Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu utemi sasaANA MUME ?
KAMA ANA MUME MIMI NAMTAKA HIVYO HIVYO, HUYO MUMEWE ATATAFUTIWA MKE MWINGINE. SAWA ?
Mnatoa ofa GB ngapi?
Tunahitaji huduma ya mabando mmseme mrahisisha upatikan wa mabando 10GB kwa elf 5
Inaonekana msambwanda anao huyu ndio ugonjwa wangu mkuuHuyo dada mweupe mwenye mawani anaitwa nani?
Ova
Huyo mzinduaji mrembo wahuni wana shughuli nae [emoji1787]
Huyo dada mweupe mwenye mawani anaitwa nani?
Ova
Hata wewe kama una mke mzuri, usisite kuniona nimchukue huyo mke wako, wewe utapewa mke mwingine na fedha kidogo ya kukupunguzia maumivu.Huu utemi sasa
Acha uhuni tafuta mke wako
Pumbavu kabsaaa ndiyo tabia zenu
Naomba niwashauri kitu. Mjitahidi kutanua huduma zenu na kujitangaza ipasavyo.
Ikiwezekana shusheni bei ya vifurushi vyenu, na pia kuhamasisha huduma yenu ya T - Pesa, ambayo kimsingi inasua sua sana ukilinganisha na Mpesa, tigo pesa, Airtel money na pia halopesa!
Nasema hivi kwa sababu nimeanza biashara ya miamala! Ukiondoa kuyumba kwa biashara kutokana na changamoto ya serikali kuongeza tozo kwenye miamala, wenzenu wanapata wateja. Ila TTCL Tanzania hakuna kabisa wateja!
Mnakosea wapi? Mnashindwa vipi na Wageni! Ilhali nyinyi ni wenyeji na mko chini ya serikali! Kimsingi mnatakiwa muwe na nguvu, mfanye zaidi biashara na kujulikana zaidi kuliko haya makampuni ya Mabeberu.[/I]
Umeahau suala la PIN za simcard.TTCL special numbers hazisomeki kule TCRA badala yake inasomeka namba ya simcard waliyotumia wakati wanakupa hiyo special number.
REKEBISHENI
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Hii uduma ipo Darnaomba kujua huduma ya kuwaunganishia watu internet ( Fiber) walipe kwa mwezi imefikia wapi?
Naona ndio system reliable na ya uhakika ya kujipatia mapato kuliko kushindana na hawa wengine walio jipambanua.
Kama hamna budget nafikiri mnaweza kutangaza gharama kwa maeneo ikijumlisha gharama za kufungiwa baadae mtu atakata gharama zilizotumika zikimalizika mnaanza kukusanya mapato.
Muhimu: Toeni taarifa watu wajue kinachoendelea; wengine walishalipia mmenyamaza kimya; Sio Afya kwa shirika!
Inamaana kwa miaka yote hiyo tangu Mkongo wa taifa umekuja bado mpo Dar pekee; tatizo ni nini?Hii uduma ipo Dar
Wewe upo wap mzee?Inamaana kwa miaka yote hiyo tangu Mkongo wa taifa umekuja bado mpo Dar pekee; tatizo ni nini?
Nimaeneo gani ya Dar mnayopaikana/mnayounganishia wateja?
Mtu akiomba anatakiwa awe ameunganishwa ndani ya muda gani?
ungenijibu maswali niliyouliza ingetoshaWewe upo wap mzee?
Alitaka kukugonga mbele au nyuma?Leo jioni dereva wenu mbabu hivi alitaka kunigonga Nyerere square pale mlimtuma?[emoji1787][emoji1787]