kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
Mzee kweli unakomesha[emoji23],hii ya ttcl auMizigo ya 4K tuu hiyo, Unlimited ni raha sana wakuuView attachment 2307870
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee kweli unakomesha[emoji23],hii ya ttcl auMizigo ya 4K tuu hiyo, Unlimited ni raha sana wakuuView attachment 2307870
Hii ni kampuni ya wana tu ma IT wamejikusanya wakafanya yao,Niliunganishwa nao na mkuu CONTROLA kwenye thread yake moja hivi,ki ukweli wako cheap na kwa matumizi yangu kama uonavyo ndio hivyo tena nakomesha 🤣🤣Mzee kweli unakomesha[emoji23],hii ya ttcl au
Bila shaka ni supakasi internet ya dishHii ni kampuni ya wana tu ma IT wamejikusanya wakafanya yao,Niliunganishwa nao na mkuu CONTROLA kwenye thread yake moja hivi,ki ukweli wako cheap na kwa matumizi yangu kama uonavyo ndio hivyo tena nakomesha 🤣🤣
Wakazi wa DAR wenye uhitaji wa Internet katika kazi zenu kuanzia Ofisini mpaka Nyumbani, suluhisho hili hapa
Najua watu wengi sana hutumia internet katika mishe za hapa na pale,binafsi ni wale watu wanaoishi mjini kwa kutegemea internet kwa sana, pamoja na mengine ninayofanya ila nina mengi makubwa nayafanya kupitia internet. Nimeshatumia internet mbali mbali za makampuni makubwa na madogo, na baadhi...www.jamiiforums.com
unatazamia kupitia kifaa kipi?? tv?Mizigo ya 4K tuu hiyo, Unlimited ni raha sana wakuuView attachment 2307870
Mkuu natumia Laser Tv kutoka hisenceunatazamia kupitia kifaa kipi?? tv?
HaswaaaAntena
We kumbe jirani yangu kabisa...Yaaani kama shm uliopo akuna nguzo za umeme straight utatakiwa kulipia fibre cable nahc
So option kubwa skuhz ni
Ttcl fibre
Vodacom supakasi
Awa wa supakasi wamenifungia apa kwanza karbu na st clarec school speed unyama sana sema Bei ndo hvo
Kama utakua interested nayo waeza mchek uyu dgo 0744355811 anauza Io huduma ya supakasi internet toka Vodacom
kama kuna mtu anaishi maeneo ya kimara mpka mbezi na umeunganishe fiber ya ttcl nijulishe please
View attachment 2307868
Raha ya Unlimited ni kama hivi yaniiii,unazishusha tuuu Unachowaza ni hela ya kuongeza HDD tu maana wazee wa Movie hatufuti Movie ikishaingia imeingia.
Hapa Ilala,Leo nilienda ofisini kwao nimejaza na fomu wamesema wataleta surveyor,ngoja nisubirie nione tutafikia wapi
Mkuu naomba link au sites za kudownload movies in 4K qualityMizigo ya 4K tuu hiyo, Unlimited ni raha sana wakuuView attachment 2307870
Nakuja PMUpo sehemu gani mkuu?
Naweza kukusaidia
inategemea nimeipata sehemu gani mkuu,nitakapoikuta ndio naidownloadSeries unafownload kupitia tovuti ipi?
site yoyote unayotumia kudownload movie ina option za resolution ya movie unayotaka idownloadMkuu naomba link au sites za kudownload movies in 4K quality
Nilisha sahau muda sana habari za bando za kupimiana kama mchele kwa mangiMovies Store pita huku utoe neno
42 kbps?View attachment 2307868
Raha ya Unlimited ni kama hivi yaniiii,unazishusha tuuu Unachowaza ni hela ya kuongeza HDD tu maana wazee wa Movie hatufuti Movie ikishaingia imeingia.
Angalia hilo behewa hapo,alafu hizo ni torrent kuna baadhi seeders kipengele42 kbps?
Mbona kama speed ya kobe tena!
Ni mtandao gani huo?
Speed ina panda na kushuka package yangu ni ya 10Mbps ila kuna wakati niunga mashine nyingi,wireless nikatoa password kwa watu wengi inashuka kiasi ila bado sina haraka hamna ninachokosa mtandaoni.42 kbps?
Mbona kama speed ya kobe tena!
Ni mtandao gani huo?