TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

Naona Devices nying zinasema kuwa na Free Barrier sasa naomba kujua je kama kuna nyumba za kawaida sio magorofa alaf nimezifunga kwa distance ya 3km maana nmeona zingne zinaenda mpka 5km je ntaweza kupata internet vizur.
Nataka nifunge Ofisin niwe natumia na nyumban hz bundle za mitandao zimenichosha CHIEF MKWAWA
Cha muhimu mkuu itabidi utafute Bomba refu, iwe juu ya ofisi na nyumbani nako iwe juu, ili zionane bila kizuizi.

Pia usisahau zinatakikana ziwe waterproof, maana zinatakutana tu na mvua kivyovyote,

Halafu pia waweza cheki maduka makubwa kibongo bongo kucompare price, mjini mitaa ya kvd kule yapo ya kutosha. Ukipata hapa kwetu itakua rahisi kupewa kitu kutokana na uzoefu wa hali ya hewa yetu.
 
Cha muhimu mkuu itabidi utafute Bomba refu, iwe juu ya ofisi na nyumbani nako iwe juu, ili zionane bila kizuizi.

Pia usisahau zinatakikana ziwe waterproof, maana zinatakutana tu na mvua kivyovyote,

Halafu pia waweza cheki maduka makubwa kibongo bongo kucompare price, mjini mitaa ya kvd kule yapo ya kutosha. Ukipata hapa kwetu itakua rahisi kupewa kitu kutokana na uzoefu wa hali ya hewa yetu.
Nashukuru sana Mkuu kwa majibu mazuri
 
Sidhani, Zuku ni wananchi, Ya kenya ila kwa Hapa Tz alikuwa akiisimamia Marehemu Mufuruki, Na kuna kipindi pia Alitaka Kuinunua sijui kama Alifanikiwa.
Mkuu zuku na simba net ni kampuni chini ya kampuni tanzu ya wananchi group
Screenshot_20220603-231227_Chrome.jpg


Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Hope yenu mnaokaa nje ya miji ni kina voda na Tigo. Safaricom Kenya wanayo 5mbps unlimited kwa around 50,000. Hope voda nao wataleta na huku.
Hivi ile fiber iliokua inatandazwa nchi nzima sio hii unayoizungumzia maana ilitangazwa sana huo mkongo wa mawasiliano niliona kuanzia maeneo ya posta kariakoo hadi kigoma walikua wanachimba ina maana haujasambaa kivile?
 
Hivi ile fiber iliokua inatandazwa nchi nzima sio hii unayoizungumzia maana ilitangazwa sana huo mkongo wa mawasiliano niliona kuanzia maeneo ya posta kariakoo hadi kigoma walikua wanachimba ina maana haujasambaa kivile?
Mkonga ni Backbone mkuu, waya zipo Toka Dar mpaka Mwanza kwenda Kigoma na Nchi jirani.

Issue hapa ni kusambaza hizo waya mitaani, Ni Gharama sana mpaka wawe na uhakika wa Kuwalipa.

Chukulia tu mfano Zuku wapo Kariakoo ila Magomeni, Ilala ama Kurasini hawapo. Distance fupi ila kwao haina maslahi kwa sasa.
 
Mkonga ni Backbone mkuu, waya zipo Toka Dar mpaka Mwanza kwenda Kigoma na Nchi jirani.

Issue hapa ni kusambaza hizo waya mitaani, Ni Gharama sana mpaka wawe na uhakika wa Kuwalipa.

Chukulia tu mfano Zuku wapo Kariakoo ila Magomeni, Ilala ama Kurasini hawapo. Distance fupi ila kwao haina maslahi kwa sasa.
Hivi hizi za zuku zinafaa kwa kuweka sehemu kama shuleni hivi kwenye PC around 10-15 ingawa nimeona huku nilipo haipo kabisa..au hizi ni kwa wale wanaotaka kutumia tu kwa ajili ya kuangalia movies etc...
 
Hivi hizi za zuku zinafaa kwa kuweka sehemu kama shuleni hivi kwenye PC around 10-15 ingawa nimeona huku nilipo haipo kabisa..au hizi ni kwa wale wanaotaka kutumia tu kwa ajili ya kuangalia movies etc...
Wana package tofauti. Unaweza tumia Shuleni. Hapa Kkoo unakuta maduka kadhaa wanachanga, package moja wanashare hata watu 20.
 
Wana package tofauti. Unaweza tumia Shuleni. Hapa Kkoo unakuta maduka kadhaa wanachanga, package moja wanashare hata watu 20.
Ni kweli.

