika suala la customer service mpo nyuma sana naweza sema nyinyi ni matapeli mlojawa ukatili wa hali ya juu, vocha zenu pia zina viwango vya chini mno, yaani unakwangua namba hazionekani then mnapgiwa hamtoi msaada, nawafuata ofisini pia mnashindwa kunisaidia mnasema mtanipgia cmu. Hadi sasa ni week hamna simu wala sms na hii inaenda ni week 2 tokea nimeanza kuimba msaada wa voucher yangu lakn hamtak kunisaidia, hamjui tu ni kwasababu gn nilinunua voucher. Mimi nitamshtakia tu mungu muweza wa yote nyinyi simnataka kunidhurumu 2000 yangu, Inshaallah mungu atanilipia
 
Back
Top Bottom