Sisi ofisini tuna
Pc 7 za Call Center ya VoiP
PC 5-7 za watumiaji wa kawaida
Kuna simu za watu karibia simu 15

Tunatumia up to 40 ya Zuku na inagonga fresh tu

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Haha naona wote Matumizi yenu ni ya kawaida sana.. sasa mimi sijui package gani itanifaa hapa aise.
 
Unamatumizi yapi na package yako per day ni hipi ile maximum yako tuanzie hapo

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Kwa mwezi naweza tumia mpaka 400-500GB depend na mwezi, nafanya kazi mostly online plus online gaming na naona wachangia wengi hapa wana-base sana na mbps while kwangu PING also ina matter.. kushusha game za PS4 za PS PLUS each month zipo 4 mpaka 3 zinaweza tafuna hata 300GB.

Anyway ngoja tusubilie starlink ya elon musk imeshaingia africa kwa baadhi ya country kama GHANA na NIGERIA hopeful kwetu soon.
 
Kwa mwezi naweza tumia mpaka 400-500GB depend na mwezi, nafanya kazi mostly online plus online gaming na naona wachangia wengi hapa wana-base sana na mbps while kwangu PING also ina matter.. kushusha game za PS4 za PS PLUS each month zipo 4 mpaka 3 zinaweza tafuna hata 300GB.

Anyway ngoja tusubilie starlink ya elon musk imeshaingia africa kwa baadhi ya country kama GHANA na NIGERIA hopeful kwetu soon.
Mzee enzi za kina njunwa na fareal si kumbuki ni yupi kati yao aliyenipaga service ya kitonga ila nilifika 1Tb kipindi hiko sikuwa busy

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Kwa mwezi naweza tumia mpaka 400-500GB depend na mwezi, nafanya kazi mostly online plus online gaming na naona wachangia wengi hapa wana-base sana na mbps while kwangu PING also ina matter.. kushusha game za PS4 za PS PLUS each month zipo 4 mpaka 3 zinaweza tafuna hata 300GB.

Anyway ngoja tusubilie starlink ya elon musk imeshaingia africa kwa baadhi ya country kama GHANA na NIGERIA hopeful kwetu soon.
Fiber ndio ina ping nzuri sasa, Starlink haingii kwa Likes of zuku, Zuku ina local ping kama 1 ama 2ms tu.

Starlink ni mbovu kushinda kina Vodacom, kifupi huwezi tumia satelite internet kucheza games.

Na ukitoa Mpunga wa Starlink na ukaumwaga TTCL ama zuku unapata Mbps za kutosha. TTCL 100Mbps ni laki 2 tu, na Zuku 100mbps ni 250,000.

Pia GB 400 mpaka 500 ni ndogo sana hivyo vifurushi vya 10mbps vinatosha, game kama la GB 100 unadownload tu within a day.
 
Fiber ndio ina ping nzuri sasa, Starlink haingii kwa Likes of zuku, Zuku ina local ping kama 1 ama 2ms tu.

Starlink ni mbovu kushinda kina Vodacom, kifupi huwezi tumia satelite internet kucheza games.

Na ukitoa Mpunga wa Starlink na ukaumwaga TTCL ama zuku unapata Mbps za kutosha. TTCL 100Mbps ni laki 2 tu, na Zuku 100mbps ni 250,000.

Pia GB 400 mpaka 500 ni ndogo sana hivyo vifurushi vya 10mbps vinatosha, game kama la GB 100 unadownload tu within a day.
Satellite internet yatakiwa kuwa last option pale ambapo hakuna mtandao kabisa, ie mbugani na vijijini
 
Fiber ndio ina ping nzuri sasa, Starlink haingii kwa Likes of zuku, Zuku ina local ping kama 1 ama 2ms tu.

Starlink ni mbovu kushinda kina Vodacom, kifupi huwezi tumia satelite internet kucheza games.

Na ukitoa Mpunga wa Starlink na ukaumwaga TTCL ama zuku unapata Mbps za kutosha. TTCL 100Mbps ni laki 2 tu, na Zuku 100mbps ni 250,000.

Pia GB 400 mpaka 500 ni ndogo sana hivyo vifurushi vya 10mbps vinatosha, game kama la GB 100 unadownload tu within a day.
Chief nataka niunge T-Office Standard ya TTCL, ina 8Mbps kwa 1Mbps. Hii itafaa kweli? Waya upo wanauita FTTH, hapa nanunua modem kwa 55,000 na kufurushi 50,000

Nilitaka ni opt kwa fiber ila iko umbali wa kama mita 250 kutoka home hapa,

Niende na hiyo hiyo t-office, speed yake ikoje?
 
Back
Top Bottom